Tofautisha pombe (kileo halali) na bange (dawa ya kulevya, which is illicit before the law).Najua ni bange.
Dhambi inatoka wapi kuvuta bangi?
Kama kanisa katoliki linaruhusu pombe na mapadri wanakunywa bila kificho kwanini kuvuta bangi iwe dhambi kwao?
Punguza hasira bibiye. Mimi ndiye huyo Padre ninayejadiliwa hapa.Maisha wanayoishi hayapo kwenye mafundisho yao.... halafu kama una mihemko yako usini quote wewe sio padre unayejadiliwa hapa
Bangi ni mmea kama mchicha unaota wenyewe na hakuna kingine kinacho changanywa.Tofautisha pombe (kileo halali) na bange (dawa ya kulevya, which is illicit before the law).
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Na ww bi mdashi...ni mapapai ulishawatest mitambo ikagoma kufanya kazi ukaondoka na upwiru?....
Mungu anaishije? Maana Mungu ni roho hana mwili.Waishi ya kiMungu zaidi
Aisee wewe ni kichaa mie nipewe na padri mie ni mlutheran wachungaji wanaruhusa yakuoa so jieshimu aio unaropoka ropoka kama umelaaniwaNipo kisongo Arusha leta hiyo mimba uliyo pewa na padre niione ?
Halafu wengine waishi maisha ya kishetani au sio???Waishi ya kiMungu zaidi
Kwani kuzaa mpaka wafunge ndoa?Mapadri wanawatoto wao sio mmoja kama hujui labda wanaenda kufunga serikalini
Kama mlutheran mambo ya wakatoliki yana kuhusu nini sasa unataka kukunwa na mapadre ?Aisee wewe ni kichaa mie nipewe na padri mie ni mlutheran wachungaji wanaruhusa yakuoa so jieshimu aio unaropoka ropoka kama umelaaniwa
Mkuu, huyo hayuko sawa achana naye.....atakuharibia siku.....na ukute ni robot sio mtu....inakuumiza kichwa bure bilashi!Aisee wewe ni kichaa mie nipewe na padri mie ni mlutheran wachungaji wanaruhusa yakuoa so jieshimu aio unaropoka ropoka kama umelaaniwa
Ni kweliMkuu, huyo hayuko sawa achana naye.....atakuharibia siku.....na ukute ni robot sio mtu....inakuumiza kichwa bure bilashi!
Kukunwa tusiseme ukweli wewe ninani au hawara wao ndio maana unahasira utaibiwa mahawara zakoKama mlutheran mambo ya wakatoliki yana kuhusu nini sasa unataka kukunwa na mapadre ?
EtiKwani kuzaa mpaka wafunge ndoa?
Umeona eeh, naumia kuona padre wangu anasemwa humu ,mwishowe ashindwe kunipa maokoto [emoji23]Na yeye huenda ndiye mke wa padre. Kwa hiyo ngoma droo! Ndio maana anakuwa mkali kama pilipili mbuzi! π π π π
Upo sahihi, waishi kama alivyoishi Yesu sio ujanja ujanjaWaishi ya kiMungu zaidi
Wameuonea bure Uzi wako mjomba...majaa wameoa tayariNaunga mkono hoja, nilipandisha bandiko kushauri mapadri wa Katoliki waoe, lilifutwa fasta!.
P
Bado hujapata tu ?Kukunwa tusiseme ukweli wewe ninani au hawara wao ndio maana unahasira utaibiwa mahawara zako