Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Agenda ya Mohamed Said ina ukakasi

Nakubaliana nawe. Huyu mzee huwa ananuka udini. Ni mtumwa wa kiarabu wa kujitakia. Kila akiongea au kuandika, unaona sumu na udini visivyo mithalika
Father...
Ukinitambulisha kwa maneno ya, "Huyu mzee..."

Tayari najua kuwa umeghadhibika.

Hakika mimi ni mtumwa lakini si wa Kiarabu ukisema hivyo ni kunipa mimi kabila isiyo yangu.

Najua ulikusudia kuniita mimi mtumwa wa Waarabu.
Mimi ni mtumwa na najifaharisha kwa kuwa mtumwa.

Mimi ni mtumwa wa Yule Aliyeumba Mbingu na Ardhi.
Allah.

Siwezi kujinasibisha na Mwenyezi Mungu kisha kauli yangu ikawa sumu.

Ningekuwa natema sumu nisingekuwa ndani ya kitabu cha maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kilichoandikwa na Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ngwazi Kamatha.

Wala nisingekuwa ndani ya Dictionary of African Biography.
Wala Cambridge Journal of African History.

Wala sijaandika udini wowote mahali popote.

Nilichoueleza ulimwengu wa wasomi ni kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika imefuta sehemu kubwa sana ya ukweli kwa kukwepa wazalendo walioupigania uhuru wa Tanganyika.

Wengi wa wazalendo hawa ni Waislam.
Nimeandika historia zao kwa kirefu.

Julius Nyerere hakuwa peke yake.
Kwa nini walifanya khiyana hii ni hofu tu ambayo haikuwa na sababu.

Nimeiandika historia ya kweli kitabu kina uhai wa robo karne kimepigwa chapa mara nne na nchi ni shwari.

Kitabu changu hakijasababisha machafuko yoyote.
 
Huyu mzee wangu wa Gerezani aangaliwe vizuri.

Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.

Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu,.

Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.

Maandishi yake yana udini ndani yake,mara nyingi huwa ndio agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasfiwa na mzee Kenyatta kumbe kItabu kinamsema vibaya,alitumia literature,ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.

Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee,aporwe tuzo alizowahi kupewa.

Kuna kitabu cha The Modern World Since 1870 by L Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.

Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi,ndio maana kipindi cha Nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
hoja yako haina ithibati yoyote zaidi ya wivu,kwakuwa anachofanya mohamed said ni kuweka historia vizuri au sawasawa
 
Father...
Ukinitambulisha kwa maneno ya, "Huyu mzee..."

Tayari najua kuwa umeghadhibika.

Hakika mimi ni mtumwa lakini si wa Kiarabu ukisema hivyo ni kunipa mimi kabila isiyo yangu.

Najua ulikusudia kuniita mimi mtumwa wa Waarabu.

Mimi ni mtumwa na najifaharisha kwa kuwa mtumwa.

Mimi ni mtumwa wa Yule Aliyeumba Mbingu na Ardhi.

Allah.

Siwezi kujinasibisha na Mwenyezi Mungu kisha kauli yangu ikawa sumu.

Ningekuwa natema sumu nisingekuwa ndani ya kitabu cha maisha ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kilichoandikwa na Prof. Issa Shivji, Prof. Saida Othman na Dr. Ngwazi Kamatha.

Wala nisingekuwa ndani ya Dictionary of African Biography.

Wala Cambridge Journal of African History.

Wala sijaandika udini wowote mahali popote.

Nilichoueleza ulimwengu wa wasomi ni kuwa historia ya uhuru wa Tanganyika imefuta sehemu kubwa sana ya ukweli kwa kukwepa wazalendo walioupigania uhuru wa Tanganyika.

Wengi wa wazalendo hawa ni Waislam.

Nimeandika historia zao kwa kirefu.

Julius Nyerere hakuwa peke yake.

Kwa nini walifanya khiyana hii ni hofu tu ambayo haikuwa na sababu.

Nimeiandika historia ya kweli kitabu kina uhai wa robo karne kimepigwa chapa mara nne na nchi ni shwari.

