Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Air Tanzania, Soko la Afrika Kusini, Abiria ni wengi ajabu!

Acha kuogopa ushindani,boresha huduma zako,huwezi fanya biashara peke yako
Unahisi hiyo biashara ni kama kuuza nyanya sokoni kwa kuwa Mudi anauza na wewe unaweka meza ili kuuza.

Hujiulizi kwa nini sio kila nchi ina shirika imara la ndege?

Umewahi hata kujiuliza Modal wanayotumia mashirika kama Emirates na Qatar Airways....

Why Africa ni Ethiopian Airlines, Kenya Airways na Egypt Air....?
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
ATCL ikiamua kwenda hizo routes hawezi kosa wateja.

Kwanini uzunguke mpaka Bole wakati unapata direct flight toka Dar kwenda Cape Town/J'burg/Dubai?

Binafsi sioni mantiki upoteze muda utoke S.A uende Bole ndo uje TZ wakati unaweza chukua direct flight mpaka Dar.

Soko lipo ila akiamua kuwa serious.
 
Sijui kama unajua chochote kuhusu ATCL au hii sekta ya usafirisha wa anga.

Labda nikueleze

i. ATCL ina deni la TZS 45 billion (USD19.4 million)

ii. ATCL imepata hasara ya TZS150 billion Tanzanian shilling (USD64.6 million) ndani ya miaka mitano.

Hayo madeni wanamalizia kulipa wakati hata hawajaanza kuyalipa?

Umeelezwa vizuri hapo na mtu anayejua kuhusu hizo route, huna mkataba wa kuingia na mtu ambaye ana uwezo wa kumtoa abiria South Africa, Mozambique, Malawi, Shelisheli au DRC. Unaingia naye mkataba ili umsaidie wapi?
ATCL inachoweza kufanya ni kumtoa abiria Songwe ili imlete Dar apande ndege ya kwenda sehemu nyingine duniani.

Mashirika ambayo Ethiopian wana ushirka nayo ni zaidi ya 100 unaweza kupita hapa kwenye official website badala ya kuchukua taarifa youtube Interline and Partners Baggage Policy

Kuhusu Engineer Mantindi, ana uwezo mzuri wa management lakini hali ya soko kwa ATCL ni gumu sana. Anaongea kufurahisha wanasiasa tu.

Rudi nyuma angalia mipango ya ATCL tangu 2017 embu niambie wametimiza lipi?

Huwezi kujadili hoja kubwa kama hii kwa kusikiliza mahojiano.....

Mahojiano hayajawahi kubadili chochote katika nchi hii

Nikupe orodha ndogo kuhusu mahojiano yaliyojaa youtube ambayo yaliishia kuwa mahojiano tu.....
1. Professa Muhongo - alizungumza kuhusu Gas ya mtwara - Alisema ''baada ya uchumbaji kukamilika, bei ya umeme itashuka, umeme utakuwa wa kutosha na tutatuza nchi za jirani, akaendelea kusema '' gesi ya majumbani itasambazwa kwa kila nyumba''......
lipi limetimia hapo?

2. Mahojiano ya Kadogosa kuhusu SGR - watu wataanza kusafiri kwa treni ya mwendo kasi kwenda Morogoro mwishoni kwa 2021......vipi safari zimeshaanza ?

3. Mahojiano na kauli za Magu - ''Hii nchi tajiri sana, tembeeni vifua mbele''....vipi unatembea kifua mbele?

4. Mahojiano ya Mzee wa Msoga wakati wa kampeni mwaka 2000- Alisema katika miaka mitano ya utawala wake kila mtanzania atakuwa na maisha bora.....Unakumba ''Maisha bora kwa kila Mtanzania'' ,,,,,vipi una maisha bora?
Mwamba hapa umejua kudadavua.

Tatizo vijana hata wasio na ujuzi wa hii Sekta kwa kuwa wana akaunti Jf wanahisi wanaweza kuchangia chochote.

Wanahisi unaamua tu asubuhi upige route ya Johannesburg au Cairo [emoji2][emoji2][emoji2].

Mtu anajenga hoja kwa mahojiano ya Youtube[emoji54][emoji54].

