Trailer la JOB NDUGAI halikueleweka,mapicha yenyewe yanakuja
jitieni mnajua sana toa mawazo yenu wakati mnaemwita mpole anawaskia
vikauli vyake vyepesi sana ila (vina command ndani yake) "na hili nalo mkalishughulikie"
kwa sauti nyororoooo,sasa wewe fkiria ile sauti ndio na moyo uko hivyo hivyo,ki ufupi
nasema tutakaa miaka 100 kuja mpata JPM mwingine,muogope sana mtu mnafki
anaekuchekea usoni ila moyoni ana yake,JPM alikua hana unafki anakupa hapo kwa hapo
akifurahi unajua akikasirika wote tunajua,OGOPA sana hawa viumbe wanaojitia wao HASIRA kwao ni JINAI hawakasiriki hadharani,wanakasirikia mafichoni effect wanazipata wahusika.
Hii nchi kama unajua kula yako inaitegemea serikali,Unga zako tu juhudi maisha yako na wanao na familia yakuendeee,acha mawazo ya kitundu lissu,mawazo ya ki pinzani pinzani.
Baki na mawazo yako moyoni kwa usalama wa familia na maisha yako kwa ujumla,tupo ktk uongozi ambao bila kuwa Mnafki hutoboi, Viongozi wa juu wote ni wanafki.
na huu unafki wao mtaujua MAMA akitoka madarakani,namna watavyoungana na wanaomponda bi tukinao.
Unafki sinaga na hivi sitegemei mafao yao wala v8 zao hazinihusu ntasema wazi siku zote Nchi hiii Rais alikua JPM tu wengine wote walikua Full Unaaaa + Aliepo wote ni wanaaa...