Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Bora haya, ingekuwa enzi za Magu tusingeona notice mtandaoni badala yake tungesikia tu Meneja kapotea kaenda kutafuta maisha kwingineko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumkosoa muheshimiwa raisi kistaha siyo kosa!Ila nadhani meneja alitukana viongozi matusi mazito ya nguoni tena bila staha,Mama ameamua kumparura😬
Kwa jicho la mbali naona hata akikata rufaa hashindi.
Hata hapo ulipo, haupo salama!Mambo ya kustaajabisha sana haya, bora siko huko serikalini maana wangenifukuza mapema sana sababu huwa siwezi unafiki.
Niondolee ujinga, mimi sio napinga ila huwa ni mtu wa kutoa maoni yangu kulingana na haki yangu kikatiba. Mambo yakiwa yanafanyika ya kipuuzi siwezi shabikia hata kidogo na siwezi kuwa on the side ya washabiki mandazi.KWA HIYO HUKO ULIKO UNAPINGA MAMBO YA VIONGOZI WAKO NA FRESH TU.....AU KAMA WEWE NDO KIONGOZI ...WA CHINI YAKO WAKIKUPINGA UNAWAACHA FRESH TU
Haongelei kiuchumi wala miundombinu ya vitu bali haki ya raia kujiamlia mambo yao kama tulivyozoezwa kusema "Kila mtu ana haki ya kwenda atakako kusema atakacho na kukutana na watu mradi havunji sheria". Hizo nchi hazina hilo inabidi kila nyendo za kila raia ziratibiwe kisiri siri.Kuifananisha nchi inayo nuka umasikini[ Tanzania ] na mataifa Kama China, Russia, South Korea unaya vunjia sana heshima hayo mataifa.
Lengo la sheria ni kukomoa watu masikini,thus huwezi kuta tajiri jelaYaah,huu ndiyo ukweli!sheria zipo kwa ajili ya watu wenye hadhi Fulani.
Najua sipo salama mkuu, ila hupaswi kunitisha. Sababu hata wewe haupo salama japo sijakwambiaHata hapo ulipo, haupo salama!
Hapana mkuu,nilichotaka kusema ni kuwa kwa Afrika boss hakosolewi hadharani.Unaamini wakikosolewa kwa staha wanajali? Maana uzoefu tunao.
umekuwa mkali tayari hii inaonyesha in a big picture ulivyoNiondolee ujinga, mimi sio napinga ila huwa ni mtu wa kutoa maoni yangu kulingana na haki yangu kikatiba. Mambo yakiwa yanafanyika ya kipuuzi siwezi shabikia hata kidogo na siwezi kuwa on the side ya washabiki mandazi.
Wewe nawe mpumbavu tu! Kwa huyo Magufuli alikuwa hakosolewi? Huyu bibi yenu akili zake za kuongoza NGO nchi ishamshinda!Bora haya, ingekuwa enzi za Magu tusingeona notice mtandaoni badala yake tungesikia tu Meneja kapotea kaenda kutafuta maisha kwingineko
Achane, naye anachwana! Huo utamaduni si wetuTuko gizani sana, nahisi siku ikitokea mtu akachana hotuba ya raisi anaweza akapigwa shaba on the spot. Refer to what Pelosi did to Donald Trump 😂😂😂
Ndo kawaida haswa wale chawa kupenda sifa. Ndo maana izo group za kazini hata kama ya ishu zenu binafsi kama magroup ya vitengo, labda mnacheza vikoba, magroup ya harusi ukijifanya umeshare mambo kama hayo Kuna wambea unachomwa kweupe kwa boss.Utakuta kuna mtu ali screenshot alichoandika akatuma management.
Mkuu nimekujibu kama ambavyo umeuliza, wala sijawa mkali ila tafsiri yako huenda imekublind.umekuwa mkali tayari hii inaonyesha in a big picture ulivyo
Kwa sababu ni kiongozi ata ukifanya madudu wakupigie makofi? Huo ni upumbavuKWA HIYO HUKO ULIKO UNAPINGA MAMBO YA VIONGOZI WAKO NA FRESH TU.....AU KAMA WEWE NDO KIONGOZI ...WA CHINI YAKO WAKIKUPINGA UNAWAACHA FRESH TU
there is a thin line between kukosoa na kukashifu, ukikosoa wakubwa zako wa kazi inaitwa kukashifu, ukikosoa kwenye kahawa kuwa Mandonga anaweza kupiga mpira kuliko Mzungu wa Simba Dejan inabaki kukosoa!Wamesema kukashifu siyo kukosoa
Kukosoa si kosa,kosa ni kukashifu.
nilitaka kujua kama unaruhusu kuwa challenged ...lkn ukweli hamna kitu...anyway mawazo yako yaheshimiwe....nyuma ya keyboard with anonymous account kila mtu yupo perfect...lkn in reality tuko tofauti snaMkuu nimekujibu kama ambavyo umeuliza, wala sijawa mkali ila tafsiri yako huenda imekublind.