Kitabu changu hakijasababisha machafuko yoyote.
Mwanangu Mohamed, hujambo? Samahani sana kwa kukutoa usingizini. Nilikusudia japo nikuchokoze ujieleze zaidi kama siyo kujitetea. Kwanini unapenda kuwaita watanzania waislam kwanza badala ya watanzania? Hebu fanya utafiti kidogo. Najua unajua kufanya utafiti. Angalia waarabu wanavyojiita. Huanza na uarabu ndiposa huja huo uislam wako. Huwa sina ugomvi na mawazo wal mlengo wako. Badala yake huwa nahangaishwa na namna unavyowaweka waswahili kwenye uislam kabla ya utanzania wao. Hebu angalia jamahiriya za wale wanaojiita waarabu ingawa wako Afrika. Ni Arab Republic of Egyt, United Arab Emirates, et cetera ingawa wako Afrika. Kwanini hawasemi Islamic republic yada yada? Utumwa ni jambo baya japo linapokuja kwenye kile unachokiamini hata kama ni cha hovyo kama wahindu waaminivyo vinyago nawe Allah, inatia shaka. Allah si Mungu wa wamanyema. Ni Mungu wa kuletwa tu. Nakubaliana nawe unavyopigana kuibua yale yaliyofichwa. Hata hivyo, kwa msomi aliyeiva huwa anajitahidi kuepuka kuelemea upande fulani. Na kama ikitokea akataka kufanya hivyo, huwaelezea wasomaji wake udhaifu au bias yake au zake. Wewe hufanyi hivyo na bado unataka uonekana uko impartial.
Huo ndiyo ugomvi wangu nawe mwanangu wa mitaa ya kwetu ya Kipata na Mchafukoge kwa akina Litela, Nyangwele na wengine toka Rufiji na umanyemani.
 
Huyu mzee wangu wa Gerezani aangaliwe vizuri.

Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.

Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu,.

Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.

Maandishi yake yana udini ndani yake,mara nyingi huwa ndio agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasfiwa na mzee Kenyatta kumbe kItabu kinamsema vibaya,alitumia literature,ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.

Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee,aporwe tuzo alizowahi kupewa.

Kuna kitabu cha The Modern World Since 1870 by L Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.

Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi,ndio maana kipindi cha Nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
Ni babu tapeli wa kihistoria anachanganya uongo na ukweli ili kupotosha kwa msingi wa udini, mi huwa namwona mhalifu siku nyingi!
Ni moja ya watu wanaogawa Watanzania wasiishi kwa kujiona wamoja!
 
Mwanangu Mohamed, hujambo? Samahani sana kwa kukutoa usingizini. Nilikusudia japo nikuchokoze ujieleze zaidi kama siyo kujitetea. Kwanini unapenda kuwaita watanzania waislam kwanza badala ya watanzania? Hebu fanya utafiti kidogo. Najua unajua kufanya utafiti. Angalia waarabu wanavyojiita. Huanza na uarabu ndiposa huja huo uislam wako. Huwa sina ugomvi na mawazo wal mlengo wako. Badala yake huwa nahangaishwa na namna unavyowaweka waswahili kwenye uislam kabla ya utanzania wao. Hebu angalia jamahiriya za wale wanaojiita waarabu ingawa wako Afrika. Ni Arab Republic of Egyt, United Arab Emirates, et cetera ingawa wako Afrika. Kwanini hawasemi Islamic republic yada yada? Utumwa ni jambo baya japo linapokuja kwenye kile unachokiamini hata kama ni cha hovyo kama wahindu waaminivyo vinyago nawe Allah, inatia shaka. Allah si Mungu wa wamanyema. Ni Mungu wa kuletwa tu. Nakubaliana nawe unavyopigana kuibua yale yaliyofichwa. Hata hivyo, kwa msomi aliyeiva huwa anajitahidi kuepuka kuelemea upande fulani. Na kama ikitokea akataka kufanya hivyo, huwaelezea wasomaji wake udhaifu au bias yake au zake. Wewe hufanyi hivyo na bado unataka uonekana uko impartial.
Huo ndiyo ugomvi wangu nawe mwanangu wa mitaa ya kwetu ya Kipata na Mchafukoge kwa akina Litela, Nyangwele na wengine toka Rufiji na umanyemani.
Father...
Kwa nini hujajiuliza ni nini kilisababisha kuandikwa kwa historia ya uongo?
 
