Ajira mpya za TRA
MWENYE LINK YA GROUP LA WATSP LA TRA WANAOPEANA UPDATES AU SHARES MATERIAL NAOMBA KWA MWENYE LINK NAOMBA ANITUMIE ILI IWE RAHISI KUPATA UPDATE.🙏
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Mnapenda Kupotosha Watu,?? Nimeomba Link ya Group cz baada tu ya Nafasi kutoka watu waliunda group , Kwa ajiri ya updates incase .... Na nilikuwepo ila nikaja poteza simu... Sasa Hapo ambacho haukuwa umeelewa nini? Yani message fupi kama hiyo unashindwa elewa na Ni graduate .. very sad
 
hii message mcopy huyo mwenzio wa juu, aliyesema mmeshaitwa kumbe.
Mbona Mnapenda Kupotosha Watu,?? Nimeomba Link ya Group cz baada tu ya Nafasi kutoka watu waliunda group , Kwa ajiri ya updates incase .... Na nilikuwepo ila nikaja poteza simu... Sasa Hapo ambacho haukuwa umeelewa nini? Yani message fupi kama hiyo unashindwa elewa na Ni graduate .. very sad
 
Mbona Mnapenda Kupotosha Watu,?? Nimeomba Link ya Group cz baada tu ya Nafasi kutoka watu waliunda group , Kwa ajiri ya updates incase .... Na nilikuwepo ila nikaja poteza simu... Sasa Hapo ambacho haukuwa umeelewa nini? Yani message fupi kama hiyo unashindwa elewa na Ni graduate .. very sad
Tunaomba ukipata hio link ushee na sisi tujiunge
 
Mbona Mnapenda Kupotosha Watu,?? Nimeomba Link ya Group cz baada tu ya Nafasi kutoka watu waliunda group , Kwa ajiri ya updates incase .... Na nilikuwepo ila nikaja poteza simu... Sasa Hapo ambacho haukuwa umeelewa nini? Yani message fupi kama hiyo unashindwa elewa na Ni graduate .. very sad
Dogo piga msuli nafasi yenyewe moja alafu mnaigombania watu karibuni 5000
 
Dogo piga msuli nafasi yenyewe moja alafu mnaigombania watu karibuni 5000
Mkuu hata Nafasi zikiwa 400 mmeomba watu 399 ....Basi kama Sio Nafasi Mungu Aliyokuandikia Hupati.. Cz sisi zetu ni jitihada tu Yeye ndio anayepanga....So usione siku kuna nafasi laki moja mkaomba watu 10 ...ukajiwekea hapa napata ...Noo Ridhki ni mungu ndio anaamua ya kwako ipo wapi...So kula msuli wa dunia nzima pewa hata paper ila kama sio ridhki sio yako hupati.
 
Mkuu hata Nafasi zikiwa 400 mmeomba watu 399 ....Basi kama Sio Nafasi Mungu Aliyokuandikia Hupati.. Cz sisi zetu ni jitihada tu Yeye ndio anayepanga....So usione siku kuna nafasi laki moja mkaomba watu 10 ...ukajiwekea hapa napata ...Noo Ridhki ni mungu ndio anaamua ya kwako ipo wapi...So kula msuli wa dunia nzima pewa hata paper ila kama sio ridhki sio yako hupati.
Kaa Leo Fikiria nafasi ngapi, Uliwahi kuweka jitihada lakini hukupata...Lakini Nyengine ulipata tu bila hata jitihada... Huyo Ndio Mungu Sasa... ( Waangalie ndege ,angani Hawalimi na hawana mashamba ila kwanini wanapata ridhki)... leo Si upo mzima na miguu unatafuta ridhki na unahofu je siku nikipata ajali nitapata wapi chakula na mahitaji....Sasa hata siku ukipata ajali na huwezi kunyanyuka Hautakufa kwa njaaa.... So uwe na imani cz hauna nguvu yoyote hata chembe ya mchanga bali ni Mwenyezi Mungu, ...
 
Kaa Leo Fikiria nafasi ngapi, Uliwahi kuweka jitihada lakini hukupata...Lakini Nyengine ulipata tu bila hata jitihada... Huyo Ndio Mungu Sasa... ( Waangalie ndege ,angani Hawalimi na hawana mashamba ila kwanini wanapata ridhki)... leo Si upo mzima na miguu unatafuta ridhki na unahofu je siku nikipata ajali nitapata wapi chakula na mahitaji....Sasa hata siku ukipata ajali na huwezi kunyanyuka Hautakufa kwa njaaa.... So uwe na imani cz hauna nguvu yoyote hata chembe ya mchanga bali ni Mwenyezi Mungu, ...
Sasa unahangaika na magroup ya whatsapp ya nini si usubiri tu Mungu afanye njia upigiwe simu au utumiwe email ya interview. Majina hayatatumwa kwenye group la whatsapp maana admin sio TRA tulia acha kuhangaika
 
Back
Top Bottom