2025 uchaguzi ukiwa huru na haki, Rais Samia hawezi kushinda uchaguzi

Wanajipanga, atashinda kutokana na kujipanga huko.

Tatizo ni lilelile tunolipigia kelele kila siku, Tanzania haina wapinzani ambao ni "credible".

Ila wapiga kura wana turufu kubwa ambayo kama si kuligawa Bunge, basi watampa kura sawa na wapizani ili kuleta serikali ya mseto.

Kwa jinsi hali ilivyo Tanzania yahitaji serikali mseto.

Serikali hiyo itawafanya CCM waamke na watembee macho begani.

CCM haiwezi kutoka madarakani kwani hata hao walio nyuma yao wapo wahakikisha hali yawa hivyo.

Uchaguzi wa 2020 uligharamiwa na fedha zetu wenyewe ila wa 2025 utagharamiwa na fedha za kutoka nje na hizo huja na masharti- lazima CCM ishinde.
 
Hakuna Rais niliyeshuhudia anapigiwa prom kama huyo najiuliza kazi zake zimeshidwa mnadi kiukwel iko wazi maza atakosa kula za wengi kwa kujihusisha na magenge ya watoto wa mjini kina kikwete na gang yake pamoja na makamba
 
Fanyakazi,acha kulia lia.Unasubiri uletewa nyumbani.Wamachinga,wanapewa ofisi,wamachinga Wana ofisi zao.Wewe lia lia tu
Uteuz hupat ng'oo.. hahaha.. maana ndo mchongo mpya kwa vijana wa bongo.. sifia kaka.. sifia.. ila kuhusu uteuz.. sahau. Hahaha
 
Samia hata akishindina na Ndama Mtoto ya ng'ombe hawezi kushinda
 
Hao walimu

Hao walimu 12000 alioajiri Samia aliajiri lini?Zinazokumbukwa ni 6500 ambazo watu mbalimbali wengi waliweka watu wao.Yaani zinatangazwa,zinakua zishajaa.
Acha ufala wewe uwe unasoma ,sijasema walimu bali kada mbalimbali wakiwemo walimu 7,000
 
Ameshamshinda.Samia ameshika nafasi mbali mbali za kiserekali,mpaka sasa ameshika nafasi ya juu kuliko zote,Amiri Jeshi Mkuu,Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
Unaona ulivyo tikiti, Basi na Kangi Lugola na Bashite wanamzidi Lissu maana wameshika vyeo na Lissu Hana cheo
 
Kwa hiyo wewe ktk hali ya kawaida utaacha kumpigia kura kiongozi Samia halafu umpigie kura mwanaharakati wa SPACE? NO

Mara kumi tumpigie kura Samia nchi itabaki salama kuliko kuwapigia wapinzani wasio na mwelekeo
Ntampgia kura any opponent wa CCM
 
Analijua vizuri hilo. Anajaribu sana kutumia Mkangala, Zitto, Masheikh njaa, Mutungi na Mahera ili atawale kwa miaka 9.

Kazi ni kwetu wapenda haki kubadilisha hii hali. Naona Mbowe na CHADEMA wametulia kuhusu Katiba.

Sijui Mbowe na mama walikubaliana nini tu!!

Wakati ndio huu wa kudai. 2024 itakuwa too late. Cathelin
 
Amiri Jeshi Mkuu,Rais Wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Mama,Samia Suluhu Hassani.
Rais,anayependwa na raia,wa Tanzania,wasio wavivu,wanaojituma.
Wanaojituma Kama kina Shaka[emoji1]
 
We ndo umesema ukweli, sema kutokukubalika Samia inamuuma, anatamani watu wangekuwa wanampenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…