Ni babu tapeli wa kihistoria anachanganya uongo na ukweli ili kupotosha kwa msingi wa udini, mi huwa namwona mhalifu siku nyingi!
Ni moja ya watu wanaogawa Watanzania wasiishi kwa kujiona wamoja!
Mzizi...
Nitashukuru ikiwa utaweka hapa uongo wangu.

Unadhani kwa kuifuta historia ya kweli na kupachika kitu kingine ndiyo kutajenga umoja?

Umoja unaletwa na haki na usawa kwa raia wote.
Umepata kujiuliza hili?
 
Huyu mzee mimi nilisha m flash. Ni mzee mmoja hivi mpuuzi sana. Ana chuki na wakristo na anaumia zaid pale ambapo ile chuki kwa wakristo haibadilishi chochote kwa hyo moyoni mwake kunawaka moto. Anatamani ajilipue 🤣
Tash...
Ukianza na huyu mzee najua umeghadhibika.
Hii ndiyo sababu unatukana.

Mimi si ''mpuuzi.''
Mimi sina chuki na yeyote.

Wala moyo wangu hauwaki moto.
Moto unawaka ndani ya nafsi yako wewe.

Ushahidi ndiyo huu: ''Huyu mzee,'' na kutukana, ''Mpuuzi,'' ''Flash.''
Haya si maneno ya adabu kumwambia mtu ambae unajua ni mzee.

Ningekuwa mpuuzi watu wasingejaa kwenye nyuzi zangu kunisoma na kujadiliana na mimi.

Tukiwaita watu watuhukumu si mimi nitakaevishwa kofia ya mpuuzi.
 
Huyu mzee wangu wa Gerezani aangaliwe vizuri.

Nakubali ni msomi mzuri hapa nchini, nakubali ana busara ila anatumia akili zake kucheza na akili za watu.

Sijawahi kusikia popote duniani mtu anajiita mwana historia kwa kubobea kwenye kata moja tu,.

Mohamed Said anajiita hi historian lakini ukumfuatilia hana anachojua zaidi ya historia ya kariakoo.

Maandishi yake yana udini ndani yake,mara nyingi huwa ndio agenda kuu ya kila anachoandika, udini. Ngugi wa Thiong'o aliwahi kutunga kitabu akasfiwa na mzee Kenyatta kumbe kItabu kinamsema vibaya,alitumia literature,ambayo kila mtu huwa na tafsiri yake.

Kwa tuliosoma literature na history tunamuekewa sana huyu mzee,aporwe tuzo alizowahi kupewa.

Kuna kitabu cha The Modern World Since 1870 by L Snelgrove kinaelezea nchi nyingi za ulaya zilivyoingia vitani kwa sababu ya watu dizaini ya huyu mzee.

Huyu mzee sio kilaza, yupo vizuri kichwani ila agenda yake ina ukakasi,ndio maana kipindi cha Nyuma alijistukia akawa anaandika kimachale machale kumuogopa bwana yule.
Umelalamika sana lakini hujaeleza kwanini afungiwe au afungwe.
 
Massa,
Huo si uwanja wangu mimi nimesahihisha historia iliyokuwa imeandikwa sivyo.
Nilulize kuhusu hilo.

Sawa mzee mohamed acha tuendelee kusubilishia hadi miujiza itakapotokea. Uje ata viongozi wa juu mnawapa wakati mgumu sana maana hawajui wafanye nini kuondoa hilo tatizo. Mwisho wa siku wajukuu wa waislam watafundishwa kuhusu matatizo ya waislam tanganyika alafu watawachukia wajukuu wa wagalatia. Muna muda wa kutoa ushauri kufanyike marekebisho lakini hamtaki. Mtu Kama unaona kuna shida unasema na unashauri nini cha kufanya huo ndo uungwana. Au waandishi wa history hamuluhusiwi kushauri?
 
