Afukuzwa kazi ya Umeneja TRC kwa kumkosoa Rais Samia kuhusu tozo kwenye miamala ya simu na kukusanya mapato

Well said!
 
Amefukuzwa kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma. Barua imequote na vifungu vya Sheria na Kanuni. Nawe lete vifungu, otherwise utakuwa huna jipya.
 
Kumkosoa muheshimiwa raisi kistaha siyo kosa!Ila nadhani meneja alitukana viongozi matusi mazito ya nguoni tena bila staha,Mama ameamua kumparura[emoji51]

Kwa jicho la mbali naona hata akikata rufaa hashindi.
Hawezi kushinda huyo, kakashifu maelekezo ya viongozi wakati anatakiwa kuwa mtekelezaji wa maelekezo hayo ni insurbodination. Tozo zishapitishwa na bunge na sheria imesainiwa, wewe mtumishi wa umma unapinga tena kwenye public.... Kufukuzwa ni obvious. Isitoshe kafukuzwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma ambazo kila mtumishi lazima aziishi na kuzitii
 
Kumkosoa muheshimiwa raisi kistaha siyo kosa!Ila nadhani meneja alitukana viongozi matusi mazito ya nguoni tena bila staha,Mama ameamua kumparura😬

Kwa jicho la mbali naona hata akikata rufaa hashindi.
Una uhakika na unayosema?
 
Hawezi kushinda huyo, kakashifu maelekezo ya viongozi wakati anatakiwa kuwa mtekelezaji wa maelekezo hayo ni insurbodination. Tozo zishapitishwa na bunge na sheria imesainiwa, wewe mtumishi wa umma unapinga tena kwenye public.... Kufukuzwa ni obvious
Sheria sio porojo za Yanga na Simba.
 
Fact
 
Mtumishi wa umma jifunze kuishi kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi. Ni ajabu mtu ushafikia umeneja halafu unafanya mambo ya namna hii. Pia hata ku upload hiyo barua hapa itakubania riziki zako siku za usoni ndugu yangu
 
Na sisi tunaotumia 70% ya muda wetu makazini kuisifia CCM tunawekwa kundi gani?
 
Eti unakosoa mwajiri? The boss is always right. Akalime
 
Mtakapo ingiza siasa ktk kazi nakufikiri watu watatishika nikweli watatishika ila je kesho ya hili Taifa itakuwaje kumbukeni yalio tokea Libya nchi iliyokuwa imepandikiza makachero kila kona ila nyuma ya pazia walikuwa wakitemgeneza. Uwasi mbaya ulio pelekea taifa kuanguka. Kweli amekosea ila je alisema kwa nia gani nje ya kazi ni Raia nje ya kazi ni mpiga kura nje ya kazi ni mtanzania wakawaida kama wengine kosa lake ni kutokubaliana na kile serikali wanakifanya well ni haki yake ya msingi kwani hili ni taifa la kindemokrasia na kama hakuna hiyo democrasia ondoeni vyama vingi ondoen mambo yakupiga kura maana tuta umizana bure pasipo sababu.
 
hatari sana hii tunaelekea wapi wapi Tanzania, akikomaa na kupata mwanasheria mzuri anaweza kuchomoka
Sio kuchomoka tuu bali kufanya mfumo wetu wa utawala udhalilike kabisa.
Niwaombe taasisi za kiharakati za kupigania demokrasia kulivalia njuga suala hili ambalo limejulikana wazi.
Ni dalili kuwa wengi wanakumbana na Masahibu ya aina hii na tunaporeza wataalamu wetu kwa kuwalinda wanasiasa majambazi wasikosolewe.
 
Huu upumbavu wa kadogosa unaukuta tanzania, nchi kama Kenya zenye independent judicial system huwezi kuta mtu anaandikiwa barua za kipumbavu kama hii
 
Mambo mengine usije kuta Ni walamba viatu wa mama.
Mama mwenyewe hata habari hana
 
Kwa ufupi ni kwamba ukiajiriwa na serikali hutakiwi kupinga anachosema Boss wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…