Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Exactly, anguko la Tanganyika ni kubwa kwa huyu mama ! na kwa vile dini inawaweka wanawake as objects of sex, wakae ndani wawe mapambo ya nyumba, then imejidhihirisha kwa huyu mama ! Hawafai kutawala, wakae nyumbani wakisubiri wanaume waje usiku.......
Kama mama yako anavyomsubiri baba yako kila usiku siyo?
 
Exactly, anguko la Tanganyika ni kubwa kwa huyu mama ! na kwa vile dini inawaweka wanawake as objects of sex, wakae ndani wawe mapambo ya nyumba, then imejidhihirisha kwa huyu mama ! Hawafai kutawala, wakae nyumbani wakisubiri wanaume waje usiku.......
Nimefurahia alivyomshughulikia Slaa,na Bado mtaumia sana si mlikuwa mnasema hagusiki.

Ni hivi utapiga ramli Hadi 2030 na hakuna kitakachoanguka.

Mwisho kama mama Yako ni lofa aendelee kumsubiria baba Yako Kila siku awe object of sex kama dini Yako inavyosema.
 
wanasiasa wote ni wale wale tu.. haijalishi jinsia.

shida waliyonayo wengi wao ni kushindwa kutofautisha kipindi
cha uongozi ni kipi na kipindi
cha kufanya siasa ni kipi.
 
Tunapo elekea Elimu ya huyu Raisi na uwezo kiakili Uwekwe Wazi!!

Tunapo elekea Mola ndiyo anajua
Samia hakuwahi kuchukua fomu ya kugombea uraisi
Wanawake Wenye uwezo kama kina Rose migiro na Anna mgwhira(rip) walichukua fomu za kugombea uraisi na mkawakataa
So msikae hapa kukashifu wanawake ambao wamewazaa nyie wote mnaotapika hapa
 
Mbona sasa unajipinga mwenyewe?
Kwamba africa bado sana mwana make kushika madaraka makubwa kama ya u rais.

Kwamba mwanamke alitarajiwa afanye vizuri kwani anayo rejea ya makosa ya watangulizi wake ( AMBAO NI WANAUME) kwahiyo unakili kuwa wanaume wanakosea pia kama anavyo kosea mwanamke kwa sasa.

Kwa mantiki hiyo unasimama wapi kusema kuwa mwanamke hafai?

Mkuu makosa hayana jinsia, bali wakosaji.
Kama Samia anaangushwa na jinsia take, na watangulizi wake waliangushwa na nini?

Au imeibuka jinsia ya tatu ambayo haijawihi kupewa madaraka na sasa unataka ijaribiwe kwa kuipa madaraka?

Hoja ya ya jinsia hi haifai bali ile haisimami.
Hajielewei huyo anaweweseka baada Slaa kushughulikiwa.Hawa ndio wale Huwa wanadanganyana na kulishana upumbavu huko vijiweni
 
Samia hakuwahi kuchukua fomu ya kugombea uraisi
Wanawake Wenye uwezo kama kina Rose migiro na Anna mgwhira(rip) walichukua fomu za kugombea uraisi na mkawakataa
So msikae hapa kukashifu wanawake ambao wamewazaa nyie wote mnaotapika hapa
Unakiri hakuchukua fomu hivyo akuingilia mlango sahihi siyo?
 
Slaa kwa Asili ni potential traitor; Amesaliti kanisa (kiapo Cha upadre), Amesaliti Ndoa, Alisaliti Chama Chake, Alisaliti allegiance yake kwa Dola. Kwa kifupi Slaa hawezi kuwa Balozi muaminifu.
Hata Mandela alipita humo humo kwenye ndoa ma kuwakataa watawala. Walimnyima hadhi na kumfunga, na ndoa yake na Winnie ikavunjia; akamuoa mke wa Hayati Moses.

Hayo ndio maisha ya wapigania haki, watetezi wa wanyonge! Hawa huwa hawapewi tuzo na Watawala, hunyang'anywa hata kidogo walichonacho.

