Age-mates wangu waliojiingiza kwenye ndoa wamechoka, wanatia huruma. Mimi ambaye bado "napuyanga" naponda raha tu

Maisha ya aina hii kwa mwanaume usipokuwa makini hugeuka ya kipweke mno umri unavyosogea.
Kwahiyo wewe unategemea watoto ama mkeo ndiyo awe mfariji na faraja kwako uzeeni?

Unajua mipango ya Mungu, vipi wakifa wote ukabaki peke yako uzeeni?

Ndiyo maana maanadiko yanasema amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu. Mtegemee Mungu, acha mawazo ya laana ya kumtegemea mwanadamu.
 
Unachelewesha watoto shule, baadaye wanaanza kukuita babu 😀 unastaafu mtoto wa kwanza yupo la nne😀 utaelewa tu umuhimu wa nguvu ya ujana 😀 fainali uzeeni
Nani kakudanganya kuwa watoto ni assets hadi uharakie kuwazaa? Haya ni mawazo ya kijinga kweli kweli.

Kama unadhani watoto ni collateral kajaribu kukopea pesa benki.
 
Kuna siku utabanwa na ngiri ukiwa kwenye hiyo apartment yako usiku ndio utajua hujui.
 
Nikiona Mwanaume yoyote Anaoa huwa si tu Namdharau ila pia namuona ni kama vila hana Akili Timamu. No Kuoa!!!!
 
Hakuna mbegu inayozaa pasipo kuzikwa ardhini ni suala la muda watakupita ukiwa umesimama ukishikilia sabuni.Ndoa ni muhimu sana kwa mtu mwenye kutaka kuwa na bright future.Changamoto hazikosekani katika maisha haya
 
Subiri upate JIPU KATIKATI YA YA ILE MILIMA MIWILI KARIBU NA JICHO LA TATU najua utaenda hosp private sawa ila kuna wakati utahitaji kukandwa utaelewa tu lakini yoote tisa mtu anaekataa ndoa utoto unamsumbua
 
Japo siku hizi fedha imerahisisha access ya kupata K direct au indirect ila haindoi umuhimu wa ndoa.

Hamna kitu kibaya kama upweke.
 
Kwahiyo, kwa mtazamo wako, ndoa ndo zimewafanya hayo? Hakuna ambao hawajaowa bado wanakaa kwa shemeji?
 
Katika wote kwenye uzi huu, wewe ndiyo umenena👏. The rest ni pumba tu wamenena.
 

Point yako ni ipi? Watu waoe au wazae? Unajua unaweza ukazaa na usioe??
 
Unajidanganya tu, hakuna raha hapo.

Raha ya maisha uwe na Familia njema na mwenza pembeni anaekusubiri ukijuwa kuwa yeye ni stara yako na wewe ni stara yake.
 
Mkuu unachofanya ni sawa na kuuma meno kwenye ugomvi, sasa si bora ukimbie? Ametoa hoja, nawe pinga hoja yake kwa hoja, na siyo kutukana. Be a man!
mkuu unazinua hoja au unaweka ujinga wako hadharani..... huo muandiko wakusisimua kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…