Aie Holding Ltd kampuni toka Israel kuwekeza TZS 575B kwenye kilimo na kutoa ajira za moja kwa moja elfu 70


Mchakato wa hii pesa umeanza zaidi ya miaka10 iliyopita. Kila kiongozi amekua kwenye kuhakikisha hili linafanikiwa na hatimae tumefika hapa
 
Mchakato wa hii pesa umeanza zaidi ya miaka10 iliyopita. Kila kiongozi amekua kwenye kuhakikisha hili linafanikiwa na hatimae tumefika hapa
Wote mko sahihi ila Tanzania kwanza,
 
Maeneo ambayo huwa siingizi siasa ni kwenye masuala ya uchumi, na nikikosoa, nitafanya hivyo kwa kuangalia nadharia na principles za kibiashara na kiuchumi!!
😍😍😍😍
 
Ushahidi Upo Mwingi Ila Baadhi Wanajitoa Akili Tu
Mfano Mlimani City Hao Jamaa Hawakuja Na Kitu Lakini Wameondoka Matajiri. CHUO KIKUU DAR ES SALAAM
Kuna Wajuzi Ila Tulipigwa Asubuhi Yaani Kweupe
 
Hawa sio wale wa Mwenge njia ya kakakola wamejinyumbulisha na kuja kivingine.
 
Nchi inaanza kufunguka, wawekezaji wameanza kuona usalama wa kuwekeza fedha zao. Pongezi kwa serikali ya awamu ya sita.
 
Naona bado unaamini Rufiji na FlyOver zimekuja kwa cash money. Labda zile ndege ila hatukuambiwa hiyo hela inatoka wapi.
hujanielewa wewe. hayo unayosema ni mikopo kutoka world bank. huyo mwekezaji wako kaja na briefcace na makaratasi tu. hajaja na mtaji wowote. mtaji wake anapewa na local commercial bank za hapa hapa nchini ambazo benki hizo hizo zimegoma kuwakopesha wakulima wa ndani. na ndiyo sababu amekuwa guaranteed na Tanzania Bankers Association.


Si kila jambo unalijibu hata kama liko juu ya uelewa wako wa mambo
 
Waisraeli nyerere aliwazingua kwa kuingia kwenye siasa za mgogoro kati ya israel na wapalestina na israel wakaamini kwamba yupo upande wa wapalestina, leo hii tungekuwa mbali sana kiteknolojia kwa upande wa kilimo, mifugo na hata uvuvi....na hivyo tungekuwa exporters wakubwa wa mazao ya kilimo duniani, huu umaskini na ufukara wa watu tungekuwa tunasikia kwengine.
 
Hongera sana mh.Rais Samia. Lakini mwachie Mbowe anaonewa na jina la JMT linachafuka bila sababu za msingi. Pia achia Demokrasia, fuateni sheria na heshimuni haki za mtu. Ni hatua nzuri ya kiuongozi kutambua dhima ya Kilimo kwa nchi yetu na kijua nani ushirikiane nae kwa faida. Mwalimu Nyerere alijua nguvu ya Israel eneo hilo ( japo siasa za Israel/Palestine zilitugombanisha) na nakupongeza mno umekuta hilo file library Ikulu na kulirejea. Kuhusu ujasusi, hilo as long as uko sayari hii na una economic potential ya aina yoyote, hili linatangulia wala sio la kuwa shaka nalo. .Wako kama wote. Lakini sidhani kama kwa level ya nchi yetu kuna siri hawa wayahudi hawaijui. Tuko uchi mno. Fikiria tu hiyo kesi ya Mbowe jinsi elements za uJWTZ na Police zinavyoziacha nchi uchi. Ukisharuhusu community ya walinzi wa usalama wa nchi inagawanyika kati ya wadhulimati na wadhulumiwa kubali ku suffer the consequences. Otherwise hongera Rais wetu.
 
Hiyo cha mtoto ajira 70,000 tu ? awamu iliyopita kwa miaka 4 walitoa ajira MILIONI NANE walisema hivyo wakati wa kampeni
 
Hongera mama Samia kilimo kuna potential kubwa sana sababu tuna large arable land, huu ni mwanzo Mzuri hongera sana
 
Very BIG point

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kazi ya mahakama mkuu
 
Ushahidi Upo Mwingi Ila Baadhi Wanajitoa Akili Tu
Mfano Mlimani City Hao Jamaa Hawakuja Na Kitu Lakini Wameondoka Matajiri. CHUO KIKUU DAR ES SALAAM
Kuna Wajuzi Ila Tulipigwa Asubuhi Yaani Kweupe
😍😍😍😍 But haijirudii mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…