Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo, taarifa zinasema wamebaki watoto wawili tu wengine wamefariki, shule inaitwa lake school ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe

Picha:soon ntaziapload ni ajali ya mda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
UPDATES:Coaster ina jumla ya abiria 58 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha
UPDATES😛icha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio
mleta mada unaleta hii habari kimzaha kwanini? Umenisikitisha sana. Tunapenda mzaha ndio Kwa mambo menginine lakini siyo kama haya. Kaamon ONDOA HARAKA SANA HIYO EMOJI YA ULIMI.

Poleni wahanga na wafiwa Mungu awape wepesi
 
dah ndio maana mimi watoto wakinambiaga maswala ya kwenda ziara nawakataliaga kwa sabab ya vitu kama hivi ila kwakuwa wao hawajui waniita mkoloni yan inafikia hatua wakiwa wananiulizia wanasema"mama,mzee mkuda yupo ndani au bado hajaludi"........dah maumiv ya kupoteza mtoto ni mazito jaman mi yashanikuta !

yan mimi watoto wakinambiaga haya mambo ya ziara nawauliza mchango ni tsh ngap wakishanambia nawapa hiyo pesa nawawambia nendeni mkatembee kuna siku mtoto alijibu jibu flan sitasahau,alinijibu"baba wewe sio mzee ila mbona una mambo ya kikoloni hivo,ungekuwa unatukataza bila kutupa hizi pesa ambazo zingekuwa ghalama ya trip tungehisi m'bahili"
Pole sana mkuu....ni wajibu wetu wazazi kuwalinda watoto wetu...japo ajali ni popote
 
  • Thanks
Reactions: SDG
mleta mada unaleta hii habari kimzaha kwanini? Umenisikitisha sana. Tunapenda mzaha ndio Kwa mambo menginine lakini siyo kama haya. Kaamon ONDOA HARAKA SANA HIYO EMOJI YA ULIMI.

Poleni wahanga na wafiwa Mungu awape wepesi
Sishani kama ni mzaha, hicho ki-icon atakuwa amekiclick bahati mbaya. Hawezi kuwa na mzaha kwa habari kama hii.
 
Ajali ya kuua watu 50+ mbona itakuwa ya kutisha sana. Coaster inabebaje watu 50+? Nna mashaka na idadi inayoripotiwa... Ila all in all hata kama amekufa mmoja ni jambo la kusikitisha sana...

Mungu awarehemu watoto wetu na awape faraja wazazi wenzetu.

Wapumzike kwa amani. Amen.
 
Poleni wazazi wote na wanafunzi wenzao.ikiwa ni pamoja na uongozi was while. Mungu awatie nguvu ya kukabili majonzi mliyonayo.
 
Ajali ya kuua watu 50+ mbona itakuwa ya kutisha sana. Coaster inabebaje watu 50+? Nna mashaka na idadi inayoripotiwa... Ila all in all hata kama amekufa mmoja ni jambo la kusikitisha sana...

Mungu awarehemu watoto wetu na awape faraja wazazi wenzetu.

Wapumzike kwa amani. Amen.
mkuu ucsahau kama wanafunzi wanabebeshana, wanabana matumizi
 
Aisee! Ajali zote ni mbaya,. Hii imezidi kuwa mbaya zaidi... Ee pokea roho za marehemu hawa, na kuzipumzisha kwenye makazi yako ya raha na amani huko mbinguni, Amen!
 
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo, taarifa zinasema wamebaki watoto wawili tu wengine wamefariki, shule inaitwa lake school ipo Arusha ni medium schools,kwa wenye updates tunaomba mtupe

Picha: Soon ntaziapload ni ajali ya mda huu
Mungu awalaze mahali pema peponi
----------------------

UPDATE: Coaster ina jumla ya abiria 58 na wote wanasadikiwa wamefariki,maiti zimepelekwa hospitalini na watu wameondoka eneo la tukio,mvua inanyesha

UPDATE: Picha zinakuja soon ripota yuko eneo la tukio..
e4cfb0a2c60ad4d2f6679b8b82179f44.jpg
98c598fa4a0a2c5cda2de7bf7d4a8753.jpg
a485c54ec571fa2922b749556469dd07.jpg

ffca50c6762e68e78bb5b61ef3644786.jpg
 
Back
Top Bottom