2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Nigeria wana wachezaji wengi wazuri lakini kocha anashindwa kupata muunganiko ili wacheze vizuri. Wale South Africa wana wachezaji wa daraja la kati tu hata subs zao haziwezi kukutisha ila wanacheza kitimu sana na ni kwasababu wengi wengi wanacheza timu moja so wanaelewana sana. All in all napenda Nigeria achukue hii ndoo this time. Mwaka 2000 walitolewa na Cameroon kwenye final na mwaka 2002 wakatolewa nusu final na Senegal. Ni miaka ambayo Nigeria alikua na kikosi bora sana cha soka Barani Africa. Since then nimekua shabiki mkubwa wa the Super Eagles ukizingatia miaka hiyo Taifa Stars ndo ilikua kichwa cha mwendawazimu haswaa bora hata sasa. Final ya mwaka 2000 ilinitoa machozi nikishuhudia Nwanko Kanu mchezaji wa Arsenal yangu toka nitoke anakosa mkwaju wa penalty na Victor Ikpeba huku Cameroon wakikosa mkwaju mmoja wa penalty kupitia kwa mwamba kweli kweli marehemu Marc Vivien Foe
Umeandika as if Nigeria [emoji1184] hajawahi kuchukua ndoo hapo katikati. 2013
 
Back
Top Bottom