citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Ahahahhahaha itakuwaaaaa Singidaaa masharikii kwa Lissu, wanakunywa maji na wanyama
Watu, mbwa ngombe fisi punda wote bwawa moja. shidaaaaaaaaaaaaaaaSingida ni mji mkame ila kuna mashirika yanachimba visima kila kijiji
Kilimanjaro ni Wasomi na watu wenye uchumi hio Tanga yenyewe uchumi upo mikinoni mwa wachaga
Sijui kuna wagosi wangapi Wana raslimali moshi
Wachagaaaaaaaa ni kama maji popotee wapo, ila Wachagaaaaaaaa wanafahamu kuwa kwa Tanga mjini wapinzani wao kibiashara ni wagosiSingida ni mji mkame ila kuna mashirika yanachimba visima kila kijiji
Kilimanjaro ni Wasomi na watu wenye uchumi hio Tanga yenyewe uchumi upo mikinoni mwa wachaga
Sijui kuna wagosi wangapi Wana raslimali moshi
Unaelewa kilichopo?Acha uvivu, nenda kajionee
Sidhani kama ni kweli ila ninavyo jua mimi kuna taasisi inaitwa TCRC inachimba visima kila kijijiWatu, mbwa ngombe fisi punda wote bwawa moja. shidaaaaaaaaaaaaaaa
Ishu ni hii; Mna hela?1.Tanga hospital ya Mkoa ipo bombo, Songwe ndio inajengwa maana yake Songwe ni mkoa ambao hauna hospital
2.Tanga tumemaliza stendii ya Mkoa Kangee, wakati Songwe hawana ndio INAJENGWA
3.Tanga Kuna vyuo kibao vipooo, Songwe ndio wanaanzaa na viwili
4.Mkwakwani ni uwanja unaochezewa VPL , Songwe ndio wanajiandaa kujenga
5.Kutumia vitu vya mkoloniii sio tatizo Ata Ikulu ya kivukoni ni mkoloniii, Kijana jipange uje na hoja
Je kuna wagosi kule moshi???Wachagaaaaaaaa ni kama maji popotee wapo, ila Wachagaaaaaaaa wanafahamu kuwa kwa Tanga mjini wapinzani wao kibiashara ni wagosi
Nimemaliza 89% Tanga maji Safi na salama, Alie juu yetuu ni KLM,Singida ni mji mkame ila kuna mashirika yanachimba visima kila kijiji
Kilimanjaro ni Wasomi na watu wenye uchumi hio Tanga yenyewe uchumi upo mikinoni mwa wachaga
Sijui kuna wagosi wangapi Wana raslimali moshi
Ulishasikia Tanga Kuna njaa? tunajiweza sanaIshu ni hii; Mna hela?
Hebu panda ndege dakika kadhaa umefika, talii, rudi kwako!Unaelewa kilichopo?
Vipi mwanza na maeneo ya Kanda ya ziwa Victoria?Nimemaliza 89% Tanga maji Safi na salama, Alie juu yetuu ni KLM,
Wamejaa kibao maeneo ya Pasua wanafanya biasharaaaa mbali mbali ,Je kuna wagosi kule moshi???
Wauze chips na Wafanyakaxzi wa ndaniWamejaa kibao maeneo ya Pasua wanafanya biasharaaaa mbali mbali ,
Iyo pesa bora niende NgorongoroHebu panda ndege dakika kadhaa umefika, talii, rudi kwako!
Chips biasharaaaa nzuri mjini ulitaka waombe ombe, wafanya kazi wa ndani mbona Ata Iringa kawaida , Bakhresa anauza ICE CREAMWauze chips na Wafanyakaxzi wa ndani
Mna hela? Nahisi, msingeozesha mabinti wadogo kwa spidi badala ya kuwapeleka shule.Ulishasikia Tanga Kuna njaa? tunajiweza sana
Ndio nakwambia hawapo kwenye uchumi Wana ganga njaa tuChips biasharaaaa nzuri mjini ulitaka waombe ombe, wafanya kazi wa ndani mbona Ata Iringa kawaida , Bakhresa anauza ICE CREAM
Achanaaaaa na story za vijiwe vya kahawaaa, letaaaaa data hapa Nani kaozeshwaMna hela? Nahisi, msingeozesha mabinti wadogo kwa spidi badala ya kuwapeleka shule.
Waislamu wanaingiaje tena hapa! Una taarifa kwamba matajiri wakubwa hapa Tanzania ni waislamu?Maeneo yote yenye waislamu wengi CCM Inapeta tu pamoja na kwamba hakuna maendeleo kabisa na ni maeneo yaliotengwa
Sababu ya CCM kukubalika sana kwenye maeneo haya ni kwamba,,,
Waislamu wengi tumeishia darasa la saba na sisi ni jamii ya watu masikini sana hapa Tanzania mpaka Leo watoto wetu bado wanasoma chini ya miti
Huna hela, Tanzania niIyo pesa bora niende Ngorongoro
yaIyo pesa bora niende Ngorongoro
WanaoAchanaaaaa na story za vijiwe vya kahawaaa, letaaaaa data hapa Nani kaozeshwa
Biasharaaaa ni akili sio Aina ya biasharaaaa, Bakhresa anauza ICE CREAM, na anatusua, acheniii kasumba mnachomekea kumbe Laki 8 kwa mwezi, huku muuza chips anakuzunguka mara 4, unaishiaaaaa kutumikishwa na wahindiii na wa chinaNdio nakwambia hawapo kwenye uchumi Wana ganga njaa tu