Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Wazazi ongeeni na walezi wenzenu (shule). Watoto wako mikononi mwenu!
 
Tangu nizaliwe sijawahi soma kitu inaitwa tuition. Enzi zetu (za Mwalimu) mambo yalikwenda Kwa mpangilio sana
 
Nyie mlichobakia nacho kichwani ni kuchapa tu
 
ok
 
ok
 
Huko ni kukaririsha watoto.
Mbona sisi tumesoma
Saa 2-8?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kukaririshwa ndio mnaona sifa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Huko ni kukaririsha watoto.
Mbona sisi tumesoma
Saa 2-8?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Lakini bado ulikariri midhari ulisoma hapa hapa Bongo. Inanikumbusha Wazazi wetu pia enzi tunasoma walikuwa wanapondea mfumo wa ufundishaji enzi zetu na wakisifia elimu ya enzi zao.Wazazi tuwape ushirikiano walimu ili watoto wetu wasome
 
zamani ulikuwa hujazaliwa. And why a lot of materials at this time? watoto wafundishwe mambo kidogo ambayo yanahitajika katika maisha yao.
 
Mwanangu yuko grade 6 na anaenda hadi jumamosi...anarudi saa10..inanikwaza mno mno sasa sijajua grade 7 wataenda had j'pili...?argh
 
Halafu St.Francis wakifanya vizuri kitaifa,watu wanaanza kusema kuwa wanachukua watoto wenye vipaji maalumu tu .Hii juhudi inayowekwa na Walimu kwa hao watoto huwa hatuioni kabisa.
 
Mwanangu yuko grade 6 na anaenda hadi jumamosi...anarudi saa10..inanikwaza mno mno sasa sijajua grade 7 wataenda had j'pili...?argh
Wapi huko? Grade hazitumiki Tanzania... Watoto wanalundikiwa mambo mengi ambayo hayana faida maishani mwao. wanaongeza muda eti Eti wanamaliza syllabus. Kwanini upuuzi mwingi kwenye sylabus?
tatizo kubwa
 
yaani ada hulipi unaambiwa umchangie mwalimu 200 kwa siku ili mwanao afaulu mtu anaona tabu!!!? dah! asee kuzaliwa bongo sio siri ni laana.

hizi sababu ndo zilinipelekea nikaishia njiani kimasomo, unakuta mzazi hawezi kumudu gharama za kukusomesha kiasi cha kukufanya u-concentrate na masomo pekee. Hadi unakufuru kwamba alikuzaa ya nini au hakujua wajibu wake wa kukusomesha?
 
basi nitaliforward kwa waziri! Wawaache watoto wasome muda uliopangwa na serikali. kama kufeli wacha wafeli
Hivi unajua maana ya kufeli au unaangalia ile zero,kufeli maana yake mwanafunzi hakupata stadi alizokusudiwa kupata,kama alitakiwa kujua kusoma maana yake anatoka bila kujua kusoma,kama alitakiwa kujua kuandika anaondoka bila kujua kuandika, huko ndio kufeli, Je lengo la kwenda shule ni hilo? kwamba aende shule na aondoke kama alivyokuja? Sasa ukisema kama kufeli na wafeli maana yake kusiwepo na shule kwa sababu hatutaki watoto wajue kuhesabu,kuandika na kusoma,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…