Ushawahi ona Ethiopian Airlines mkurugenzi wake anaeleza mpango kazi YouTube [emoji38][emoji38]
 
ATCL wana malzia kulipa madeni ili waweze fanya biashara vyema...

pia kuna mikataba ktk baadhi ya njia huwa wana ingia, kwa mfano KQ na hao wa sauzi... hata ATCL wapo na wana taka kuweka alliance ktk baadhi ya njia...

Biashara si vile unavyo iona kwa nje na kuifikiria, pia ni namna ya kupata faida kwa kushirikiana na mshindani au kwa kwenda mwenyewe...

KQ, Ethiopian... wana mashirikiano na ndege za ulaya kwa kuwa pelekea wateja na wao wana waletea wateja ktk baadhi ya njia...

hivyo msikilize Ndg Matindi atakwambia jinsi walivyo jipanga kuona wapi wanapo elekea...

nenda youtube kaangalie mahojiano yake ya mwaka huu na azam tv itakusaidia mkuu...
Haya mambo makubwa huwa hayajadiliwi kwa video za YouTube.

ATCL haikuwa active kwa miaka mingi, huwezi kuingia na kushindana na hao, unatakiwa ianze taratibu kwa soko la ndani kwanza.

Biashara ya usafirishaji wa anga sio kama biashara ya Daladala Mbagala kwenda Kawe [emoji23][emoji23]
 
Business Model ya ATCL ni ya ajabu kidogo.

Naona tayari wana route ya kwenda Lusaka (Zambia ) na pia Harare (Zimbabwe).

Na route ya Dar kwenda Nairobi Kenya. Hii wamefanikiwa maana wana route mbili za ndege kutoka Dar kwenda Nairobi (nne kwa siku kati ya Dar na Nairobi)

Hizi ndio route pekee wanazoweza kuzimudu kibiashara.

Kwa route ya Dar kwenda Capetown huko tayari kuna Kenya Airways na Ethopian Airlines ; hao hatuwezi kupambana nao, hivyo tusahau kuhusu hiyo route.

Tena hapo Ethopian Airlines ina route ya kibabe sana kama umewahi kusafiri kutoka Bole kwenda Capetown kisha inatoka Capetown inapita Dar; hii maana yake ni kwamba abiria aliyeko Tanzania anapotaka kwenda South Afrika inabidi abebwe na Ethiopian Airlines mpaka Addis Ababa kisha anapanda tena Ethiopian Airlines kwenda Capetown.
Hii route inawapa wateja wengi haswa watalii kutoka South wanaokuja Tanzania.

Utaniuliza vipi kuhusu route ya Dar kwenda Maputo Msumbiji?
Hii route nayo Ethiopian AIRLINES imekaba haswa maana ana ndege inayopita Dar kwenda Blantayre (Chieka) pale Malawi kisha inapita Maputo (Msumbiji) na kwenda Johanesburg (Afrika Kusini ).

Bado unaweza kuniuliza vipi kuhusu Dar - kwenda Kigali kwa Kagame;
Hii route tayari Rwanda Air na Kenya Airways wamejiimalisha vya kutosha; hivyo ni ngumu kwa ATCL na Twiga wa Tanzania kuweka mguu hapo.

Unaweza kusema vipi kuhusu Bujumbura kwa Warundi;
Hii route ni kugombania goli, najua ATCL ina route japo inaenda mara chache huko. Hii route yupo Kenya Airways na mara kadhaa nimeiona Precision pia kwenye uwanja wa ndege wa Bujumbura (BJB). Lakini pia Hahn Air pia wana route hapo. Kwa hiyo sioni kama kuna soko la uhakika kwa ATCL.

Tumebakisha wapi; oooh Dar - kwenda Kinshasa (FIH)
Huku napo Ethiopian Airlines imetawala soko, kama ni Mtanzania na upo Kinshasa basi itakubidi upande Ethiopian Airlines; hawa jamaa wana route kutoka Bole (Addis Ababa) kisha inapita Dar na kwenda Kinshasa, hivyo hapo napo ni pagumu.

Ni kweli kuna abiria wengi huko Capetown na Johannesburg lakini ukweli ni kwamba soko lina wenyewe tayari. Tena waliopo sio wadogo ni wabobevu, wana uwezo mkubwa wa kibiashara na wanatoa nafasi ya kuunganisha route za ndege kuliko Air Tanzania.

