Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Acha wivu na husda...yange yange dini na imani yake inamruhusu kufanya hivyo, na yange yange sio mtu wa kwanza kufanya hivyo, mimi natamani kufanya hivyo sema tu sina huo uwezo wa kifedha
 
afaidi wapi wewe???...labda awaroge,,,lakini akiwaacha ivivi alaf wakaungana wakawa ki2 kimoja,,,jamaa atahamia mitaro y amnazi mmoja kama geto lake jipya!!!!!wewe mwangalie huyu mwanamke wa mwisho kabisa upande wakulia,,,mtazame kwa makini utagundua ki2!!!
 
Anatekeleza agizo la nani?
===
Kongore kwake. Na abarikiwe kwa imani yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
lengo lake lilikua ni kufunga ndoa na wanawake wanne kwa siku hiyo.......
 
Tukiweka Kando udini,

Si rahisi kuwatimizia wote watatu haki yao kila siku...Kila wakati wanapohitaji

Mke mmoja anatosha kabisa.
Zingine ni tamaa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…