ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mola sio mjomba wako,utaharibikiwaTunapo elekea Elimu ya huyu Raisi na uwezo kiakili Uwekwe Wazi!!
Tunapo elekea Mola ndiyo anajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola sio mjomba wako,utaharibikiwaTunapo elekea Elimu ya huyu Raisi na uwezo kiakili Uwekwe Wazi!!
Tunapo elekea Mola ndiyo anajua
Kama mama yako anavyomsubiri baba yako kila usiku siyo?Exactly, anguko la Tanganyika ni kubwa kwa huyu mama ! na kwa vile dini inawaweka wanawake as objects of sex, wakae ndani wawe mapambo ya nyumba, then imejidhihirisha kwa huyu mama ! Hawafai kutawala, wakae nyumbani wakisubiri wanaume waje usiku.......
Nimefurahia alivyomshughulikia Slaa,na Bado mtaumia sana si mlikuwa mnasema hagusiki.Exactly, anguko la Tanganyika ni kubwa kwa huyu mama ! na kwa vile dini inawaweka wanawake as objects of sex, wakae ndani wawe mapambo ya nyumba, then imejidhihirisha kwa huyu mama ! Hawafai kutawala, wakae nyumbani wakisubiri wanaume waje usiku.......
Samia hakuwahi kuchukua fomu ya kugombea uraisiTunapo elekea Elimu ya huyu Raisi na uwezo kiakili Uwekwe Wazi!!
Tunapo elekea Mola ndiyo anajua
Hajielewei huyo anaweweseka baada Slaa kushughulikiwa.Hawa ndio wale Huwa wanadanganyana na kulishana upumbavu huko vijiweniMbona sasa unajipinga mwenyewe?
Kwamba africa bado sana mwana make kushika madaraka makubwa kama ya u rais.
Kwamba mwanamke alitarajiwa afanye vizuri kwani anayo rejea ya makosa ya watangulizi wake ( AMBAO NI WANAUME) kwahiyo unakili kuwa wanaume wanakosea pia kama anavyo kosea mwanamke kwa sasa.
Kwa mantiki hiyo unasimama wapi kusema kuwa mwanamke hafai?
Mkuu makosa hayana jinsia, bali wakosaji.
Kama Samia anaangushwa na jinsia take, na watangulizi wake waliangushwa na nini?
Au imeibuka jinsia ya tatu ambayo haijawihi kupewa madaraka na sasa unataka ijaribiwe kwa kuipa madaraka?
Hoja ya ya jinsia hi haifai bali ile haisimami.
Mbona hawajamvimbisha Hilo tumbo?
Unakiri hakuchukua fomu hivyo akuingilia mlango sahihi siyo?Samia hakuwahi kuchukua fomu ya kugombea uraisi
Wanawake Wenye uwezo kama kina Rose migiro na Anna mgwhira(rip) walichukua fomu za kugombea uraisi na mkawakataa
So msikae hapa kukashifu wanawake ambao wamewazaa nyie wote mnaotapika hapa
Hata Mandela alipita humo humo kwenye ndoa ma kuwakataa watawala. Walimnyima hadhi na kumfunga, na ndoa yake na Winnie ikavunjia; akamuoa mke wa Hayati Moses.Slaa kwa Asili ni potential traitor; Amesaliti kanisa (kiapo Cha upadre), Amesaliti Ndoa, Alisaliti Chama Chake, Alisaliti allegiance yake kwa Dola. Kwa kifupi Slaa hawezi kuwa Balozi muaminifu.
Mbona Samia ni zaidi ya jpm mara 100. Sasa hivi nchi imetulia na maendeleo kedekede. Nenda Arusha na bagamoyo sehemu za utalii utagundua hilo. Utalii ulikuwa umekufa na uwekezaji sector binafsi ulikuwa umekufa na kuwafanya vijana wachanganyikiwe mtaani bila ajira popote umachinga ikawa ndo option. Sasa hivi ajira kila Kona ya nchi.Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!
Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.
HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!
Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Lakini si yeye mwenyewe Dk. Slaa alisema hata akinyang'anywa hadhi ya ubakozi hatishiki? Au alikuwa anatishia nyau?Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!
Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.
HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!
Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mbona Samia ni zaidi ya jpm mara 100. Sasa hivi nchi imetulia na maendeleo kedekede. Nenda Arusha na bagamoyo sehemu za utalii utagundua hilo. Utalii ulikuwa umekufa na uwekezaji sector binafsi ulikuwa umekufa na kuwafanya vijana wachanganyikiwe mtaani bila ajira popote umachinga ikawa ndo option. Sasa hivi ajira kila Kona ya nchi.
We kwa vile ulikuwa na ajira tayri huwezi kuona hivi vitu. Sasa hivi nchi tunaifirahia. Mi nilikuwa Nina maka mitano nyuma Sina ajira yoyote natrmbeza vyombo tu na nilisima tourism. Sasa hivi nipo Arusha kama front office operator na vijana kibao ambao walikuwa hawana ajira kabisa na matumaini kupoteza.
Hiyo alikuwa anawapa facts kwa sababu walikuwa wanamtishia hata kabla.Lakini si yeye mwenyewe Dk. Slaa alisema hata akinyang'anywa hadhi ya ubakozi hatishiki? Au alikuwa anatishia nyau?
Hivi Upinzani na Slaa nani alimsaliti mwenzake?Kwa elimu yake he had the right qualifications to be appointed as such..............(yue ni padre wa Kikatoliki with good training in Law, philosophy, psychology, ethics, administration etc etc etc! The issue and main concern is: he was appointed an ambassador out of sheer betrayal to fellow opposition camp! Na ulafi wa tumbo!
Ni hilo tu! Makamba ana hadhi gani ya kuwa Minister forforeigh affairs!
HapanaUnakiri hakuchukua fomu hivyo akuingilia mlango sahihi siyo?
Mama yako hapo kwenu ana kazi gani?ni hausigelo siyo?[emoji1787][emoji1787]