2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

Ndoto za jua kali.Hukuunapigwa na jua.

Hakuna kama Mama,Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote,Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
 
Na hiv kafukuza machinga n now anafukuza watu mbugan.. haahhaahs.. .umene hovyo.. jua kal... Petrl 2500.. etc etc etc
 
Na hiv kafukuza machinga n now anafukuza watu mbugan.. haahhaahs.. .umene hovyo.. jua kal... Petrl 2500.. etc etc etc
Fanyakazi,acha kulia lia.

Unasubiri uletewa nyumbani.Wamachinga,wanapewa ofisi,wamachinga Wana ofisi zao.

Wewe lia lia tu
 
Nimekuelewa mkuu, Sasa Samia izo mikoa atatoboa,?
Atatobolea wapi? Tangu apewe urais wa bure, kwanza hapiti kwenye barabara za vumbi au za vijijini.

Mikoa yote ya kusini mwa Tanzania amemwachia Rais wa Msumbiji.

Mkoa wa Tabora, singida, shinyanga, katavi, Simiyu , Tanga,Kagera, amemwachia nani? Hajawahi kufika ni mwaka sasa.

Mkoa wa Mara alifika kwa gari kutokea mwanza siku ya kurudi Ali Rudi kwa helkopita hawezi tena kupanda gari.

Ccm inakubalika ila Mgombe urais Hakubaliki.
 
Hao walimu
Unaropoka tuu kama unajamba huna hata Takwimu,Samia kaajiri zaidi ya ajira rasmi 12,000 na kapandisha madaraja zaidi ya 190,000.

Ongea kingine wewe kenge mwenye chuki.
Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.

Yaani zinatangazwa,zinakua zishajaa.
 
Acha kulia lia.Fanyakazi.

Uvivu ndio unakufanya ulie lie.
 
Hao walimu

Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.Yaani zinatangazwa,zinakua zishajaa.
Acha kulia lia.Fanyakazi.Uvivu hautakusaidia.
 
Acha uvivu, Fanyakazi.

Kulia lia,haikusaidii.
 
Kaka kunywa jamkaya ya baridi na kuja kulipa
 
Usilolijua waliopo Jf usidhani wote wana lia njaa kama kule Badooo.
Tunayaelezea tunayoyaona kwenye jamii iliyopewa mke bila kumchagua mwenyewe,
Kulia lia,hakusaidii.Fanyakazi,kwa juhudi na maarifa,utakuja nishukuru hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…