Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

Africa bado sana mwanamke kushika madaraka makubwa kama ya Urais

It was just a coincidence, hatuwezi kuchagua mwanamke kuwa raisi wa nchi hii katu. Huko marekani hawajawahi kuwa na female potus, iwe huku??

Hata hivyo African presidents wamekuwa walafi, waroho na watu wa hovyo sana.
 
Kwa hiyo Ubalozi ni zawadi ambayo ni lazima uitunze kwa kuwatumikia waliokutunuku, ukienda kinyume wanakifyeka cheo chao.
 
Hivi duniani kutakuja kutokea Tena wamama hawa.
Yule mama wa Philippines sijui nani akwino..halafu mama wa uiengereza Magreth thatcher na cancelor wa ujerumani aliestafu juzi nani sijui jina nimemsahau ..pamoja na mama Indira Gandhi wa India .

Hawa nilikuwa nawaita Strong woman.
 
Mbona Samia ni zaidi ya jpm mara 100. Sasa hivi nchi imetulia na maendeleo kedekede. Nenda Arusha na bagamoyo sehemu za utalii utagundua hilo. Utalii ulikuwa umekufa na uwekezaji sector binafsi ulikuwa umekufa na kuwafanya vijana wachanganyikiwe mtaani bila ajira popote umachinga ikawa ndo option. Sasa hivi ajira kila Kona ya nchi.

We kwa vile ulikuwa na ajira tayri huwezi kuona hivi vitu. Sasa hivi nchi tunaifirahia. Mi nilikuwa Nina maka mitano nyuma Sina ajira yoyote natrmbeza vyombo tu na nilisima tourism. Sasa hivi nipo Arusha kama front office operator na vijana kibao ambao walikuwa hawana ajira kabisa na matumaini kupoteza.
Sio kwamba hawayajui hayo, ila hawampendi tu Mama
 
Mwanaume siku zote ni mwanaume haijalishi mama yake kamzidi umri tambua mwanaume akili yake ni kubwa kuliko mwanamke note that
🤣🤣Unasema umezaliwa na mjinga halafu uwe na akili kubwa?ipi hiyo?
Wewe mwenyewe hapo kajambanani huna mbele Wala nyuma halafu akili kubwa?
 
Watu kama ninyi ndio mnaofanya wadhalimu waendelee kuwa wadhalimu...

Very low IQ
Very low IQ Gani wakati niliteseka sana kipindi Cha jpm. Kwa nini nisione mama kaletwa na mungu kutuescue sisi wanyonge ambao hatukuwa na pa kutokea
 
Tunaona mfano mzuri kwa wanawake walioshika nafasi hiyo , they could not deliver to anybody's expectation!

Tulitegemea wangelianya vema zaidi kuliko wanaume, maana wameshajua udhaifu mkubwa wanaume na hivyo wangelijitahidi kuonesha uwezo! Kumbe bado kabisa.

HILI LA SAMIA KUMVUA SLAA HADHI YA UBALOZI AMECHEMKA SANA NA KUWADHALILISHA WANAWAKE KATIKA HARD THINKING!

Wakae jikoni kwanza, wapike, walee watoto etc etc! And then usiku/Jioni iwe yao...........................
Nadhan tatizo kubwa ni mfumo wa Nchi hii ndio haimpi mwanamke credit ya ku perform well kweny nafas hiyo cz.. mfumo wa utawala wa CCM ni wa"One man show"!! So ndio maan ukiangalia kila atakae shika madaraka anakuja na lake kichwan hata kama halipo kweny ilani ya chama!! But ingekua ni Nchi yenye taasis imara hata kingwendu mbona anatawala good tu.
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Siri gani? Hamna kitu
 
Samia wa sasa akiwa Rais hana tofauti na Samia yule aliyekuwa makamu wa rais.
 
Hivi katika thinking Yako uliamini kabisa kabisa kuwa Slaa Ali-qualify kuwa na hadhi ya Balozi?

Anyway, Magufuli aliwahi kusema "Mnadhani Kuna Mtu anajua Siri za Nchi hii kama Raisi?"
Magu nae hizo Siri anapewa na nani? Wanaompa wanajua kuliko yeye actually walikua wa kwanza kuzijua
 
Mbona sasa unajipinga mwenyewe?
Kwamba africa bado sana mwana make kushika madaraka makubwa kama ya u rais.

Kwamba mwanamke alitarajiwa afanye vizuri kwani anayo rejea ya makosa ya watangulizi wake ( AMBAO NI WANAUME) kwahiyo unakili kuwa wanaume wanakosea pia kama anavyo kosea mwanamke kwa sasa.

Kwa mantiki hiyo unasimama wapi kusema kuwa mwanamke hafai?

Mkuu makosa hayana jinsia, bali wakosaji.
Kama Samia anaangushwa na jinsia take, na watangulizi wake waliangushwa na nini?

Au imeibuka jinsia ya tatu ambayo haijawihi kupewa madaraka na sasa unataka ijaribiwe kwa kuipa madaraka?

Hoja ya ya jinsia hi haifai bali ile haisimami.
Hoja ya jinsia inasimama sana. uwezo wa kukaa na kufikiri kuwa hili hapana, nasimama na maamuzi yangu mwenyewe!

Huyu hana analolisimamia, anayumba. Leo 4R, maridhiano and many others hakuna analolipigania, anayumbishwa na kila anayemkaribia. Simamia unaloliamini, power is invariably personal, there is no group power. Lazima uwe na kitu rohoni mwako kama Mkuu unachokisimamia.

Akina Kinana wanamyumbisha na hawezi kusimama. Huyu kesho ukimwambia kuwa wabaya wako ni Roman Catholic Bishop na waraka wao and therefore tuwaua, atafanya. Au kuwa wakatoliki ndio wanasumbua utala wako tuwaue ata sanction! hawezi kusema hili hapana! not to that extent!

Mara contract ni za hovyo unaona kifungu fulani kibovu nawe unaruhusu kiwepo, DP World anapigania na vifungu vibovu kuwahi kutokea.

Mara waliongeza cha juu kwenye ndege, hakun aliyewajibishwa

WE ARE DONE!
 
Kwa hiyo kwa sasa tuseme kila aliyeupinga mkataba wa DPW ni adui yake..na wote waliounga mkono ni maswahiba zake..?

Huyu mama walimsifia ooh mpenda demokrasia..kiko wapi?? Demokrasia anayoiweza ni ile ya kwenye mfuko..we mpinzani wangu..nakupa asali ukae kimya.

Sasa kaona huwezi kuwa fool watu wote..akimtuliza yule, anaibuka mwabukusi, mara kina silaa wanaibuka..tumeenda mbali hadi kina prof Tibaijuka wanaibuka.

Kitendo alichofanya ni cha aibu mno..amekurupuka..ametia aibu hiyo nafasi hasa kwa yeye ambaye hakuchaguliwa kwa kura..hapa kweli utawalaumu vipi washauri wake?

Haya aifute na TEC basi.
Alijisemea Mch Msigwa
Akili ndogo kuongoza akili kubwa
Aliyefeli form four anajilinganisha na mtu aliyegraduate PhD
 
Back
Top Bottom