Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Mwambie kama anataka kutoa kimaisha yeye na familia yake abaki huko Private. Ila kama ameamua kuwa na maisha magumu na kuua carier yake aje Serikalini.Wife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Of course it's meaningless kuomba ushauri humu kama hiyo kazi aliomba mwenyewe. Ahsante kwa kuliona hilo.Je, hiyo kazi ya serikali aliomba au kaletewa tu barua kama ilivyokuwa miaka ya 80/90?
Kuna vitu vingine ukitoa ushauri unakuwa chizi.
Hiyo analysis angeifanya kabla hajaomba.
Safari na vikao ni zaidi ya hiyo 1,2Kumbuka una drop toka 1.2M take home hadi take home ya laki 6.
Ahahaaaa BukobaSerikalini napo unaweza siku moja boooom uhamisho Bukoba
Neno la wavivu ilo ukiwa mpiga kazi iyo ni security tosha utatafutwa na kila mtuHili ni neno la kiseng* sanaaa.
Mimi hata sasa nikipata Kazi private sector yenye maslahi mazuri NAONDOKA huku CCM.
#YNWA
Nadhani inategemea na position, sababu haimake sense kutaka mkurugenzi mwenye uzoefu wa miaka 20+ alafu useme umri isiozidi 35yrs.πππ hivi ni 35/45?
Umenikumbusha kuna jamaa angu mmoja asee ni jembe sana,yeye ni auditor, ila unaweza ukakuta kipindi flani ana offer letters hata 5 za makampuni tofauti yanamhitaji..hajawahi na hana mpango wa kuwa mtumishi wa umma.Neno la wavivu ilo ukiwa mpiga kazi iyo ni security tosha utatafutwa na kila mtu
Alaf unakuta wewe uliajiriwa mpaka ulipostaafishwa na umriKila walipotawala wakoloni elimu yao na utawala wao ulilenga kutujaza fikra (brainwashed) kuwa watumwa wa kuutumikia utawala wa mfalme/malkia daima. Kwa bahati nzuri au mbaya, tumeurithi mfumo huo na tumeuendeleza kwa miaka zaidi ya 60 ya uhuru.
Tutaendelea kuwa watumwa daima kama hatujabadilika kifikra.
Job security na kama anania ya kugrow mfano kama bado anauwezo wa kukiendeleza kimasomo basi aende serikaliniWife kapata kazi serikalini huko,mshahara ni TGS D ambayo ni sawa na laki 7.6, kwa sasa anafanya kazi private sector ambako mshahara ni 1.6m gross.
Kampuni anayofanyia ina pressure za hapa na pale ila kuna a lot of incentives kama bima ya afya ya Jubilee,holidays allowance na nyingine nyingi.
So right now yuko dilemma, aache hapo private au aende government?
Nilisema hichi kitu huko juu nikaambiwa kwamba mhasibu wa serikalini tangu lini akasafiri yani mhasibu awepo bunge ashundwe kufikisha 1.6 per month basi atakuwa mzembe wa kuandika madokezo aisee na akiwa halmshauri akawa mwekahazina ndio hata 6m per month ni za kufikia maana mshahara tu ni LSSE1 Hapo ni 3,425,000 hujasafiri hujaingia vikao ujaenda safari ya kujifunza mfumo wa kukusanya mapato hamjaenda kwenye reconciliation hujaenda kwenye final account jamani hata serikalini pesa ipo inategemea ulisoma kada gani .....Extra duty 60k per day, posho za vikao, posho za madokezo, per diem 150k...ukijumlisha vyote inazidi hio 1.6M inategemea tu ye ni profession gani.
Sent using Jamii Forums mobile app