Ajira ni haki ya kila kijana msomi, lakini kwasababu ya upumbavu wao hawatakuja kuitambua hii haki yao ya msingi mpaka watazeeka.

Ajira ni haki ya kila kijana msomi, lakini kwasababu ya upumbavu wao hawatakuja kuitambua hii haki yao ya msingi mpaka watazeeka.

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.

Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?

Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.

Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda au mama lishe .

Ungetaka kuwa bodaboda ungeishia tu darasa la pili maana kwenye bodaboda hakuna hesabu kubwa kivile , unapewa laki moja unaandikiwa kikaratasi ukamnunulie mtu mahitaji yake basi. Hesabu anakuwa ashapiga yeye mwenyewe maana wewe boda hakuamini.

Msomi unakuwa dalali wa vyumba mjini umekaa kijiweni pamoja na wazee walioishia darasa la 4 B. Umewatesa wazazi tu kwa kujinyima , waliuza mpaka mbuzi ili ukasome leo hii unauza mikanda Kariakoo, mikanda fake unawaambia watu ngozi hii. Hiyo kazi ya utapeli ungeianza ulipokuwa darasa la 3 sasa hivi ungekuwa mbali.

Enyi vijana elevukeni, muidai hii haki yenu ya msingi. Serikali iwaajiri au ivutie wawekezaji kwa wingi muajiriwe na wawekezaji.

Mnapondwa na malori na hivyo vibodaboda vyenu wala hakuna anayewajali. Unfortunately hata wananchi wakiona boda amekufa moja kwa moja wanaanza kumtupia lawama bodaboda.
 
Ni kweli katiba inasema wajibu namba moja wa Serikali ni kutoa Ajira kwa raia wake
 
Kuanzia kesho vijana wote hakuna kufanya kazi za kujiajiri mpaka tuajiriwe na serikali.
Nadhani hujanielewa.
Sio lazima kuajiriwa na serikali.
Pia kama kujiajiri basi tuone mfamasia akifungua pharmacy yake au kiwanda kidogo cha kuzalisha dawa sio mfamasia kakaa kajiajiri kuchoma mahindi.
 
Inawezekana ni kweli, mimi nadhani badala ya kukomaa serikali ikuajiri, mimi nadhani serikali ingewajengea vijana uwezo, ili watoke, sector ziko nyingi, Ni wajibu wa Baba kutoa matumizi kwa mtoto na kumpa Elimu bora kama baba hana uwezo hata ukimpeleka mahakamani ni bado sio kwamba atapata uwezo ni bado atakuwa hana uwezo huo
 
Nadhani hujanielewa.
Sio lazima kuajiriwa na serikali.
Pia kama kujiajiri basi tuone mfamasia akifungua pharmacy yake au kiwanda kidogo cha kuzalisha dawa sio mfamasia kakaa kajiajiri kuchoma mahindi.
Sio kwamba hatuwezi kujiajiri bado kipato chetu kipo chini
 
Nadhani hujanielewa.
Sio lazima kuajiriwa na serikali.
Pia kama kujiajiri basi tuone mfamasia akifungua pharmacy yake au kiwanda kidogo cha kuzalisha dawa sio mfamasia kakaa kajiajiri kuchoma mahindi.
Sawa tajiri... Unaweza kutugawaia hiyo mitaji ya kutufanya tufungue hizo pharmacy? Zaidi ya hapo hii ni porojo tu

Maisha yetu ya tulikotokea wengi tunayajua, kwahyo usishangae ukimuona msomi anapiga kazi fulani wakati anasikilizia ajira sehemu fulani au wakat anatafuta mtaji
 
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.
Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?
Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.
Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda au mama lishe .
Ungetaka kuwa bodaboda ungeishia tu darasa la pili maana kwenye bodaboda hakuna hesabu kubwa kivile , unapewa laki moja unaandikiwa kikaratasi ukamnunulie mtu mahitaji yake basi. Hesabu anakuwa ashapiga yeye mwenyewe maana wewe boda hakuamini.
Msomi unakuwa dalali wa vyumba mjini umekaa kijiweni pamoja na wazee walioishia darasa la 4 B. Umewatesa wazazi tu kwa kujinyima , waliuza mpaka mbuzi ili ukasome leo hii unauza mikanda Kariakoo, mikanda fake unawaambia watu ngozi hii. Hiyo kazi ya utapeli ungeianza ulipokuwa darasa la 3 sasa hivi ungekuwa mbali.
Enyi vijana elevukeni, muidai hii haki yenu ya msingi. Serikali iwaajiri au ivutie wawekezaji kwa wingi muajiriwe na wawekezaji. Mnapondwa na malori na hivyo vibodaboda vyenu wala hakuna anayewajali. Unfortunately hata wananchi wakiona boda amekufa moja kwa moja wanaanza kumtupia lawama bodaboda.
Mbona kama unataka kukatisha vijana tamaa?!
 
