Aghairi kufunga ndoa iliyogharimu Tsh. 950m baada ya Mchumba wake kukataa kusaini PreNup

Ile kesi ya mchezaji wa zamani wa Arsenal ,Ebue kwa jina la utani tulikiwa tukimuita mpoki,imewafunza mastaa wengi,manaake Ebue baada ya ndoa yake na mkewe mwingereta kuvunjika alichopata ni nguo alizovaa TU,alotia huruma sana mwamba yule.
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Kwakizazi hiki ukimpata huyo binti anayefanya hivyo, shukuru Mungu[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukipata mtoto wa kiume akifika kipindi chakuoa muulize mabinti wangapi wanaziweza hizo kazi na hao waliosoma waulize wangapi wanataka kuzifanya hizo kazi[emoji23][emoji23][emoji23], ukiwa mwanamke huyajui maswaibu ya mwanaume bora tu utulize sista. Binti, kazi yake ni starehe shopping na kununua chakula cha nyumbani hataki kupika[emoji23][emoji23][emoji23]. Wacha sisi tukae kimya nyie mjione watakatifu na wakamilifu kwenye majukumu yenu[emoji23][emoji23].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa, unajua ule mgawanyo wa mali, uliwekwa sababu mke ndiyo mfanya kila kitu kwa mume. Huduma zote za nyumbani. Ila sasa imeshakuwa nongwa, wanaona mwanamke anafaidi. Bora kila mtu abaki na chake tu.
Kwamba ukinipikia wali maharage, na kufua boxer zangu, basi unaqualify kubeba nusu ya mali zangu?

Kama kweli hii ingekua ni hoja ya msingi, basi wafanyakazi wa ndani a.k.a beki tatu, wangekua matajiri wa kutupwa. Maana wanafanya yote hayo kwa ufanisi mkubwa!
 
Wakenya ndo walipewa task ya Google translation ya kiswahil eh..kazi ipo
Wajinga Sana hao wametafsiri hovyo kabisa na maana halisi ya maneno ni potofu kabisa. Hawa jamaa ni viherehere kwa wazungu lakini wameharibu. App yoyote yenye menyu ya kiswahili kuanzia ATM, na app zote za google sijawahi kichagua lugha ya kiswahili, itakupeleka porini
 
Huyu hamkutii hakimi! Hakimi kashinda baada ya tukio kutokea, huyu kashinda kabla ya tatizo kutokea!

Hakimi ni mwenyekiti wa kudumu wa chama cha wanaume duniani!
 
Pre nup ndo nini

Ni mkataba wanaitaka ingia kwenye ndoa wanasaini kuonesha mali ambazo kila mmoja anamiliki kabla hawajaongia ndoani. Sasa jamaa na mchumba wake walikubaliana kusaini but binti akawa hajasaini. Iwapo huu mkataba usiposainiwa wanapoingia ndoani, ikitokea talaka, mgao wa mali utahusisha mali wanazomiliki ndoa itakapofika kilele
 
Ningekuwa mimi ni huyo mwanaume huyo mke ange uwawa kifo cha kikatili sana..

Hawa ndio wale wanawake unasikia ame uwawa na watu wasiojulikana.

Chanzo ndio migogoro kama hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…