Hatuwezi wote tikafanya kazi halaliHatusemi vibaya marehemu lakini sura tu zinawasaliti kwakweli.
Vijana tufanye kazi halali tuishi maisha yaliyo ndani ya uwezo wetu tuwe smart kimuonekano na zaidi kama hakuna ulazima tubaki tupambane tukiwa nyumbani
Ni hayo tu.
Mpaka sasa na utuuxima wangu
Naweza kusema katika vijana wa mwanzo mwanzo enzi hizo kwenda
Huko tulikuwa sisi ,kutokea kinondoni
Wakiwwpo na wakina makumbi nk
Wazee wa Italy trans
Wengi ambao miaka hiyo tuliendaga huko wote wakabaki,wamekufa
Visu,shaba nk
Kundi letu tuliporudi sasa ndy kila mtu akawa naye anataka kwenda huko
Sema enzi hizo,walikuwa wanaingia kwa kubinjuka senyenge border
Crime rate huko iko juu siku zote
Sikatai faulo tumecheza sema ukiwa kwenye game hiyo maisha yako unayaweka kwenye high risk
Kwenda kwenda huko nkaja kutana na smbdy k.stander ambaye alikuwa mkur3genzi wa sea cliff Hotel kaburu huyu ,ahh alinibadikishaga sana mindset
Akaniambia a,b,c,d za huko
Ova
Hahaha,aise kweli god is goodNakuunga mkono kwa 100% , na ulibadilika baada ya kupata muongozo sasa wenzako hawana hiyo bahati kwanza tunadanganyana kwa madiba mserereko hakuna kitu kama hiyo na wabongo wenye vyeti wachache wengi wanaishi kimagumashi sana, hata awe na pass unakuta muhuni kapitisha miaka kibao, acha wale wanaodandia maroli kutoka malawi au wanapita maumbiji kwa kuchana senyenge, zote hustle lakini kwa dunia ya sasa tuelezane ukweli bila hivo tutapoteza wengi
Tenda wema, kisha nenda zako. Uwe na uhakika kwenye hili, kila wema, au ubaya atendao mtu hulipwa na Mungu sometimes inaweza isiwe kwako bali kwa uzao wako. Be grateful.Kuwa salama au kutokua salama kunategemea na mazingira ya shughuli zako. Hao wote ni kazi chafu.
Mimi nina mbwa nilimpeleka huko namuita mbwa kwa sababu kafanikiwa na amepata uraia, na maisha yamenyooka, lakini mbwa yule kasahau fadhila.
Yes Africa haithamini kabisa Raia wao, Ulaya, America na hata Asia huwezi ua raia wao kizemve zembe, unaweza jikuta nchi inawekewa vikwazoSema nchi zetu pia hazithamini sana maisha ya raia wake huko ugenini... Imagine ni raia wa nchi za Ulaya au USA ndio inaripotiwa hivi, si msala sana...
Ni kweli mkuu, na hata wahalifu wenyewe huwezi kuta wana mess up na raia toka nchi flani flani kwa kuogopa msako.Yes Africa haithamini kabisa Raia wao, Ulaya, America na hata Asia huwezi ua raia wao kizemve zembe, unaweza jikuta nchi inawekewa vikwazo
Unaweza kulaumu lakini kihistoria Watu wengi wa mwanzo walioenda Nje hasa Afrika Kusini ni wale walikuwa na ujasiri na ambao wengi wao walikuwa hawana elimu. Wasomi (angalau kidato cha sita na kuendelea) walikuwa na uhakika wa kazi, uoga wa kusafiri kimagumashi na Nchi ilikuwa na utulivu wa kisiasa. Matokeo yake ni kuwa wengi wakaishia kufanya shughuli ndogondogo na hatimaye kuingia kwenye uhalifu.Katika safari zangu watu nilioona wanakwenda kwa malengo japo nao nafahamu wengine baadhi yao ni wahalifu warundi, wasomali, wazimbabwe, wamalawi, wanigeria wao hata biashara kubwa wanamiliki na elimu wanayo kubwa tu, kwahivo nadhani ni muhimu kuangalia nini utaamua kufanya maana nikiangalia hata Bongo ukituliza kichwa ukajichimbia sehemu kutoboa kuko palepale sema tumekariri ujanja ni south ukanyoe viduku, uwe kinyozi, mwizi wa highway, madawa maana kiuhalisia wabongo ni wachache sana wenye investment kubwa south za kueleweka