Kwa mfano kama upo Capetown na unaenda Dubai, ni rahisi kushawishiwa kupanda Ethiopian Airline ambayo itapita Dar na kisha kwenda kukuacha Bore na ukaunga na Ethiopian nyingine inayokwenda Dubai kuliko kupanda Air Tanzania itakayokuacha Dar au KIA usijue pa kwenda.

Kwa wenye uzoefu na masuala haya ya biashara na route za ndege watakubaliana nami kuwa, inawezekana kabisa kuwa hatuwaza vizuri wakati tunanunua ndege kwa soko la kimataifa.

ATCL ina nafasi kubwa kwa soko la ndani; iwapo wataamua kuweka bei rafiki, wanaweza wasifike urahis wa bei za Fast Jet lakini wakishusha kidogo watakuwa na biashara nzuri sana. Ukiacha changamoto ndogondogo hapa wanajitahidi.

Kuna baadhi ya route ndege mara kadhaa huwa zinarudi zikiwa na nafasi za wazi sana , nina uzoefu na route ya Mbeya kuja Dar na ile Kigoma - Dar. Nadhani wakiangalia gharama inaweza kuwasaidia kupata abiria na route zaidi.

Soko la biashara kwa upande huu wa kusini Wahabeshi (Ethiopian Airline) wamelishika haswa.
Jamaa anadhani abiria wa ndege wanapimwa kama wa dala dala la Mbagala mpaka Kawe!
 
Nunua hiace kashindanie soko na SHABIBY, Dar- Dodoma.

Unahisi hiyo biashara ni kama kuuza matikiti pale Stereo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiace (Dar-DOM?)
 
Unahisi hiyo biashara ni kama kuuza nyanya sokoni kwa kuwa Mudi anauza na wewe unaweka meza ili kuuza.

Hujiulizi kwa nini sio kila nchi ina shirika imara la ndege?

Umewahi hata kujiuliza Modal wanayotumia mashirika kama Emirates na Qatar Airways....

Why Africa ni Ethiopian Airlines, Kenya Airways na Egypt Air....?
Haya mashirika yote yalianzishwa pamoja!?..Kama laa..mbona waliofuatia hawakuogopa kuanzisha kwa kuwa Kuna mashirika yapo sokoni na biashara ni tricky!?
 
Sijui kama unajua chochote kuhusu ATCL au hii sekta ya usafirisha wa anga.

Labda nikueleze

i. ATCL ina deni la TZS 45 billion (USD19.4 million)

ii. ATCL imepata hasara ya TZS150 billion Tanzanian shilling (USD64.6 million) ndani ya miaka mitano.

Hayo madeni wanamalizia kulipa wakati hata hawajaanza kuyalipa?

Umeelezwa vizuri hapo na mtu anayejua kuhusu hizo route, huna mkataba wa kuingia na mtu ambaye ana uwezo wa kumtoa abiria South Africa, Mozambique, Malawi, Shelisheli au DRC. Unaingia naye mkataba ili umsaidie wapi?
ATCL inachoweza kufanya ni kumtoa abiria Songwe ili imlete Dar apande ndege ya kwenda sehemu nyingine duniani.

Mashirika ambayo Ethiopian wana ushirka nayo ni zaidi ya 100 unaweza kupita hapa kwenye official website badala ya kuchukua taarifa youtube Interline and Partners Baggage Policy

Kuhusu Engineer Mantindi, ana uwezo mzuri wa management lakini hali ya soko kwa ATCL ni gumu sana. Anaongea kufurahisha wanasiasa tu.

Rudi nyuma angalia mipango ya ATCL tangu 2017 embu niambie wametimiza lipi?

Huwezi kujadili hoja kubwa kama hii kwa kusikiliza mahojiano.....

Mahojiano hayajawahi kubadili chochote katika nchi hii

Nikupe orodha ndogo kuhusu mahojiano yaliyojaa youtube ambayo yaliishia kuwa mahojiano tu.....
1. Professa Muhongo - alizungumza kuhusu Gas ya mtwara - Alisema ''baada ya uchumbaji kukamilika, bei ya umeme itashuka, umeme utakuwa wa kutosha na tutatuza nchi za jirani, akaendelea kusema '' gesi ya majumbani itasambazwa kwa kila nyumba''......
lipi limetimia hapo?