Life letu hili ni ungaunga mwana sana... Tatizo la ukosefu wa ajira ni international, tutailaumu sana serikali lakini haiwezi kumaliza tatizo la ukosefu wa ajira hasa katika kipindi hiki ambacho technology imeadvance.

Na kinachotukwamisha wengi wetu tusijiajiri au tusifanye biashara kubwakubwa ni kipato. Mifukoni huna hata mia, na wazazi nao ushawakamua vya kutosha. Hv utawaza kufungua pharmacy? Si utaanza na kuuza karanga na mahindi, vitu vilivyo ndani ya uwezo wako?
 
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.
Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?
Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.
Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda au mama lishe .
Ungetaka kuwa bodaboda ungeishia tu darasa la pili maana kwenye bodaboda hakuna hesabu kubwa kivile , unapewa laki moja unaandikiwa kikaratasi ukamnunulie mtu mahitaji yake basi. Hesabu anakuwa ashapiga yeye mwenyewe maana wewe boda hakuamini.
Msomi unakuwa dalali wa vyumba mjini umekaa kijiweni pamoja na wazee walioishia darasa la 4 B. Umewatesa wazazi tu kwa kujinyima , waliuza mpaka mbuzi ili ukasome leo hii unauza mikanda Kariakoo, mikanda fake unawaambia watu ngozi hii. Hiyo kazi ya utapeli ungeianza ulipokuwa darasa la 3 sasa hivi ungekuwa mbali.
Enyi vijana elevukeni, muidai hii haki yenu ya msingi. Serikali iwaajiri au ivutie wawekezaji kwa wingi muajiriwe na wawekezaji. Mnapondwa na malori na hivyo vibodaboda vyenu wala hakuna anayewajali. Unfortunately hata wananchi wakiona boda amekufa moja kwa moja wanaanza kumtupia lawama bodaboda.
Kwa maandishi haya hufai kuajiriwa.
 
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.
Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?
Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.
Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda au mama lishe .
Ungetaka kuwa bodaboda ungeishia tu darasa la pili maana kwenye bodaboda hakuna hesabu kubwa kivile , unapewa laki moja unaandikiwa kikaratasi ukamnunulie mtu mahitaji yake basi. Hesabu anakuwa ashapiga yeye mwenyewe maana wewe boda hakuamini.
Msomi unakuwa dalali wa vyumba mjini umekaa kijiweni pamoja na wazee walioishia darasa la 4 B. Umewatesa wazazi tu kwa kujinyima , waliuza mpaka mbuzi ili ukasome leo hii unauza mikanda Kariakoo, mikanda fake unawaambia watu ngozi hii. Hiyo kazi ya utapeli ungeianza ulipokuwa darasa la 3 sasa hivi ungekuwa mbali.
Enyi vijana elevukeni, muidai hii haki yenu ya msingi. Serikali iwaajiri au ivutie wawekezaji kwa wingi muajiriwe na wawekezaji. Mnapondwa na malori na hivyo vibodaboda vyenu wala hakuna anayewajali. Unfortunately hata wananchi wakiona boda amekufa moja kwa moja wanaanza kumtupia lawama bodaboda.
Vijana gani? hawa wanao shinda wakijadili Yanga na Simba? Vijana serious wako Kenya, huku muna Mazezeta plus maiti zilizo hitimu Chuo kikuu
 
Sawa tajiri... Unaweza kutugawaia hiyo mitaji ya kutufanya tufungue hizo pharmacy? Zaidi ya hapo hii ni porojo tu

Maisha yetu ya tulikotokea wengi tunayajua, kwahyo usishangae ukimuona msomi anapiga kazi fulani wakati anasikilizia ajira sehemu fulani au wakat anatafuta mtaji
Nimemuelewa vizuri sana mtoa mada, kama alivyowahi kushauri mhe Jumanne Kishimba wa CCM. Hesabu miaka 7 primary, miaka 4, secondary o level, miaka 2 secondary A level, miaka 3-5, degree, jumla miaka 18, halafu anatembeza karanga au kusukuma mkokoteni au ukuli wa mizigo ili anunue pikipiki. Tungekuwa na kitengo maalum seriously kutafuta ajira katika nchi zenye fursa ya kazi ila wana population ndogo kama , Canada, south Korea nk. Pia tuwape mitaji vijana kwa taaluma walizosomea, kama kilimo, afya, uchumi, uhandisi, computer nk. Na kuwatafutia masoko. Pia kuzuia bidhaa (taka/mbovu) toka nje na kuruhusu matumizi ya bidhaa za ndani maofisini kama furniture zetu. Serikali ikiamua inaweza sana labda kama upo mkakati wa kuwafanya watu maskini kwa makusudi.
 
