Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Lakini bado ulikariri midhari ulisoma hapa hapa Bongo. Inanikumbusha Wazazi wetu pia enzi tunasoma walikuwa wanapondea mfumo wa ufundishaji enzi zetu na wakisifia elimu ya enzi zao.Wazazi tuwape ushirikiano walimu ili watoto wetu wasome
Sasa kama wewe umekariri usilazimishe wote tumekariri

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hivi unajua maana ya kufeli au unaangalia ile zero,kufeli maana yake mwanafunzi hakupata stadi alizokusudiwa kupata,kama alitakiwa kujua kusoma maana yake anatoka bila kujua kusoma,kama alitakiwa kujua kuandika anaondoka bila kujua kuandika, huko ndio kufeli, Je lengo la kwenda shule ni hilo? kwamba aende shule na aondoke kama alivyokuja? Sasa ukisema kama kufeli na wafeli maana yake kusiwepo na shule kwa sababu hatutaki watoto wajue kuhesabu,kuandika na kusoma,
standard measure yetu ni mitihani. As long as hajafikia hicho wanachokiita ufaulu, then amefeli! Lakini siyo kuwa ametoka akiwa tabula rasa, never! Kuna kitu tena kikubwa amekipata hata kama kwa vipimo vyao amefeli
 
Ukiangalia international schools kuanzia Feza Int, IST, ISM,DIA, Academic, Agakhan wanafunzi wanatoka mapema shule.

Hawana Tuition wala masomo ya ziada,



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
unaongelea zamani ipi, Kwanza zamani ilikua likizo lazima twende tution maana walimu walikua hawamaliz topics, kama hujaenda tution unakuja kuomba rafiki akufundishe. Zamani hakukua na shinikizo walimu wafaulishe, hivyo ilikua ukikaa kusubir ufundishwe kila kitu imekula kwako. O level nimesoma mpwapwa sec na advance Musoma
Zamani ipi masuala ya tuition mkuu?
 
Ukiangalia international schools kuanzia Feza Int, IST, ISM,DIA, Academic, Agakhan wanafunzi wanatoka mapema shule.

Hawana Tuition wala masomo ya ziada,



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Feza Int Sala sala wanatoka saa kumi na moja.Na asubuhi saa moja mpaka moja na nusu unakuta School Bus au magari binafsi yanashusha watoto
 
Feza Int Sala sala wanatoka saa kumi na moja.Na asubuhi saa moja mpaka moja na nusu unakuta School Bus au magari binafsi yanashusha watoto
Angalia hapo
IMG_20230315_104211.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Sisi tulisoma masomo 5 pekee

Hisabati
Kiswahili
Kiingeleza
Maarifa ya Jamii
Kazi


Masomo hayajabadilika sana, huenda watoto wa siku hizi ni wajinga au umri wanaoanza nao shule sio sahihi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Au wenda umri WA watoto kuanza shule upo sahihi ila WALIMU NI WA MICHONGO.
 
Nipo zangu kwa job waziri mkuu wa nyumba yangu ananipigia simu.

ananiambia chalii amerudishwa home na mwalimu kisa hajachangia 5000tsh ya photocopy na 3000tsh kwa ajili ya kuwapa walimu wa fild.

Hii 3000tsh imenifikilisha sana.
 
Kubali kafeli ni kwamba kuna stadi hajazimasta inawezakua ni kusoma au kuandika,
Wazazi tukubali kuinvest kwenye elimu,kama vile unavyokua na shamba na unaweka mbolea,unapulizia dawa ili mwishoni uvune vizuri na elimu ndivyo inavyotaka,tuwekeze kwa watoto kwa mfano kama huu wa kilimo

Serikali ni mastermind sana,elimu wameweka iwe bure ili mtoto akifeli usifeel pain sababu kwanza hukuwekeza chochote kwahyo utaona ni sawa,

Elimu sasa inakwenda kua ni kwa ajili ya watu wachache not for all,Ndio maana Baraza la mitihani limefuta kumi bora na kumi dhaifu kitaifa hii maana yake inaenda kufuta kufundisha kwa ubora,walimu watarelax katika ufundishaji, wale wataofaulu na watakaofeli hakuna ambae atauliza,kwani vigezo vya kufauli vipo tofauti,huwezi kusema shule hii dhaifu wakt mazingira yake yanaonesha imejitahidi sana.
Lakini serikali imekua ikitenga bajeti kubwa ya madarasa kila mwaka,sababu watoto wanaofaulu ni wengi ndio maana imefuta competition ili watoto wafaulu wachache,lakini vyuo vikuu bajeti ya mikopo nayo ni kubwa na inaongezeka kila mwaka,serikali ikaona bora ipunguze ufaulu ili bajeti iwe minimal
Wazazi elimu sasa hivi sio ya kila mtu,usikute miaka ya mbele huko wasomi wataofika vyuo vikuu mkoa wa Tanga wasifike 500 mkoa mzima kwa mwaka, kwahyo kama mzazi unatakiwa kuokoa kizazi chako.
standard measure yetu ni mitihani. As long as hajafikia hicho wanachokiita ufaulu, then amefeli! Lakini siyo kuwa ametoka akiwa tabula rasa, never! Kuna kitu tena kikubwa amekipata hata kama kwa vipimo vyao amefeli
 
