2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Nigeria wanalia kwa kupoteza kombe ambalo lilikuwa mbele yao.

Mwaka jana jirani zetu wa jangwani moment kama hii wao walikuwa na vibe kwasababu wanauhakika wa kuvaa medali.
Haya mambo yanatoka wapi lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…