Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelifanya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING! Kwa kosa lipi ? Kutetea msimamo wake wa bandari? Hilo ni kosa?

Mheshimiwa Rais SAMIA hana analolisimamia kwa dhati, anayumba. Leo 4R, maridhiano and many others hakuna analolipigania, anayumbishwa na kila anayepata bahati ya kumkaribia.

Simamia unaloliamini, power is invariably personal, there is no group power. Lazima uwe na kitu rohoni mwako kama Mkuu wa nchi unachokisimamia piga ua cha haki.

Akina Kinana wanamyumbisha na hawezi kusimama. Huyu kesho ukimwambia kuwa wabaya wako ni Roman Catholic Bishop na waraka wao and therefore tuwaue, atafanya. Au kuwa wakatoliki ndio wanasumbua utawala wako tuwaue ata sanction thir killings! hawezi kusema hili hapana! not to that extent!

Mara contract ni za hovyo unaona kifungu fulani kibovu nawe unaruhusu kiwepo, DP World anaipigania na vifungu vibovu kuwahi kutokea. sasa vifungu vibovu aivyokuwa anavisema alimaanisha nini?

Mara waliongeza cha juu kwenye ndege, hakuna aliyewajibishwa
ANASIMAMIA MSIMAMO GANI?

WE ARE DONE!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHAILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Screenshots_2023-09-01-19-25-33.jpg
 
Kwa hiyo kwa sasa tuseme kila aliyeupinga mkataba wa DPW ni adui yake..na wote waliounga mkono ni maswahiba zake..?

Huyu mama walimsifia ooh mpenda demokrasia..kiko wapi?? Demokrasia anayoiweza ni ile ya kwenye mfuko..we mpinzani wangu..nakupa asali ukae kimya.

Sasa kaona huwezi kuwa fool watu wote..akimtuliza yule, anaibuka mwabukusi, mara kina silaa wanaibuka..tumeenda mbali hadi kina prof Tibaijuka wanaibuka.

Kitendo alichofanya ni cha aibu mno..amekurupuka..ametia aibu hiyo nafasi hasa kwa yeye ambaye hakuchaguliwa kwa kura..hapa kweli utawalaumu vipi washauri wake?

Haya aifute na TEC basi.
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Kwa elimu yake he had the right qualifications to be appointed as such..............(yue ni padre wa Kikatoliki with good training in Law, philosophy, psychology, ethics, administration etc etc etc! The issue and main concern is: he was appointed an ambassador out of sheer betrayal to fellow opposition camp! Na ulafi wa tumbo!

Ni hilo tu! Makamba ana hadhi gani ya kuwa Minister forforeigh affairs!
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHAILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Yesu tunayemwamini aliona mbali kutokuweka mwanamke katika watumishi wake
 
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu imeharibika kuliko kipindi chote toka tupate Uhuru ni kipindi hiko cha uongozi wa mama yetu wa kizanzibar
 
Slaa kwa Asili ni potential traitor; Amesaliti kanisa (kiapo Cha upadre), Amesaliti Ndoa, Alisaliti Chama Chake, Alisaliti allegiance yake kwa Dola. Kwa kifupi Slaa hawezi kuwa Balozi muaminifu.
Una uhakika na unayoyafikiria!
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHAILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mbona sasa unajipinga mwenyewe?
Kwamba africa bado sana mwana make kushika madaraka makubwa kama ya u rais.

Kwamba mwanamke alitarajiwa afanye vizuri kwani anayo rejea ya makosa ya watangulizi wake ( AMBAO NI WANAUME) kwahiyo unakili kuwa wanaume wanakosea pia kama anavyo kosea mwanamke kwa sasa.

Kwa mantiki hiyo unasimama wapi kusema kuwa mwanamke hafai?

Mkuu makosa hayana jinsia, bali wakosaji.
Kama Samia anaangushwa na jinsia take, na watangulizi wake waliangushwa na nini?

Au imeibuka jinsia ya tatu ambayo haijawihi kupewa madaraka na sasa unataka ijaribiwe kwa kuipa madaraka?

Hoja ya ya jinsia hi haifai bali ile haisimami.
 
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu imeharibika kuliko kipindi chote toka tupate Uhuru ni kipindi hiko cha uongozi wa mama yetu wa kizanzibar
Exactly, anguko la Tanganyika ni kubwa kwa huyu mama ! na kwa vile dini inawaweka wanawake as objects of sex, wakae ndani wawe mapambo ya nyumba, then imejidhihirisha kwa huyu mama ! Hawafai kutawala, wakae nyumbani wakisubiri wanaume waje usiku.......
 
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu imeharibika kuliko kipindi chote toka tupate Uhuru ni kipindi hiko cha uongozi wa mama yetu wa kizanzibar

Usisahau, kuwa aliwahi kuwepo, yule wa Liberia.
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Kama Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema anakupa uhai na anauchukua nini slaa kupewa ubalozi na ukachukuliwa hazuii mvua kunyesha wala jua kuwaka litapita maisha yanaendelea!
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Yule wa Liberia vipi?
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Kuna Mwanaume wa kumlinganisha na Samia kwenye ku deliver? Au una shida zako binafsi za mfumo Dume? Kama yupo mtaje tuanze kulinganisha ,tena Anza na Jiwe
 
Back
Top Bottom