Sawa mzee mohamed acha tuendelee kusubilishia hadi miujiza itakapotokea. Uje ata viongozi wa juu mnawapa wakati mgumu sana maana hawajui wafanye nini kuondoa hilo tatizo. Mwisho wa siku wajukuu wa waislam watafundishwa kuhusu matatizo ya waislam tanganyika alafu watawachukia wajukuu wa wagalatia. Muna muda wa kutoa ushauri kufanyike marekebisho lakini hamtaki. Mtu Kama unaona kuna shida unasema na unashauri nini cha kufanya huo ndo uungwana. Au waandishi wa history hamuluhusiwi kushauri?
Massa,
Msome John Sivalon (1992), Bergen (1981) na Njozi (2002).
 
Duh,
Yaani unaamini kila mtu anakujua?!!

Inawezekana una mashabiki na wafuasi wengi, lakini wanaweza kuwa wa mrengo fulani tu hasa wa kidini, siyo watu wate.
Tupo tusiokujua kabisa
Anti...
Lakini mimi si mtu wa dini ingawa ni Muislam.

Eneo langu ni katika ''Scholarship,'' yaani elimu.

Kusoma, kusomesha na kuandika.

Haya si maeneo ya ''washabiki,'' na ''wafuasi.''

Hao utawapata kwengine.

Haya yangu ni maeneo ya elimu na utafiti.

Nitafute katika Cambridge Journal of African History (1998).

Nitafute katika Dictionary of African Biography (2011)
Nitafute katika Nyerere Biography (2020)

Je umeona dini hapo?

Kulikuwa na mjadala hapa JF uliodumu kwa miezi 6 nikisomesha historia hii.

Mjadala ulipitiwa na watu karibu milioni moja.

Haijapata kutokea.
Wewe ulikuwa wapi?

Anti...
Hakika wako wengi wasionijua ikiwa si wanachama wa ''clubs'' mfano wa hizo hapo juu na hapo chini lakini nafahamika hapa Dar es Salaam kwa kuwa ndiyo kwetu na kwa mengine mengi.

Ningependa kukufahamu.
Nani mwenzangu?

Mitaa niliyopata kuishi mimi inajieleza yenyewe:

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

Sal Davis An Autobiography, Readit 2023

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.


1697084594010.png
 
Mene...
Huo ni mkasa wa kweli.
Kisa kilianza University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006 nilipozungumza kwenye mkutano uliokuwa unajadili Ugaidi: "Islam Terrorism and African Development.''

Walioitisha mkutano huu walikuwa Marekani na Iran wakishirikiana na University of Ibadan.

Maneno hayo hapo chini ndiyo yaliponza:

''The United States is more concerned with international terrorism while Africa is obsessed with domestic terrorism. The question which the United States should reflect upon is that why is it that the United States is considered a legitimate target for attack by terrorists? In the answer probably lies the key to solving the problem. It is a pity that terrorism as a field of inquiry is yet to be taken up by actual victims of terrorism. The inquiry has been monopolised by scholars from societies which at most have suffered one or two bomb attacks. This erodes the realities of the subject as would be perceived by the actual victims of terrorism whose lives have seen nothing but sufferings. Selective sampling will always as a rule provide wrong premise. Today the world knows what took place in Auschwitz from the victims who went through the extermination camps during the Holocaust.[1] We are yet to get first hand experience of terrorism from those who had lived and experienced it in Vietnam, Afghanistan, Iraq, Nicaragua etc. documented with the same intensity as the world had documented the holocaust.

