Afunga ndoa na wanawake watatu kwa mkupuo. Jamaa atafaidi sana

Akifika miaka 40 huyo atachapiwa balaa, maana na mda wa kimoja chali saizi wacha amalizie ujana
 
Anasumbuliwa na pepo la ngono tu huyo!!
 
ukikuta mabinti wanaoyaweza matusi, inakuwa raha sana, lazima uwahi kurudi nyumbani kila siku.
 
Unaoa wake 3 Alafu Huna uwezo wa kuwanyoosha sawa sawa kamoja chali hapo utakua umewaolea wanaume wengine wakusaidie kazi [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ni ulevi wa ngono tu..

Halafu mimi nikinunua kreti za bia zikiwa ndani jamii inanishangaa wakati mlevi ni mlevi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…