Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

Huhuhuuu "You have liquidate your loan" thank u Mama Samia,Fu^k Loan board!!
 
Haki ya mungu mwendazake angefufuka angejua hajui kitu aisee si kwa kupuuzwa huku!??
1) Akina mbowe wameshinda kesi warudushiwe 350milion zao
2)Kufundisha uzalendo kwa kiswahili.....NO
3)Mkopo ya HESLB imerudi kama mwanzo
4)Madaraja ya utumushi yamepanda
5)Hasara ATCL
6)mipaka ya Kenya open
7) Barakoa zinavaliwa mpaka ikulu
8)Ajira elimu na afya
9)vikao vya vyama vya upinzani vinaendelea
10) waliomwabudu akina saaabaya jela!??kukosoa srikali ruksa!
11) Ujenzi wa bandari ya bagamoyo mwekezaji na serikali wapo katika mazungumzo
12) wawekezeji wanakuja
13) Manji karudi!!!
Hahaaahaaaa aiseeeee duuu
 
Majibu haya yanaonesha kweli shule ipo sio ya ujanja ujanja...
 
Shida sio kulipa, shida ni kunikopesha halafu kila mwaka deni linajiongeza tu maana yake ni kwamba halitakaa liishe....

Ahsante sana kwa mama, sasa tutalipa deni meno nje, deni lilikua mzigo hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea na wee muhanga wa hilo vanga? Acheni kulia lia bhana, lipeni madeni tena kwa riba kubwa, ili wanufaika wawe wengi,
Wanafunzi wahitaji wa mikopo ni wengi msisahau hilo pia.
 
Kijisentensi cha mwisho kidogo sana ila ndicho chenye majibu (hoja) ya msingi

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Swala la kulinda thamani ya pesa lilitakiwa kuachwa na cha msingi ingepunguzwa asilimia........ yani ukope leo laki halafu baada ya miaka kumi ulipe laki hiyo hiyo? aiseee
Kwani serikali ipo inatengeneza faida?.ama inatoa huduma..
Mishahara inaongezeka 6% nayo sio?!

Heri kuacha 15% rejesho ili deni liwahi kuisha
 
Swali kama wameondoa hiyo tozo tafsiri yake ni kwamba haikuwa halali, je Yale Makato uliyokatwa kinyume na makubaliano utarudishiwa au yanaingia kwenye kupunguza deni? Au ndo unafunika kombe mwanaharamu apite.
Ni kwenda mbele sio retrospectively

sheria ikitungwa leo hatutahukumu kwa matukio ya nyuma
 
Binafsi nimeshindwa kuangalia. Nikianza kuandika namba ya form four kama wanavyotaka tena kwa herufi kubwa, unatokea ujumbe kama unavyoonekana kwenye picha hapa chini. Natamani niangalie deni langu
 

Attachments

  • Screenshot_20210626-230411.jpg
    31.6 KB · Views: 1
Sasa nikitengeneza account online ili nione deni langu si ndio wataniona na kunigundua coz kwa sasa siko tayar kuanza kulipa na sitaki niingize details zangu
Dawa ya deni ni kulipa

kidogo kidogo tu

unless kama una uhakika hautakuja kuingia sekta rasmi maisha yako yote ever!
 
Nmeshindwa kuingia,inataka password walau 6,lkn kila nikiwrka inagoms na kuleta ujumbe ule ule
 
kwa hiyo waliolipa hiyo VRF ndo wamepigwa au watarudishiwa
Jmn sheria huwa ni restrospectively...now onwards sio kurudi nyuma

mana makato ya nyuma yalikuwepo kisheria vile vile..

shuleni huwa mnasomea nini jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…