Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!
Tulitegemea wangelifanya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.
HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING! Kwa kosa lipi ? Kutetea msimamo wake wa bandari? Hilo ni kosa?
Mheshimiwa Rais SAMIA hana analolisimamia kwa dhati, anayumba. Leo 4R, maridhiano and many others hakuna analolipigania, anayumbishwa na kila anayepata bahati ya kumkaribia.
Simamia unaloliamini, power is invariably personal, there is no group power. Lazima uwe na kitu rohoni mwako kama Mkuu wa nchi unachokisimamia piga ua cha haki.
Akina Kinana wanamyumbisha na hawezi kusimama. Huyu kesho ukimwambia kuwa wabaya wako ni Roman Catholic Bishop na waraka wao and therefore tuwaue, atafanya. Au kuwa wakatoliki ndio wanasumbua utawala wako tuwaue ata sanction thir killings! hawezi kusema hili hapana! not to that extent!
Mara contract ni za hovyo unaona kifungu fulani kibovu nawe unaruhusu kiwepo, DP World anaipigania na vifungu vibovu kuwahi kutokea. sasa vifungu vibovu aivyokuwa anavisema alimaanisha nini?
Mara waliongeza cha juu kwenye ndege, hakuna aliyewajibishwa
ANASIMAMIA MSIMAMO GANI?
WE ARE DONE!
Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Tulitegemea wangelifanya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.
HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING! Kwa kosa lipi ? Kutetea msimamo wake wa bandari? Hilo ni kosa?
Mheshimiwa Rais SAMIA hana analolisimamia kwa dhati, anayumba. Leo 4R, maridhiano and many others hakuna analolipigania, anayumbishwa na kila anayepata bahati ya kumkaribia.
Simamia unaloliamini, power is invariably personal, there is no group power. Lazima uwe na kitu rohoni mwako kama Mkuu wa nchi unachokisimamia piga ua cha haki.
Akina Kinana wanamyumbisha na hawezi kusimama. Huyu kesho ukimwambia kuwa wabaya wako ni Roman Catholic Bishop na waraka wao and therefore tuwaue, atafanya. Au kuwa wakatoliki ndio wanasumbua utawala wako tuwaue ata sanction thir killings! hawezi kusema hili hapana! not to that extent!
Mara contract ni za hovyo unaona kifungu fulani kibovu nawe unaruhusu kiwepo, DP World anaipigania na vifungu vibovu kuwahi kutokea. sasa vifungu vibovu aivyokuwa anavisema alimaanisha nini?
Mara waliongeza cha juu kwenye ndege, hakuna aliyewajibishwa
ANASIMAMIA MSIMAMO GANI?
WE ARE DONE!
Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................