Why do Muslims’ eyes fill with tears when they watch on TV fighter bombers of the United States Army raining bombs on Iraq and Afghanistan; or Israel American made fighter bombers raining bombs on refugee camps in Gaza. Why do some Muslims rejoice sometimes with chants of ‘Takbir Allahu Akbar’ when a suicide bomber strikes? Why some Muslims do not show remorse when a suicide bomber kills? Why is it that we now have ‘refuseniks’ - soldiers in the Israel Defence Force (IDF) who refuse to kill for unjustified cause? This belief is also encroaching into the United States forces in Iraq. Why a suicide bomber is romanticised in certain parts of the world and is rejoiced as a hero while an American soldier is seen as a villain?''

Mwakilishi wa Balozi wa Tanzania alikuwapo katika mkutano huu halikadhalika Balozi wa Marekani, Nigeria.

Hadhira ilifurahishwa na hii paper yangu.
Nasikia Marekani wakaandika barua Tanzania.

Mwaka wa 2007 nikitokea Iran kwenye mkutano nikakamatwa Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere na vyombo vya usalama nikinituhumiwa kusafirisha mihadarati.

Niliachiwa kwa kuwa upekuzi wa mizigo yangu walikuta vitabu vingi kuliko nguo na hakukuwa na chochote.

Asubuhi nikaachiwa na wakanitaka radhi.

Lakini tayari pasi yangu ilikuwa ishawekewa alama ambayo huwezi kuiona kwa macho hadi inapotiwa katika computer za Immigration wakati nasafiri ndiyo inanionyesha kama mtu ninaetakiwa kufanyiwa upekuzi wa ziada.

Hili sikulijua hadi baadae sana.

Mzigo wangu ulizuiwa Berlin lakini kabla sijaondoka uwanjani nikaambiwa mzigo umepatikana.

Amsterdam nimetolewa kwenye foleni ya kuingia kwenye ndege kuelekea Detroit.

Nikahojiwa pembeni na watu wa usalama.
New York Master Card ilikataa kusoma kwenye ATM.

Ajabu hawa hawa Wamarekani wakanialika kuzungumza kwenye chuo chao maarufu ulimwengu mzima katika African History - Northwestern University, Chicago.

Hawa hawa Wamarekani wakanisafisha tena si hapa nyumbani nje nilipoombewa visa ya kuingia nchi moja na walionialika.

Allahu Akbar.
Yako mengi.


View attachment 2779395
Pole sana mzee wangu .
Allah aendelee kukupa wepesi , nilijitaahid sana kukufuatilia sana kwenye kipindi pendwa pale UTV ila sikupata kuyasikia haya ndiyo maana nimehamaki kuyasikia .

Ila pole sana Allah aendelee kukuruzuku.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Anti...
Lakini mimi si mtu wa dini ingawa ni Muislam.
Eneo langu ni katika ''Scholarship,'' yaani elimu.

Kusoma, kusomesha na kuandika.
Haya si maeneo ya ''washabiki,'' na ''wafuasi.''

Hawa utawapata kwengine.

Haya yangu ni maeneo ya elimu na utafiti.
Nitafute katika Cambridge Journal of African History (1998).

Nitafute katika Dictionary of African Biography (2011)
Nitafute katika Nyerere Biography (2020)

Je umeona dini hapo?

Kulikuwa na mjadala hapa JF uliodumu kwa miezi 6 na kupitiwa na watu karibu milioni moja.

Haijapata kutokea.
Wewe ulikuwa wapi?

Anti...
Hakika wako wengi wasionijua ikiwa si wanachama wa ''clubs'' mfano wa hizo hapo juu na hapo chini lakini nafahamika hapa Dar es Salaam kwa kuwa ndiyo kwetu na kwa mengine mengi.

Ningependa kukufahamu.
Nani mwenzangu?

Mitaa niliyopata kuishi mimi inajieleza yenyewe:

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

Sal Davis An Autobiography, Readit 2023

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.


View attachment 2779538
Kupenda kutiliana fitna ndio maana waafrika hatuendelei.Mpaka mtu akiwa na wazo anaogopa kuliweka hadharani kuogopa fitna.Halafu tunalalamika eti waafrika hatuna akili kumbe fitna na uchoyo ndivyo vinaturudisha nyuma.Hatufaidiki na wasomi wetu.
 
Back
Top Bottom