Usishangae kwa Slaa
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Mbona Samia ni zaidi ya jpm mara 100. Sasa hivi nchi imetulia na maendeleo kedekede. Nenda Arusha na bagamoyo sehemu za utalii utagundua hilo. Utalii ulikuwa umekufa na uwekezaji sector binafsi ulikuwa umekufa na kuwafanya vijana wachanganyikiwe mtaani bila ajira popote umachinga ikawa ndo option. Sasa hivi ajira kila Kona ya nchi.

We kwa vile ulikuwa na ajira tayri huwezi kuona hivi vitu. Sasa hivi nchi tunaifirahia. Mi nilikuwa Nina maka mitano nyuma Sina ajira yoyote natrmbeza vyombo tu na nilisima tourism. Sasa hivi nipo Arusha kama front office operator na vijana kibao ambao walikuwa hawana ajira kabisa na matumaini kupoteza.
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Lakini si yeye mwenyewe Dk. Slaa alisema hata akinyang'anywa hadhi ya ubakozi hatishiki? Au alikuwa anatishia nyau?
 
Mbona Samia ni zaidi ya jpm mara 100. Sasa hivi nchi imetulia na maendeleo kedekede. Nenda Arusha na bagamoyo sehemu za utalii utagundua hilo. Utalii ulikuwa umekufa na uwekezaji sector binafsi ulikuwa umekufa na kuwafanya vijana wachanganyikiwe mtaani bila ajira popote umachinga ikawa ndo option. Sasa hivi ajira kila Kona ya nchi.

We kwa vile ulikuwa na ajira tayri huwezi kuona hivi vitu. Sasa hivi nchi tunaifirahia. Mi nilikuwa Nina maka mitano nyuma Sina ajira yoyote natrmbeza vyombo tu na nilisima tourism. Sasa hivi nipo Arusha kama front office operator na vijana kibao ambao walikuwa hawana ajira kabisa na matumaini kupoteza.

Watu kama ninyi ndio mnaofanya wadhalimu waendelee kuwa wadhalimu...

Very low IQ
 
Lakini si yeye mwenyewe Dk. Slaa alisema hata akinyang'anywa hadhi ya ubakozi hatishiki? Au alikuwa anatishia nyau?
Hiyo alikuwa anawapa facts kwa sababu walikuwa wanamtishia hata kabla.

Naunga mkono mada wanawake hawana huo uwezo. Hata hawa mawaziri kina mama wanapewa kwa sababu ya jinsia tu ila uwezo hakuna
 
Kwa elimu yake he had the right qualifications to be appointed as such..............(yue ni padre wa Kikatoliki with good training in Law, philosophy, psychology, ethics, administration etc etc etc! The issue and main concern is: he was appointed an ambassador out of sheer betrayal to fellow opposition camp! Na ulafi wa tumbo!

Ni hilo tu! Makamba ana hadhi gani ya kuwa Minister forforeigh affairs!
Hivi Upinzani na Slaa nani alimsaliti mwenzake?
Sijui kwanini aliondoka Upinzani, alifika bei kama mnavyosema au alikerwa na uwepo wa Lowasa?
 
Kumpatia mwanamke nafasi yo yote ile kwenye jamii inayomhusu mwanaume ni kosa kubwa kwa Mungu!

Mimi ni mkristo kiimani naamini hata kwa waislam mwanamke ni kiumbe dhaifu tu!

IMG_4724.jpg


Vivyo hivyo mji au familia ambayo ukikuta baba ni wa kupelekeshwa au kutawaliwa hiyo famia haifai hata kuoa hapo! Baba ndo ataheshimisha familia na baba ndo atafedhehesha familia sio mama!

Au binti alolelewa na single mother huyo nae si wa kuoa coz the way amelelewa ni tofauti na aliyelelewa na pande zote mbili

Mf: magufuli na mama nani kaiheshimisha Tanzania?
 
Back
Top Bottom