Ajabu na kweli: Padri wa kanisa katoliki kaoa mke na anavuta sigara kali!

Sasa hapo kuna maajabu gani?! Au, wewe bado upo miaka, ya, 1990?!
Siku,hizi, wachungaji wanazini na, wanakwaya, mama, mchungaji anatoka na shamba boi, maaskofu wanabaguana kikabila, wanamiriki baa, wananunua machangu doa,maofisini, kwa, wadada ni full kudanga!, hakuna, jipya siku hz,
Bsdala ya kupoteza muda kushangaa ya watu binafsi, we jiulize hv huwa kuna umuhimu kila mwaka kutenga bajeti ya kununua v8 toleo jipya kila moja inauzwa 250milioni+!?
Hv huwa, kuna haja ya, kuendelea, kugawa nchi na, kuongeza, mikoa?
Jiulize, kwanini wana nchi, wa, Uganda, wanavumilia maumivu ya dikiteta, wakati niger, misri,Tunisia, Mali, walikataa, wakaingia balabalani,?
Jiulize kwanini, vijana wa bongo, wanaona ni Bora Uwe chawa, upate ugsri wako, ulale mbele, mustakabali wa nchi, tutajua mbele ya safari!
 
Wewe ustaz umeshaenda kula maulidi yenu kesho
 
Mkuu utamu wa papuchi hauna mfano [emoji39][emoji39][emoji39]
Kuna mtu alisema sheikh na padri walikutana kwenye ndege, padri akaagiza msosi una nyama ya kiti moto na kwakuwa walikaa siti zilizofatana padri akamkaribisha sheikh, sheikh akasema situmii kiti moto, padri akamjibu"unakosa utamu" ... baada yakushuka kwenye ndege wakawa wanaagana basi sheikh akamwambia padri msalimie mkeo nae padri akajibu sisi hatuoi, sheikh akasema "mnakosa utamu"
 
Hili ni suala la kushangaza sana. Unajua mapadri wengine wachumiatumbo tu......wapo kwenye upadri kuganga njaa na wala hawana wito wowote wa kumtumikia Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…