2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Ivory Coast ni kama ilivyotokea Denmark kwenye Euro 1992

Jamaa hawakufuzu ghafla wakaitwa mashindanoni wiki kadhaa baada ya Yugoslavia kuzuiwa kushiriki michuano kwasababu za kisiasa.

Denmark kutoka kutokufuzu mpaka wakaenda kubeba ndoo!!
Hawa wajinga walikua na bahat.

Asee lkn huwez kusema hakustaili wamestaili wamecheza vzr Sana Asa leo na yote iyo ni upumbav wa Nigeria pia kurelax.

Kongolee AFCON champions [emoji1081]
 
Back
Top Bottom