2. Mahojiano ya Kadogosa kuhusu SGR - watu wataanza kusafiri kwa treni ya mwendo kasi kwenda Morogoro mwishoni kwa 2021......vipi safari zimeshaanza ?

3. Mahojiano na kauli za Magu - ''Hii nchi tajiri sana, tembeeni vifua mbele''....vipi unatembea kifua mbele?

4. Mahojiano ya Mzee wa Msoga wakati wa kampeni mwaka 2000- Alisema katika miaka mitano ya utawala wake kila mtanzania atakuwa na maisha bora.....Unakumba ''Maisha bora kwa kila Mtanzania'' ,,,,,vipi una maisha bora?
Hayo yamezungumzwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Dkt. Ally Possi, wakati akizungumza na menejimenti ya ATCL, na kusisisitiza kwamba pamoja na maboresho yanayofanyika kwa sasa Shirika linakamilisha mpango biashara wa muda mrefu ili kuhakikisha ATCL inajiendesha kwa faida pamoja na kulipa madeni yaliyopo.



“Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Shirika hili na niwahakikishie maboresho ya viwanja vya ndege nchini yatachochea kwa kiasi kikubwa ongezeko la mapato na hatimaye madeni yanayoripotiwa yatalipwa", amesisitiza Dkt. Possi.



Aidha, Dkt Possi ameipongeza Menejimenti ya ATCL kwa kazi kubwa wanayoifanya na kuwataka kuhakikisha changamoto mbalimbali zinazokabili Shirika hilo ikiwemo mabadiliko ya ratiba yanaripotiwa mapema kwa abiria ili kuwafanya abiria kuendelea kuliamini na kutumia Shirika hiyo.



Naye Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Eng. Ladislaus Matindi, amemuhakikishia Naibu Katibu Mkuu huyo kuwa Shirika linaendelea kuboresha utendaji na huduma ili likue na kuendelea kuaminika kwa utoaji huduma bora kwa zaidi ya vituo 15 vya ndani ya nchi na zaidi ya vituo sita vya nje ya nchi inavyovihudumia.



Eng. Matindi ameongeza kuwa kwa mwaka huu Shirika linakamilisha mazungumzo na mashirika makubwa ya ndege kama KLM na Emirates ili kuboresha huduma pale itakapoanza safari zake kwa vituo vya Uingereza na maeneo mengine kimataifa.



“Tayari tunashirikiano na mashirika makubwa ya ndege kama Air India ambao wanachukua abiria wetu tunaowapeleka Mumbai kuwapeleka kwenye maeneo mengine, lakini kwa sasa tunakamilisha mazungumzo na KLM na Emirate ili kuboresha huduma pale tutakapoanza safari za Uingereza na maeneo mengine", amefafanua Eng. Matindi.



Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kwa sasa ina ndege 11 ambazo ni Boeing 787 ndege mbili, A220-330 ndege nne, Dash 8-Q400 ndege tano na tayari Serikali inaendelea na manunuzi ya ndege nyingine tano ambazo zinatajiwa kuanza kuwasili nchini mwaka 2023
 
Mwamba hapa umejua kudadavua.

Tatizo vijana hata wasio na ujuzi wa hii Sekta kwa kuwa wana akaunti Jf wanahisi wanaweza kuchangia chochote.

Wanahisi unaamua tu asubuhi upige route ya Johannesburg au Cairo [emoji2][emoji2][emoji2].

Mtu anajenga hoja kwa mahojiano ya Youtube[emoji54][emoji54].

Ushawahi ona Ethiopian Airlines mkurugenzi wake anaeleza mpango kazi YouTube [emoji38][emoji38]
nazan hatuna haja ya kuihoji serikali yetu maana hatuta pata tunacho takiwa kukipata...

hoja hazina mantiki...
 
Haya mambo makubwa huwa hayajadiliwi kwa video za YouTube.

ATCL haikuwa active kwa miaka mingi, huwezi kuingia na kushindana na hao, unatakiwa ianze taratibu kwa soko la ndani kwanza.

