Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kubabake tangu 2014 akiwa na 26 anatafuta mke, sahivi ana 36 na hajapata.upuuzi mtaacha lini
kenge blue
Natafuta mke wa kuoa "soon"
Ukitaka kuona maisha ni magumu, hayaendi mbele wala hayapangiki, basi fanya makosa ktk kumpata mwenza (mke/mume). Haya si maneno yangu bali wahenga waliyanena haya. Nakuja jamvini hapa kwa nia thabiti ya kumpata mwenza wangu. Kwa mdada yeyote mwenye sifa zifuatazo ani-PM. -awe kabila lolote...www.jamiiforums.com
Unataka umtafutie wa kumfulia boxer?Ana changamoto huyo.Kubabake tangu 2014 akiwa na 26 anatafuta mke, sahivi ana 36 na hajapata.
Kwani yuko wapi huyu......
Kuna jamaa etu mmoja . Sijui ilikuaje akaingia dubai.Astaghifilullah!
Nimezingatia hapo "anajiuza"!🤔Kuna jamaa etu mmoja . Sijui ilikuaje akaingia dubai.
Kaponda Maisha sana, Kajivuna sana, Hakuwahi kuoa .
Kumbe alikua anajiuza kwa Waarabu wa dubai.. kiufupi kwa sasa Ameharibika vibaya sana, aibu, Kila mtu anamkwepa.
Una miaka mingapi??Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Unajikwatua?Do you copy me from the scene of crime!One man down.Back up needed alongside with stretchers!Over!Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Hakikawakati utafika tu😂
DaKuna jamaa etu mmoja . Sijui ilikuaje akaingia dubai.
Kaponda Maisha sana, Kajivuna sana, Hakuwahi kuoa .
Kumbe alikua anajiuza kwa Waarabu wa dubai.. kiufupi kwa sasa Ameharibika vibaya sana, aibu, Kila mtu anamkwepa.
🤣🤣Ponda mali uzee waja...Je watoto unao ama ndo ukifa tukutie nguzi huko kwa rutu.Wenzako wana familia ww baba yako angetaka aponde raha ww si ungeishia kwenye condom ukatupwa jalalaani 😎
Naomba uje kwenye huu uzi baada ya miaka 20 utoe mrejesho wa mafanikio yako ukilinganisha na hao, rika zako Wachovu.Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Sasa tufanyaje?Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?
Kwahiyo kama sikujiamulia kuzaliwa ktk sayari hii manake sitakiwi kujiamulia kitu chochote? Au point yako ni ipi hasa..?Ujuaji mwingi = Kukosa maarifa.
Mbona hukujiamulia kuzaliwa ktk sayari hii?
Kila kitu katika hii dunia huwa kina mipaka (kiasi) tena si kwa kupenda au kutopenda na ndivyo maisha yalivyo.Kwahiyo kama sikujiamulia kuzaliwa ktk sayari hii manake sitakiwi kujiamulia kitu chochote? Au point yako ni ipi hasa..?
Kawa SHOGA now au ujaelewa THREAD yakeKubabake tangu 2014 akiwa na 26 anatafuta mke, sahivi ana 36 na hajapata.
Kwani yuko wapi huyu......
Maisha ya aina hii kwa mwanaume usipokuwa makini hugeuka ya kipweke mno umri unavyosogea.Kwanza najikwatua kwa sana, na napiga pamba za ukweli, na naenda viwanja vya maana.
Naishi apartment nzuri, siyo kama ma-mates zangu, wengine wamepanga nyumba mbaya mno, wale wanaoishi nje ya mji ndiyo wamepanga nyumba nzuri.
Vacations nazipiga kama zote. Na natembea na mtu ninayemtaka bila kizuizi wala hofu. Nanenepa kwa furaha na raha.
Acha kuiga mtindo wa maisha wa Babu na bibi zako, unaoa ili ugundue nini?