#COVID19 Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

Acheni kusambaza habari za uongo ndugu zangu,chanjo zipo nendeni mkachome
 
Marekani inapingwa hadi wanawahonga dola mia wanaojitokeza kuchanjwa, sijawahi kuona chanjo ya kuhonga watu kama hii "insanity"
 
Kwani chanjo si kwa ajili ya wenye miaka 18 na kuendelea au?
 
Habari wanabodi,

Hivi hii siasa ya Covid-19 vaccine kwa nini imetamalaki hivi? Hii Video ina trending kubwa sababu inaonekana ina walakin katika matukio yake. Huyu Bwana mkubwa amechanjwa kweli hapo ?

Lakin je Afisa Elimu wa Mkoa anahitaji naye kurekodiwa na kutengeneza Headline ya kuchanjwa, Kwa ajili nini?
Your browser is not able to display this video.
 
Hapo ni bosheni tu yaani. Sasa kama viongozi inakuwa hivi. Itakuwaje!
 

Afisa Elimu wa Mkoa wa Arusha Aidanganya serikali Kwa kuigiza kuwa amepata chanjo ya Covid-19 kumbe ni uongo. Mh. John Mongela mkoa wako umesibishwa​

 
huu ni udhahidi kuwa, kuna watu hawachomi chanjo wanahadaa umma,
hv hapa amechoma kweli? ni nini hiki walichokua wanafanya?

nina wasiwasi huwenda na Rais hakuchanjwa na hakuna waziri wala mkuu wa mkoa aliyechanjwa yote ni maigizo!

msituone sisi ni wapumbavu kiasi hicho

wizara ya Afya huyu muuguzi anafanya nini? hii hospitali inauza vyeti vya chanjo?

Your browser is not able to display this video.
 

Afisa Elimu wa Mkoa wa Arusha Aidanganya serikali Kwa kuigiza kuwa amepata chanjo ya Covid-19 kumbe ni uongo. Mh. John Mongela mkoa wako umesibishwa​

Viongozi wote wanaigiza hakuna anayechanjwa kweli, sema huyu kaigiza vibaya. Hizi chanjo ni za majaribio, kama unataka kushiriki kufanya research ya chanjo nenda kachanjwe.
 
huu ni udhahidi kuwa, kuna watu hawachomi chanjo wanahadaa umma,
hv hapa amechoma kweli? ni nini hiki walichokua wanafanya?

wizara ya Afya huyu muuguzi anafanya nini? hii hospitali inauza vyeti vya chanjo?

View attachment 1882300
Sio baadhi, viongozi wote duniani hawachomi chanjo za majaribio wanazuga tu kwa kuigiza ili wawashike akili mafala. Hizi chanjo ni za majaribio, viongozi wana taarifa sahihi za kinachoendelea duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…