Nimemuelewa vizuri sana mtoa mada, kama alivyowahi kushauri mhe Jumanne Kishimba wa CCM. Hesabu miaka 7 primary, miaka 4, secondary o level, miaka 2 secondary A level, miaka 3-5, degree, jumla miaka 18, halafu anatembeza karanga au kusukuma mkokoteni au ukuli wa mizigo ili anunue pikipiki. Tungekuwa na kitengo maalum seriously kutafuta ajira katika nchi zenye fursa ya kazi ila wana population ndogo kama , Canada, south Korea nk. Pia tuwape mitaji vijana kwa taaluma walizosomea, kama kilimo, afya, uchumi, uhandisi, computer nk. Na kuwatafutia masoko. Pia kuzuia bidhaa (taka/mbovu) toka nje na kuruhusu matumizi ya bidhaa za ndani maofisini kama furniture zetu. Serikali ikiamua inaweza sana labda kama upo mkakati wa kuwafanya watu maskini kwa makusudi.
Ni idea nzuri na mm naikubali... Tatizo halipo kwenye serikali kutuwezesha, ila lipo kwenye ubora wa elimu yetu... Leo ukiwachukua madaktari wa kenya na tz uwapeleke ulaya wakaajiriwe watz watakosa
 
Ni idea nzuri na mm naikubali... Tatizo halipo kwenye serikali kutuwezesha, ila lipo kwenye ubora wa elimu yetu... Leo ukiwachukua madaktari wa kenya na tz uwapeleke ulaya wakaajiriwe watz watakosa
Silabasi za Kenya na Tanzakia hazina utofauti, shida sio mitala shida ni uzezeta wa Watanzania, Kule Arusha zile International school zina walimu wa masomo ta Kiswahili wa Kikenya. Vip hapo?
 
Hao wa kutafutiabajira South Korea ni hawa haaa wajinga wasio jutambya? Mnachekesha sana
Nimemuelewa vizuri sana mtoa mada, kama alivyowahi kushauri mhe Jumanne Kishimba wa CCM. Hesabu miaka 7 primary, miaka 4, secondary o level, miaka 2 secondary A level, miaka 3-5, degree, jumla miaka 18, halafu anatembeza karanga au kusukuma mkokoteni au ukuli wa mizigo ili anunue pikipiki. Tungekuwa na kitengo maalum seriously kutafuta ajira katika nchi zenye fursa ya kazi ila wana population ndogo kama , Canada, south Korea nk. Pia tuwape mitaji vijana kwa taaluma walizosomea, kama kilimo, afya, uchumi, uhandisi, computer nk. Na kuwatafutia masoko. Pia kuzuia bidhaa (taka/mbovu) toka nje na kuruhusu matumizi ya bidhaa za ndani maofisini kama furniture zetu. Serikali ikiamua inaweza sana labda kama upo mkakati wa kuwafanya watu maskini kwa makusud
 
Vijana wanajifariji eeeh maisha popote ilimradi mkono uende kinywani.
Kijana bila aibu na kimeza chake cha matunda anasema Mimi nina degree. Are you mad?
Kama ungetaka kuwa muuza matunda ungeishia DARASA la kwanza tu au la pili.
Hesabu za darasa la pili zinatosha kwa mfanyabiashara wa matunda au mama lishe .
Ungetaka kuwa bodaboda ungeishia tu darasa la pili maana kwenye bodaboda hakuna hesabu kubwa kivile , unapewa laki moja unaandikiwa kikaratasi ukamnunulie mtu mahitaji yake basi. Hesabu anakuwa ashapiga yeye mwenyewe maana wewe boda hakuamini.
Msomi unakuwa dalali wa vyumba mjini umekaa kijiweni pamoja na wazee walioishia darasa la 4 B. Umewatesa wazazi tu kwa kujinyima , waliuza mpaka mbuzi ili ukasome leo hii unauza mikanda Kariakoo, mikanda fake unawaambia watu ngozi hii. Hiyo kazi ya utapeli ungeianza ulipokuwa darasa la 3 sasa hivi ungekuwa mbali.
Enyi vijana elevukeni, muidai hii haki yenu ya msingi. Serikali iwaajiri au ivutie wawekezaji kwa wingi muajiriwe na wawekezaji. Mnapondwa na malori na hivyo vibodaboda vyenu wala hakuna anayewajali. Unfortunately hata wananchi wakiona boda amekufa moja kwa moja wanaanza kumtupia lawama bodaboda.
Tupo tuna chawia kwa mama ili tupate teuzi
 
Back
Top Bottom