Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Kama umeshiba biriani wewe lala tu uisubiri Congo Dr fainaliHii mechi ya sasa hivi ndio Mdakuzi husema “Umekula biriani hujashiba ukaomba kuongezewa ukapewa bada”
Utopolo mtupu!
Mechi ya SA na Nigeria ilikuwa ya kufundishia darasani kabisa kwenye shule za soka.