2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Aiseee
 

Attachments

  • FB_IMG_1705615762275.jpg
    FB_IMG_1705615762275.jpg
    50.8 KB · Views: 3
Hivi hawa wachezaji wetu wa Tanzania walioko huko afcon wanaangalia hii match kweli..
Kwa viwango na mchezo unaochezwa hapa Kwakweli wanamoyo sana mm ningejihudhuru kabisa kucheza maana ni aibu sana.
Feisal nasikia yupo na yule mama wa ki algeria alimsindikiza airport baada ya kufukuzwa.
 
Back
Top Bottom