hukuelewa theme mkuu....Kwa sababu ni kiongozi ata ukifanya madudu wakupigie makofi? Huo ni upumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hukuelewa theme mkuu....Kwa sababu ni kiongozi ata ukifanya madudu wakupigie makofi? Huo ni upumbavu
Nilikuwa sijui kama umejawa ujinga wa kiwango hikiBora haya, ingekuwa enzi za Magu tusingeona notice mtandaoni badala yake tungesikia tu Meneja kapotea kaenda kutafuta maisha kwingineko
1. Nani alikuambia raia wa south Korea hawana Uhuru ?Haongelei kiuchumi wala miundombinu ya vitu bali haki ya raia kujiamlia mambo yao kama tulivyozoezwa kusema "Kila mtu ana haki ya kwenda atakako kusema atakacho na kukutana na watu mradi havunji sheria". Hizo nchi hazina hilo inabidi kila nyendo za kila raia ziratibiwe kisiri siri.
MAENDELEO YA NCHI SI VITU BALI NI WATU WENYEWE. Fafanua.
South Korea nimeiandika kimakosa. Ni North Korea ...... hizo nchi zimezidi sana katika ukandamizaji wa haki za raia wake ..... same as Tanzania.Kuifananisha nchi inayo nuka umasikini[ Tanzania ] na mataifa Kama China, Russia, South Korea unaya vunjia sana heshima hayo mataifa.
Vyote ni sawa vinatofautiana kidogo tu.Wamesema kukashifu siyo kukosoa
Kukosoa si kosa,kosa ni kukashifu.
Si aliitwa kwenye kamati ya uchunguzi wa mashtaka, vipi hakuweza kujitetea?Hii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Inara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?
View attachment 2331170
View attachment 2331171
View attachment 2331172
Si aliitwa kwenye kamati ya uchunguzi wa mashtaka, vipi hakuweza kujitetea?Hii ni hatari sana. Ina maana kutoa maoni ni kosa? Inara ya 18 ya katiba JMT inasema vipi?
View attachment 2331170
View attachment 2331171
View attachment 2331172
Wana controlled fredom. Naongelea NK maana nimefanya kazi kule chini ya mwavuli wa kimataifa, tunaambiwa usiongelee siasa, uhuru wa watu bali fanya kazi yako kama ni kuhusu wanawake na watoto basi. Je unapokuta mama amenyang'anywa ardhi yake aliyopewa kulima anapewa mtu mkubwa, huna uwezo wa kumwambi shtaki sababu mahakama ni za wananchi ambazo zipo controlled. Hata china yule dada aliyesema alidhalilishwa na top official wa Tennis aliishia wapi?1. Nani alikuambia raia wa south Korea hawana Uhuru ?
2. Nani alikuambia raia wa Russia hawana Uhuru ?
3. Nani alikuambia raia wa China hawana Uhuru ?
Huo ukandamizaji wa haki za binadamu kwa mujibu wako [ MTANZANIA ] au kwa mujibu wa raia wa hizo nchi ?South Korea nimeiandika kimakosa. Ni North Korea ...... hizo nchi zimezidi sana katika ukandamizaji wa haki za raia wake ..... same as Tanzania.
Hawezi kushinda kwenye tume ya utumishi wa umma kwa kuwa kule wamejaa makada.. Pia kuna kuibeba Serikali..Kumkosoa muheshimiwa raisi kistaha siyo kosa!Ila nadhani meneja alitukana viongozi matusi mazito ya nguoni tena bila staha,Mama ameamua kumparura😬
Kwa jicho la mbali naona hata akikata rufaa hashindi.
Yule mwanatenesi wa kimataifa wa kichina yupo na alitoka hadharani kupinga hayo mashataka unayoyazungumzia wewe na wale wote wa magharibi waliozungumza hizo habari.Wana controlled fredom. Naongelea NK maana nimefanya kazi kule chini ya mwavuli wa kimataifa, tunaambiwa usiongelee siasa, uhuru wa watu bali fanya kazi yako kama ni kuhusu wanawake na watoto basi. Je unapokuta mama amenyang'anywa ardhi yake aliyopewa kulima anapewa mtu mkubwa, huna uwezo wa kumwambi shtaki sababu mahakama ni za wananchi ambazo zipo controlled. Hata china yule dada aliyesema alidhalilishwa na top official wa Tennis aliishia wapi?