Biashara ya usafirishaji wa anga sio kama biashara ya Daladala Mbagala kwenda Kawe [emoji23][emoji23]
ni kwa sababu hujui kinacho fanyika ndio tatizo... na una andika kama unajua ambacho atcl wana fanya...

kama kisinge kuwa na tija basi haya madege yasingekuwa yana nunuliwa kila uchwao...

wewe mwenye bisinezi modo sijui plani endelea kujenga hoja jf, nazani ndipo sehemu sahihi kujadili au kujenga hoja za atcl au mashirika ya ndege yajiendeshe vipi...

kila la kheri ktk safari yako mkuu
 
Kuna ndege nzuri tu atc wamenunua
Ndege nzuri sawa ila nyingi hazifit soko letu ndo maana nauli zi akuwa kubwa na ku discourage watu kupanda ndege zetu, Dar mbeya the cheapest ni 200,000plus one way, fast jet alikuwa hadi 90,000 one way
Dreamliner 787 ndege kubwa , inahitaji feeder planes na inahitaji pia kukaa kweye hub airport, Ethiopian haleti 787 , 777 au A350 hapa dar , hizi utazikuta Bole airport tu , hapa analeta 737, bombadier q400 ambazo technicaly zinatumika kama shuttle planes kuelekea kwenye ndege kubwa,
Ukishakuwa na ndege kubwa halafu likawa linajitafutia abiria kama hizi zetu , huwezi pata faida.
 
Hebu tuthibitishie kuwa ethiopian airlines inatoka capetown kupitia dar kwenda addis., tuwekee hata dumb itinerary.
Kuna wakati wanafanya hivyo hasa kama wakiwa na route za bombadier zao , kunaroute ethiopian huwa anafanya hata itinarary huwezi kupata ,
Kuna siku nilikuwa nasafiri kwenda sehemu kupitia bole , tulipaa dar na kushuka zanzibar abiria walitoka uk, then ndo safari ya bole ikaendelea , route hii nimewahi shuhudia mara kadhaa na huwa haipo kwenye ticketing options
 
Hayo yamezungumzwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Dkt. Ally Possi, wakati akizungumza na menejimenti ya ATCL, na kusisisitiza kwamba pamoja na maboresho yanayofanyika kwa sasa Shirika linakamilisha mpango biashara wa muda mrefu ili kuhakikisha ATCL inajiendesha kwa faida pamoja na kulipa madeni yaliyopo.



“Serikali imeendelea kuwekeza kwenye Shirika hili na niwahakikishie maboresho ya viwanja vya ndege nchini yatachochea kwa kiasi kikubwa ongezeko la mapato na hatimaye madeni yanayoripotiwa yatalipwa", amesisitiza Dkt. Possi.



Aidha, Dkt Possi ameipongeza Menejimenti ya ATCL kwa kazi kubwa wanayoifanya na kuwataka kuhakikisha changamoto mbalimbali zinazokabili Shirika hilo ikiwemo mabadiliko ya ratiba yanaripotiwa mapema kwa abiria ili kuwafanya abiria kuendelea kuliamini na kutumia Shirika hiyo.



Naye Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, Eng. Ladislaus Matindi, amemuhakikishia Naibu Katibu Mkuu huyo kuwa Shirika linaendelea kuboresha utendaji na huduma ili likue na kuendelea kuaminika kwa utoaji huduma bora kwa zaidi ya vituo 15 vya ndani ya nchi na zaidi ya vituo sita vya nje ya nchi inavyovihudumia.



Eng. Matindi ameongeza kuwa kwa mwaka huu Shirika linakamilisha mazungumzo na mashirika makubwa ya ndege kama KLM na Emirates ili kuboresha huduma pale itakapoanza safari zake kwa vituo vya Uingereza na maeneo mengine kimataifa.



“Tayari tunashirikiano na mashirika makubwa ya ndege kama Air India ambao wanachukua abiria wetu tunaowapeleka Mumbai kuwapeleka kwenye maeneo mengine, lakini kwa sasa tunakamilisha mazungumzo na KLM na Emirate ili kuboresha huduma pale tutakapoanza safari za Uingereza na maeneo mengine", amefafanua Eng. Matindi.



Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) kwa sasa ina ndege 11 ambazo ni Boeing 787 ndege mbili, A220-330 ndege nne, Dash 8-Q400 ndege tano na tayari Serikali inaendelea na manunuzi ya ndege nyingine tano ambazo zinatajiwa kuanza kuwasili nchini mwaka 2023
Hao KLM twende nao taratibu wasije wakatupa kesi ya kulipa mabilioni. Sie size yetu INDIA na China
 
Kuna wakati wanafanya hivyo hasa kama wakiwa na route za bombadier zao , kunaroute ethiopian huwa anafanya hata itinarary huwezi kupata ,
Kuna siku nilikuwa nasafiri kwenda sehemu kupitia bole , tulipaa dar na kushuka zanzibar abiria walitoka uk, then ndo safari ya bole ikaendelea , route hii nimewahi shuhudia mara kadhaa na huwa haipo kwenye ticketing options
Kijiografia ukitoka SA unapita anga la BOTSWANA, MALAWI, TANZANIA kisha KENYA na hatimae ETHIOPIA (Bole). Hao wahudumu wa ET wana roho mbaya kishenzi. Safari ya masaa 6 msosi kiduchu.
 
ATCL ikiamua kwenda hizo routes hawezi kosa wateja.

Kwanini uzunguke mpaka Bole wakati unapata direct flight toka Dar kwenda Cape Town/J'burg/Dubai?

Binafsi sioni mantiki upoteze muda utoke S.A uende Bole ndo uje TZ wakati unaweza chukua direct flight mpaka Dar.

Soko lipo ila akiamua kuwa serious.
Mode ya biashara ya ndege ambayo Atcl angepata faida mapema sana ni ile ya budget airline, sio hii ya bussiness class ambayo haswa ni kwa watu wa corporates, tulikuwa tuna mengi sana ya kujifunza kwa fast jet kabla ya kumfurusha
Ndege kama magari huwezi nunua vogue ili ufanye ubber , fast jet hakuwahi kuwa na turbo props ambazo ni slow na huruka umbali mdogo kutoka sea level
 
Mode ya biashara ya ndege ambayo Atcl angepata faida mapema sana ni ile ya budget airline, sio hii ya bussiness class ambayo haswa ni kwa watu wa corporates, tulikuwa tuna mengi sana ya kujifunza kwa fast jet kabla ya kumfurusha
Ndege kama magari huwezi nunua vogue ili ufanye ubber , fast jet hakuwahi kuwa na turbo props ambazo ni slow na huruka umbali mdogo kutoka sea level
Madeni ya ATCL yanalipwaje? sina uhakika kama shirika ndio mmiliki wa ndege tajwa. Huenda ndo kikwazo cha kufanya partnership na ndege zinazojielewa eg. Swiss, Emirates, KLM, Oman Air, United Airlines etc
 
Kijiografia ukitoka SA unapita anga la TANZANIA kisha KENYA na hatimae ETHIOPIA (Bole).
Sahihi kabisa , lengo lao wanataka ku utilize zile ndege zao kubwa kwenye safari ndefu, safari ya south inaanza dar na ndege zao ndogo ,mkifika bole mnapanda kubwa halafu utaona kwenye map mnapita hapa hapa bongo tena kuelekea south
 
Madeni ya ATCL yanalipwaje? sina uhakika kama shirika ndio mmiliki wa ndege tajwa. Huenda ndo kikwazo cha kufanya partnership na ndege zinazojielewa eg. Swiss, Emirates, KLM, Oman Air, United Airlines etc
Ndo bussness plan ilipofeli hapo, Atcl ilitakiwa iwe declered bankrupt ,ili izaliwe new Atcl ambayo ingekuwa detached na madeni
 
Sahihi kabisa , lengo lao wanataka ku utilize zile ndege zao kubwa kwenye safari ndefu, safari ya south inaanza dar na ndege zao ndogo ,mkifika bole mnapanda kubwa halafu utaona kwenye map mnapita hapa hapa bongo tena kuelekea south
ET wanarusha ndege kubwa Boeing 787 mara 2/3 to Johannesburg (kwa siku)na Boeing 787 mara 1 to Cape Town (kwa siku). KQ anabwana pumzi huko ila bado kakomaa.
NB: Nauli zao bwerere, December 2022 naenda na familia Cape Town kiroho safi.
 
Back
Top Bottom