Kubali kafeli ni kwamba kuna stadi hajazimasta inawezakua ni kusoma au kuandika,
Wazazi tukubali kuinvest kwenye elimu,kama vile unavyokua na shamba na unaweka mbolea,unapulizia dawa ili mwishoni uvune vizuri na elimu ndivyo inavyotaka,tuwekeze kwa watoto kwa mfano kama huu wa kilimo

Serikali ni mastermind sana,elimu wameweka iwe bure ili mtoto akifeli usifeel pain sababu kwanza hukuwekeza chochote kwahyo utaona ni sawa,

Elimu sasa inakwenda kua ni kwa ajili ya watu wachache not for all,Ndio maana Baraza la mitihani limefuta kumi bora na kumi dhaifu kitaifa hii maana yake inaenda kufuta kufundisha kwa ubora,walimu watarelax katika ufundishaji, wale wataofaulu na watakaofeli hakuna ambae atauliza,kwani vigezo vya kufauli vipo tofauti,huwezi kusema shule hii dhaifu wakt mazingira yake yanaonesha imejitahidi sana.
Lakini serikali imekua ikitenga bajeti kubwa ya madarasa kila mwaka,sababu watoto wanaofaulu ni wengi ndio maana imefuta competition ili watoto wafaulu wachache,lakini vyuo vikuu bajeti ya mikopo nayo ni kubwa na inaongezeka kila mwaka,serikali ikaona bora ipunguze ufaulu ili bajeti iwe minimal
Wazazi elimu sasa hivi sio ya kila mtu,usikute miaka ya mbele huko wasomi wataofika vyuo vikuu mkoa wa Tanga wasifike 500 mkoa mzima kwa mwaka, kwahyo kama mzazi unatakiwa kuokoa kizazi chako.
uko sahihi!
 
Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.

Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
Tena wanalipa mamilioni. Halafu wewe wanakudangaya usilipe miambili
 
Nitajaribu kujibu hoja.

1. Hizo pesa unaona wanwlipishwa haziendi kwa mwalimu bali ni gharama za kutolea copy za mitihani wanayofanya.

2. Kwanini kila siku mitihani asubuhi? Wanafanya mitihani kila siku asubuhi kwa lengo la kuwafanya watoto wapate hari ya kujisomea wanapokuwa nyumbani au shuleni kwasababu anajua kila siku ana mitihani asubuhi na weekend (Jumamosi)

3. Kwanini jumamosi wanalipa 1200?

Hiyo 1200 ni gharama ya kutoa copy ya mitihani yote 6 watakayofanya kwa siku husika.

4. Kwanini watoto wanasoma masaa mengi na siku nyingi wakati Sisi enzi zetu tulikuwa tunasoma muda wa kawaida lakini tulikuwa tunafaulu.

Watoto wa siku hizi asilimia kubwa wanazaliwa na wazazi wenye IQ ndogo kutokana na mfumo wa maisha (life style) kama vile vyakula na madawa tunayotumia yanaharibu sana genetic makeup ya watoto wa siku hizi.

Pili, vyakula wanavyokula watoto wenyewe, devices wanazotumia kama refreshment, madawa ya binadamu. Tabia za wazazi na watu mtaani zinawafanya watoto wachanganyikiwe kabisa na kushindwa kujua washike kipi waache kipi.

KWANINI HII MICHANGO IPO MASHULENI?

Kwasababu serikali inashindwa kutoa pesa za kuendeleza taaluma hivyo lazima mzazi agharamikie kutoa pesa fulani ili lengo la kufikia ufaulu wa asilimia 100 lifamikiwe. Mwalimu hawezi kutoa pesa mfukoni ili atoe copy za mitihani. Waambieni serikali warudishe Ada, hela ya taaluma, tahadhari etc. Muone kama mtaombwa kuchangia hata senti moja.
 
Angalia hapoView attachment 2552166

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hata Shule hizi za Private za kawaida working hrs ni hizo hizo,lakini ki uhalisia watoto wanatoka late.Nadhani huwa wanaweka hiyo ratiba kwa maana ya mtu kwenda kwa shida ya kiofisi.Kama ni mpitaji wa barabara ya Sala sala utagundua School Bus zinatoka mida hiyo jioni na asubuhi mapema tu watoto wanashushwa hapo shuleni.
 
Hata Shule hizi za Private za kawaida working hrs ni hizo hizo,lakini ki uhalisia watoto wanatoka late.Nadhani huwa wanaweka hiyo ratiba kwa maana ya mtu kwenda kwa shida ya kiofisi.Kama ni mpitaji wa barabara ya Sala sala utagundua School Bus zinatoka mida hiyo jioni na asubuhi mapema tu watoto wanashushwa hapo shuleni.
Wana clubs nyingi, afu wao mfumo wao ni kuhama darasa.
Mwalimu ndo mmiliki wa darasa,wanafunzi hamna darasa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom