Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akihutubia katika chuo kimoja huko India JAWAHARLAL NEHRU UNIVERSITY, nchini India Rais amemsimamisha na kumtambulisha mwanae wa tatu Abdul kwenye mkutano huo.
Ikumbukwe kuwa mwana huyu alionekana akiwakilisha nchi kwenye mkutano mmoja na Rais wa nchi ya Uganda mh Yoweri Museveni na sasa kaandamana na ujumbe wa Rais nchini India.
Huyu mwana ana wadhifa gani ndani ya serikali ya Muungano wa Tanzania? Naamini haya ni maswali yasiyoepukika hasa kwa wanaolitakia mema Taifa hasa Kwa masuala ya utawala Bora na kulinda Rasilimali za Taifa .
View: https://youtu.be/fCKlJX19s6w?si=EKNnnJd2Gcag64N_
Salaam aleikhumu .
Sio kosa mkuu wa nchi kuambatana na familia yake kwenye ziara.
Huwezi kisikia Maria Obama anajihusisha kwenye ufasadi kama hawa maharamia wa kiafrika ndo maana tunauliza maswali Bwege wewe.Kwani wote wanaokuja kututembelea Tanzania huwa unakuwa na orodha ya majina yao? Sheria ipi na kifungu kipi kinachosema hayo unayozungumzia? Kwani ni wapi katika katiba yetu ambapo Rais anakatazwa kuwa na familia yake? Kwani Obama hakuwa akisafiri na watoto wake? Watanzania tuache chuki na umbumbumbu wa kimawazo na kifikra
Kidumu Chama Cha MambuziTISS vyeo wanapeana kiundugu
😆😆😆Ni kama tu TISS vyeo wanapeana kiundugu
Haujaniconvince mkuu. Huu utoporo utaukuta Africa. Acha kuwa mtoto wa Rais nchi zinazojitambua hata ukienda interview ya kazi kuna kipengele kama kuna relationship na mfanyakazi yeyote kwenye organization . Huyo Abdul akienda Uganda nani anafanya checking ya hiyo conflict. Viongozi wa kiafrika wanakiwa affected na umasikini waliopitia katika life time ndo maana hawarudhiki.Mkuu hakuna shida kabisa kwanini unahisi ni kosa rais Samia kwenda india na mtoto wake? Au kwanini unahisi ni kosa mtoto wa rais Samia kwenda uganda kuonana na raisi Museveni na kusaini project kubwa kubwa kwa akili ya kawaida hata wewe mzazi wako angekuwa Raisi wa Nchi usinge kaa kaa tuu alafu baadae uje uchekwe kama watoto wa nyerere. Unamkumbuka yule mtoto wa kiongozi aliye vaa jinsi na kuingia bungeni! Yule ni mtoto wa nani?
Atashukuriwa kwani walao atakuwa kuonyesha kuwa anatujali Sisi makapukuKwanini kwenye Delegation ya Maza asimchukue Biswalo Mganga ili wapitilize mpaka China ili akamuoneshe ile Akaunti ya fedha za Plea bargain zilikofichwa.
Dunia sasa hivi ipo kidigitali zaidi. Siyo lazima uende benki ndipo upate taarifa ya akaunti yako au ufanye transactions.Kwanini kwenye Delegation ya Maza asimchukue Biswalo Mganga ili wapitilize mpaka China ili akamuoneshe ile Akaunti ya fedha za Plea bargain zilikofichwa.
Najua kuwa Dunia iko Kidigitali ila nilikuwa nafikisha Point.Dunia sasa hivi ipo kidigitali zaidi. Siyo lazima uende benki ndipo upate taarifa ya akaunti yako au ufanye transactions.
Twahitaji kuwabana wanasiasa kwa hoja zenye mantiki na mashiko kuendana na wakati.
Ni ukweli usiopingika kwamba taarifa za akaunti hizo zipo serikalini.
Hata hivyo, utaratibu wa plea bargaining ulifanywa na serikali halali ambayo waliopo sasa hivi ni wale wale, vinginevyo wawe wametofautiana na hivyo kuwajibishana kutokana na nafasi zao kwa wakati uliopita.
Poa.Najua kuwa Dunia iko Kidigitali ila nilikuwa nafikisha Point.
Akihutubia katika chuo kimoja huko India JAWAHARLAL NEHRU UNIVERSITY, nchini India Rais amemsimamisha na kumtambulisha mwanae wa tatu Abdul kwenye mkutano huo.
Ikumbukwe kuwa mwana huyu alionekana akiwakilisha nchi kwenye mkutano mmoja na Rais wa nchi ya Uganda mh Yoweri Museveni na sasa kaandamana na ujumbe wa Rais nchini India.
Huyu mwana ana wadhifa gani ndani ya serikali ya Muungano wa Tanzania? Naamini haya ni maswali yasiyoepukika hasa kwa wanaolitakia mema Taifa hasa Kwa masuala ya utawala Bora na kulinda Rasilimali za Taifa .
View: https://youtu.be/fCKlJX19s6w?si=EKNnnJd2Gcag64N_
Salaam aleikhumu .
Nilijua bi kuwashwa utaibuka. Tuliuliza mwijaku kapelekwa na Nani ufaransa faster serikali ikajibu faster .tuliuliza Abdul alitumwa na nani kwa Museveni serikali ikapiga kimya. Watu wakauliza pesa za uniform zinazohusishwa na Abdul serikali ikapiga kimya sasa tunauliza huyu mwana kaenda na msafara wa Rais kama Nani we unakuja na mistari yenye swali badala ya kunijibu swali uliloulizwa.Chawa kaeni kimya tunalinda masilahi ya nchi yetu kwa faida ya wote. Chawa mpotee mmetuchoshaKwani Abdul unafahamu shughuli zake?
Toka lini dunia nzima, mtoto wa Rais ikawa mwiko kufatana na Rais?
Akihutubia katika chuo kimoja huko India JAWAHARLAL NEHRU UNIVERSITY, nchini India Rais amemsimamisha na kumtambulisha mwanae wa tatu Abdul kwenye mkutano huo.
Ikumbukwe kuwa mwana huyu alionekana akiwakilisha nchi kwenye mkutano mmoja na Rais wa nchi ya Uganda mh Yoweri Museveni na sasa kaandamana na ujumbe wa Rais nchini India.
Huyu mwana ana wadhifa gani ndani ya serikali ya Muungano wa Tanzania? Naamini haya ni maswali yasiyoepukika hasa kwa wanaolitakia mema Taifa hasa Kwa masuala ya utawala Bora na kulinda Rasilimali za Taifa .
View: https://youtu.be/fCKlJX19s6w?si=EKNnnJd2Gcag64N_
Salaam aleikhumu .