Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Morocco nae atatoka huyo anamcheza na watato wa kizulu wanagonga pasi waleeKwa mbali naona ufalme wa Timu za Taifa za Kiarabu unaenda kupotea vile.
Au ndo hii michuano hiu imewakataa mana mpaka hapa aliyebakia ni Morocco.