Shukraani mkuu kwa kumsaidia mtanzania mwenzako, welldone ipo siku nawe utasaidiwa na ninaamini baharia huyu alikuombea sana mkuu, yes maisha hapa ni tough na hakuna opportunities za kugeuza maisha kama huna connections zozote, SA unaweza geuza maisha hata kama hujawa connected, we don't need kufagia watanzania wote kwa ufagio mmoja, wapo hapa nchini wapopo kibao wanauza drugs na wanaishi better life kuliko wazawa ila hatuwahukumu wapopo wote kuwa wanafanya drugs peddling, baharia kama unataka kwenda kiwanja nenda, maisha popote paleKuna dogo mmoja nilikutana nae miaka ya nyuma nikamhoji akasema anatokea magomeni, sasa ilikua lusaka hapo kweli anapass ya kitabu lakini ndio anasafiri kwa kuungaunga hata hajielewi, tunavuka chirundu keshaishiwa kila kitu ikabidi nianze kusimamia show za misosi, kumuhoji sana alisema anaenda Durban mimi nilikua naishia harare, tukafika bus terminal Roadport ya zimbabwe nikaongea nae sana akasema anaenda kuuza madawa wenzake wamemwita, na nauli hana na simu za anaowafuata south hazipatikani ikabidi tumchangie nauli japo apande roli asogee hata mesina mimi na jamaa wa Mabasi ya taqwa alikua zimbabwe jina lake anaitwa S , sasa nikajisemea huyu kajipanga naenda kufanya issue za kihalifu, sikuwahi tena kujua yuko wapi maana ni miaka mingi sana imepita,
Tulia wewe msukuma kuna kukwama nani kakuambia mimi sikuwahi kukwama nikamuomba msaada. Sijamaanisha anilipe, kuna kukwama unamuomba mtu msaada ukitegemea anaweza kukusaidia maadam ni jamaa yako na umewahi kumsaidia.Ulitaka fadhila gani? Ulishakamilisha part yako, tulia.
Uthubutu...sasa watoto wa siku hizi wanaweza nini zaidi ya kulialiaUnaweza kulaumu lakini kihistoria Watu wengi wa mwanzo walioenda Nje hasa Afrika Kusini ni wale walikuwa na ujasiri na ambao wengi wao walikuwa hawana elimu. Wasomi (angalau kidato cha sita na kuendelea) walikuwa na uhakika wa kazi, uoga wa kusafiri kimagumashi na Nchi ilikuwa na utulivu wa kisiasa. Matokeo yake ni kuwa wengi wakaishia kufanya shughuli ndogondogo na hatimaye kuingia kwenye uhalifu.
Kwa wenzetu, kidogo hali ilikuwa tofauti. Kwa mfano Wakenya na Wanaijeria, wengi waliokuwa na shule ndiyo walienda South au ughaibuni. Matokeo yake elimu ikawasaidia kujiendeleza na kuingia kwenye shughuli nyingine rasmi, na hata kama ni wahalifu lakini walitumia akili nyingi na elimu iliwasaidia. Just imagine miaka ya mwanzo tisini Nigeria tayari kila jimbo kuna Chuo kikuu, Kenya tayari walikuwa na vyuo zaidi ya saba na likazaliwa tatizo la ajira kwa wasomi mapema zaidi wakati huku kwetu miaka hiyo elimu tu ya kidato cha sita unaringa hata kwenda jeshini na vyuo vikuu ni Sokoine na UD.
Shukraani mkuu kwa kumsaidia mtanzania mwenzako, welldone ipo siku nawe utasaidiwa na ninaamini baharia huyu alikuombea sana mkuu, yes maisha hapa ni tough na hakuna opportunities za kugeuza maisha kama huna connections zozote, SA unaweza geuza maisha hata kama hujawa connected, we don't need kufagia watanzania wote kwa ufagio mmoja, wapo hapa nchini wapopo kibao wanauza drugs na wanaishi better life kuliko wazawa ila hatuwahukumu wapopo wote kuwa wanafanya drugs peddling, baharia kama unataka kwenda kiwanja nenda, maisha popote pale
Uthubutu...sasa watoto wa siku hizi wanaweza nini zaidi ya kulialia
Na mwishow kujingiza kwenye mambo ya ajabu kama ushoga nk
Ova