Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha ,we jamaaNikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
Ndoa siku hizi ni msala ujaoPamoja na adhabu iliyotolewa, nadhani kulikuwa na haja Mahakama ikajiridhisha zaidi Kwa kupata ripoti ya Daktari.
Lakini pia, isije kuwa hii ni mbinu inayotumika kutuumiza Wanaume.
Unaweza ukawa unapewa hayo mambo kama sehemu ya Starehe na mapenzi yenu na Mkeo alafu baadaye akaja kuitumia kukufunga jela.
Mtafanya Wanaume tuombe talaka Kwa Wake zetu sasa kuogopa hayo yasije kutokea.
Mungu atunusuru Wanandoa, naona Taasisi ya Ndoa inaendelea kupigwa Vita Kila Leo 😭
Taasisi ya Ndoa inazidi kwenda mrama, siku siyo nyingi zujazo taasisi hii itakufa kibudu rasmi.Ndoa siku hizi ni msala ujao
Mkuu huwajui hawa viumbe wanawake.Inawezekana kabisa alimchoka mumewe kwaiyo akamrushia hicho kinyesi.Duh kuna watu makatili sana. Jela inamfaa akafundishwe adabu na wababe zaidi yake
Me nadhani Kuna jitihada za makusudi kutufanya Wanaume tuanze kuona Ndoa ni kama Jela....yaani tusioe kabisaNdoa siku hizi ni msala ujao
DahNikikuta umechelewa kupika kifiro
Nikikuta unachat na wanaume wengine kifiro
Nikiacha hela ya nyama nikakuta maharagwe kifiro.
Ukichelewa kujib txt kifiro
Daaaaah!!! Kwa hawa dada zetu wa mjini, atajitahidi kila siku akoseee
Kwa matukio kama haya watu wa 'Kataa Ndoa' wanaeleweka vuzuri sana akilini mwa watu.Me nadhani Kuna jitihada za makusudi kutufanya Wanaume tuanze kuona Ndoa ni kama Jela....yaani tusioe kabisa
Ni mambo ya ajabu kabisaKwa matukio kama haya watu wa 'Kataa Ndoa' wanaeleweka vuzuri sana akilini mwa watu.
Nakazia, hiyo mitabia ya watu wa daslamu wasituchafue wakingaSio njombe mkuu wa njombe hatuna izo mambo
Au hujui kusoma mkuu?Huko Njombe si ndiko walipelekewa virainishi wasichubuane?...
Sio zanzibar hii, lkn basiMahakama ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa imemtia hatiani Dickson Mbwilo (42), mkazi wa Kitelewasi na kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mke wake.
Kulingana na maelezo ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka (32), mumewe alikuwa akimfanyia kitendo hicho pale anapokuwa amekosea ili iwe ndiyo adhabu yake hali ambayo ilimsababishia sehemu zake za siri kuharibika vibaya.
Hata hivyo, mpaka kufikia hatua ya Mbwilo kutiwa hatiani na kufungwa, mlalamikaji hakuwahi kufika kortini kutoa ushahidi wake, isipokuwa Mahakama iliamua kuegemea maelezo yake aliyokuwa ameyaandika Polisi.
Hukumu hiyo ilitolewa Machi 6, 2024 na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Benedict Nkomola na nakala yake kupatikana Machi 12, ikisema ushahidi uliotolewa umethibitisha mashtaka dhidi ya Mbwilo.
Hakimu amesema katika kesi ya jinai, maelezo ya malalamikaji yanaweza yakatumika kama sehemu ya ushahidi kwa kuwa sheria ya ushahidi inatoa utaratibu wa kushughulika na kesi ambazo mlalamikaji atakuwa hapatikani kutoa ushahidi.
Kuna njemba ya Lugarawa huko Njombe Ludewa, yeye alimfumua rinda mke wake kwa kosa la kuchelewa kurudi kutoka kwenye harusi kama sikorei.Nakazia, hiyo mitabia ya watu wa daslamu wasituchafue wakinga
Hao sio wakinga ni wahamiajiKuna njemba ya Lugarawa huko Njombe Ludewa, yeye alimfumua rinda mke wake kwa kosa la kuchelewa kurudi kutoka kwenye harusi kama sikorei.
Uzi uko hapahapa JF.
Tofautisha Njombe na mufindi iringa(hii ni mafinga)kama km 20-25 kutoka mafingaHuko Njombe si ndiko walipelekewa virainishi wasichubuane?...
Geita wakirudi ni bandika banduabado wako site wana plot tukio
Adhabu ya kumfira? Yaan Jamaa amekosa Adhabu zote hadi achague Adhabu ya kumfira?Duuuuh