Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Mwamvuli gani wa kimataifa NK wacha mbwembweWana controlled fredom. Naongelea NK maana nimefanya kazi kule chini ya mwavuli wa kimataifa, tunaambiwa usiongelee siasa, uhuru wa watu bali fanya kazi yako kama ni kuhusu wanawake na watoto basi. Je unapokuta mama amenyang'anywa ardhi yake aliyopewa kulima anapewa mtu mkubwa, huna uwezo wa kumwambi shtaki sababu mahakama ni za wananchi ambazo zipo controlled. Hata china yule dada aliyesema alidhalilishwa na top official wa Tennis aliishia wapi?
Kila group lina machawaUtakuta kuna mtu ali screenshot alichoandika akatuma management.
Kibatala alishajitolea tayari bureMahakamani nako labda apate Wakili msomi(Kibatala au arudi Tundu Lissu) lakini kinyume na hapo asijisumbue, atapoteza hata kile kidogo alichokuwa amechuma.
Inasemekana Kibatala keshajitolea kumteteaLevel ya akina kibatala nk nk
Mbaya zaidi ccm hawaoni hatari iliyo mbele ya taifa kisa ubinafsi tu!Tanzania hatuna tofauti na nchi kama North Korea, Russia, Cuba na China. Bado tuko kule kule kwenye zama. Naona itakuwa ngumu sana kutoka huko mpaka pale CCM itakapotoka madarakani!
Mtakapo ingiza siasa ktk kazi nakufikiri watu watatishika nikweli watatishika ila je kesho ya hili Taifa itakuwaje kumbukeni yalio tokea Libya nchi iliyokuwa imepandikiza makachero kila kona ila nyuma ya pazia walikuwa wakitemgeneza. Uwasi mbaya ulio pelekea taifa kuanguka. Kweli amekosea ila je alisema kwa nia gani nje ya kazi ni Raia nje ya kazi ni mpiga kura nje ya kazi ni mtanzania wakawaida kama wengine kosa lake ni kutokubaliana na kile serikali wanakifanya well ni haki yake ya msingi kwani hili ni taifa la kindemokrasia na kama hakuna hiyo democrasia ondoeni vyama vingi ondoen mambo yakupiga kura maana tuta umizana bure pasipo sababuHii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Inara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?
TAMKO LA TRC
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano TRC, Jamila Mbarouk alipoulizwa kuhusu suala hilo amesema: “Kwa sasa sijapata taarifa rasmi ya suala hilo, nalifanyia kazi kisha nitatoa taarifa rasmi,” - Jamila
Ukosefu wa heshima hizo text aliuzituma kwenye page ya ofisi? Au alim conront Samia ana kwa ana!? Huko ni kujipendekeza ama "booty licking" kama alivyoainisha Wakili MsomiUkosefu wa heshima kwa mkuu wako wa kazi (insubordination) lazima uliwe kichwa.
Uhuru ukizidii unazaa taifa lisilo na adabu.Ukosefu wa heshima hizo text aliuzituma kwenye page ya ofisi? Au alim conront Samia ana kwa ana!? Huko ni kujipendekeza ama "booty licking" kama alivyoainisha Wakili Msomi
Kuna mahali wamesema ameidharau ofisi ya Rais? Nyie ndio walewale, barua inazungumzia kukosoa jee kukosoa ni kosa?Anaweza kuwa anapoteza muda huyo aliyefukuzwa kazi. Huwezi kuidharau ofisi za rais kwa maana ya cheo chake halafu uendelee kuwa mtumishi wa serikali unaopokea mshahara wa serikali.
Uhuru wa kidemokrasia una mipaka yake.
Na nidhamu ya uoga huzaa taifa la mazezetaUhuru ukizidii unazaa taifa lisilo na adabu.
Ni ujinga kila wakati kumtumia Magu kama escape route.Huyo hayupo ameshatangulia tupime matendo yetu ya sasa.Bora haya, ingekuwa enzi za Magu tusingeona notice mtandaoni badala yake tungesikia tu Meneja kapotea kaenda kutafuta maisha kwingineko
Kwani mkataba wake wa ajira unasemaje?Anaweza kuwa anapoteza muda huyo aliyefukuzwa kazi. Huwezi kuidharau ofisi za rais kwa maana ya cheo chake halafu uendelee kuwa mtumishi wa serikali unaopokea mshahara wa serikali.
Uhuru wa kidemokrasia una mipaka yake.
Kachomwa huyoUtakuta kuna mtu ali screenshot alichoandika akatuma management.
Kumbe unamkumbuka!Acha ujinga, huyu unayetaka tumkumbuke ndiye mwanzilishi wa upumbavu huu nchi hii.
Wana CCM mnatafunanaAnaupiga mwingi
Kwa ujinga wakeKumbe unamkumbuka!