Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Slaa kwa Asili ni potential traitor; Amesaliti kanisa (kiapo Cha upadre), Amesaliti Ndoa, Alisaliti Chama Chake, Alisaliti allegiance yake kwa Dola. Kwa kifupi Slaa hawezi kuwa Balozi muaminifu.
Baada ya kuwa mkosoaji ktk suala la bandari ndio ndio unasema haya!!??
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Siri gani wewe? Ndio shida ya hii katiba yaani kila kitu last say hutoka kwa rais. Hapo Samia kafanya maamuzi kuwafurahisha ccm....hakuona athari kwa upande wake na taifa.
Urais wa kuokota kweli umegeuka zigo la mavi.
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Hivi ulifatilia kazi alizofanya Kama balozi, na umeshafatilia kazi za mabalozi wengine ukazilinganisha.
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Rais kutoka QT hadi kuwa rais ulitegemea maajabu gani ,halafu eti wanamwita Dr. mpuuuiiiii...
 
Kwa hiyo kwa sasa tuseme kila aliyeupinga mkataba wa DPW ni adui yake..na wote waliounga mkono ni maswahiba zake..?

Huyu mama walimsifia ooh mpenda demokrasia..kiko wapi?? Demokrasia anayoiweza ni ile ya kwenye mfuko..we mpinzani wangu..nakupa asali ukae kimya.

Sasa kaona huwezi kuwa fool watu wote..akimtuliza yule, anaibuka mwabukusi, mara kina silaa wanaibuka..tumeenda mbali hadi kina prof Tibaijuka wanaibuka.

Kitendo alichofanya ni cha aibu mno..amekurupuka..ametia aibu hiyo nafasi hasa kwa yeye ambaye hakuchaguliwa kwa kura..hapa kweli utawalaumu vipi washauri wake?

Haya aifute na TEC basi.
Mbowe pia na hisi kuna burungutu la minoti laipewa ,soon huyu mama atampandisha kizimbani
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mnamo Novemba 2018
Screenshot_20230902_082143_Chrome.jpg
Magufuli alimvua Alfayo Kidata hadhi ya ubalozi, kwani naye alikuwa mwanamke?

Jifunze kujenga hoja zenye mashiko kabla hujaingia JF na kuandika utumbo
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Hii inaonyesha kuwa huyu Mama ana maslahi makubwa sana na huu mkataba, kwa hiyo kila anayepinga anampinga yeye.
Waliosapport wote kawapa ulaji, wanaopinga anawafunga na kuwapa kesi, Why????
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Kwako wewe qualification ni nini? Ya kuwa balozi? Embu wataje mabalozi wote wa kila nchi na qualification zao.
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
I wondered
 
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu imeharibika kuliko kipindi chote toka tupate Uhuru ni kipindi hiko cha uongozi wa mama yetu wa kizanzibar
Mnamchukia Samia bila sababu na mnalazimisha sababu za uwongo. Soma kiambatisho hapa ujione ulivyo ZERO BRAIN
Screenshot_20230902_082806_Wikipedia.jpg
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mtamaliza vilio kifo ni kilekile.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Nakubaliana na were kabisa.kwanza afrika hakujawahi kutokea mwanamke akagombea urais akashinda isipokuwa mazingira huwa yanawafanya kuupata urais kwa mseleleko(wa kurithi) Joyce banda wa Malawi alirithi baada ya rais kufariki na hivyohivyo na hapa Tanzania.wtz tumejionea awamu ambayo nchi yetu imeharibika kuliko kipindi chote toka tupate Uhuru ni kipindi hiko cha uongozi wa mama yetu wa kizanzibar
Na yule wa liberia nae alibebwa?
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mtamaliza vilio kifo ni kile-kile.

Kazi ya Mungu haina makosa.
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Nini Samia, hilo kanisa lake lenyewe lilishindwa kuvumilia likamvua Upadri.
Huyo ni mshenzi tu hakustahili hiyo hadhi ni vile Magufuli alikuwa anaendesha biashara ya binadamu akamnunua
 
Lakini si yeye mwenyewe Dk. Slaa alisema hata akinyang'anywa hadhi ya ubakozi hatishiki? Au alikuwa anatishia nyau?
Dr Slaa alipewa Ubalozi wa Dunia na Papa Yohanne Paul II alipozuru Tanzania

Achana na Ubalozi wa Mchongo wa Magufuli
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Hakustahili hata kidogo
 
Kwa elimu yake he had the right qualifications to be appointed as such..............(yue ni padre wa Kikatoliki with good training in Law, philosophy, psychology, ethics, administration etc etc etc! The issue and main concern is: he was appointed an ambassador out of sheer betrayal to fellow opposition camp! Na ulafi wa tumbo!

Ni hilo tu! Makamba ana hadhi gani ya kuwa Minister forforeigh affairs!
Elimu!
 
Back
Top Bottom