Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Angemtukana wangeliandika hapo na angepelekwa mahakaman kwa kumtusi Rais! Barua yao yenyewe unasema kwa kuwakosoa viongozi wa juu wa NchiKumkosoa muheshimiwa raisi kistaha siyo kosa!Ila nadhani meneja alitukana viongozi matusi mazito ya nguoni tena bila staha,Mama ameamua kumparuraš¬
Kwa jicho la mbali naona hata akikata rufaa hashindi.