Ajira ni haki ya kila kijana msomi, lakini kwasababu ya upumbavu wao hawatakuja kuitambua hii haki yao ya msingi mpaka watazeeka.

Ajira ni haki ya kila kijana msomi, lakini kwasababu ya upumbavu wao hawatakuja kuitambua hii haki yao ya msingi mpaka watazeeka.

Mfumo wa elimu yetu unaandaa wahitimu kuajiriwa, badala ya kutawala mazingira. Shida ipo hapo.
 
Elimu ina faida kubwa
Unaweza kuwa unauza matunda lakini elimu ikakusaidia kuyauza kisomi
Labda kuongeza thamani kwenye package, delivery, kauli n k

Serikali haina maofsi ya kuwaweka Wasomi wote
 
Hao wa kutafutiabajira South Korea ni hawa haaa wajinga wasio jutambya? Mnachekesha sana
Hao wa kutafutiabajira South Korea ni hawa haaa wajinga wasio jutambya? Mnachekesha sana
Kweli mkuu, ziko nchi population yao ni ndogo, na kazi na majukumu ni mengi na wanataka nguvu kazi toka nje. Serikali ikijipanga vijana wataenda kutafuta mitaji na technology na kuirudisha nchini,, tutapiga hatua. Ili mradi serikali ihakikishe sheria za mikataba ya kazi inazingatiwa.
 
Mimi nimeshasema tofauti na kilimo siwezi kufanya uchuuzi, never. Lazima tujitambue

Elimu ina faida kubwa
Unaweza kuwa unauza matunda lakini elimu ikakusaidia kuyauza kisomi
Labda kuongeza thamani kwenye package, delivery, kauli n k

Serikali haina maofsi ya kuwaweka Wasomi wote
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe sio mhanga.
Kauli kama hizi tumezisikia sana lakini kiuhalisia not applicable.
Kwamba msomi atasajili line za simu na kuadd value.
Eti msomi atatembeza karanga na kuongeza value labda anunue filimbi ya kuitia wateja.
Kuna graduate wa Education anatembeza tembele na baiskeli mwaka wa 5 sasa mbona sioni alichokiongeza ?
 
Mfumo wa elimu yetu unaandaa wahitimu kuajiriwa, badala ya kutawala mazingira. Shida ipo hapo.
Tumia elimu popote
Jitofauti
Ahahahahh 🤣 🤣 🤣 🤣
Wewe sio mhanga.
Kauli kama hizi tumezisikia sana lakini kiuhalisia not applicable.
Kwamba msomi atasajili line za simu na kuadd value.
Eti msomi atatembeza karanga na kuongeza value labda anunue filimbi ya kuitia wateja.
Kuna graduate wa Education anatembeza tembele na baiskeli mwaka wa 5 sasa mbona sioni alichokiongeza ?
Elimu yako itumike popote
Yaani kama msomi utaamua kuwa dalali jitafautishe na wengine
Apply elimu
Tumia mitandao
Tangaza
Kama utapika chakula
Kuwa tafauti
Ji brand
 
Tumia elimu popote
Jitofauti
Elimu yako itumike popote
Yaani kama msomi utaamua kuwa dalali jitafautishe na wengine
Apply elimu
Tumia mitandao
Tangaza
Kama utapika chakula
Kuwa tafauti
Ji brand
Kwa dhati kabisa, kutumia miaka 18 kusoma degree halafu,unakuwa kibarua wa kujaza mchanga kwenye tipa la mchanga haiko sawa
 
Unasema vijana hawana aibu kwa kukosa ajira hawafu unasema serikali ilete wawekezaji ili wapate ajira? Wewe na hao unaowaita wasomi wote ni treni moja, hamjui jinsi gani ukosefu wa ajira unatokana na nini, kaeni hapo mtandikwe na maisha
 
Mwenye shibe hawezi jua tabu na dhiki za mwenye njaa , ipo hivyo siku zote .
 
Kuandika ni rahisi sana ,ila ukiuvaa uhalisia ndio utajua mapito na dhiki ya ukosefu wa ajira kwa vijana ilivyo ngumu nchi hii .
Hii shida ni kubwa mno .
Leo hii ukisema hawa wanaosema graduates wajiajiri ,uwatoe kwenye kazi zao halafu unaambiwa wajiajiri bila kutafuta ajira nyingine ,wengi hata miezi miwili hawatoboi watakufa kwa pressure na wengine watakuwa wehu humo mitaani .
"The talk is always cheap , the walk is expensive "
 
Hakuna cha mabadiliko hapa leo au kesho kutokana na mentality iliyopo sasa na tunapoelekea..., Mwanzo kabisa kutokana na Ubepari ni Free Market katika Ajira (well and good) sasa issue inakuja baada ya teknolojia nguvu kazi haiitajiki tena hivyo kinachoendelea....
1732862682163.png
Ingawa kwanini nasema hakuna mabadiliko ? Sababu si watawala au wanaotaka Utawala wanaongelea tena ajira
 
Mfumo wa elimu yetu unaandaa wahitimu kuajiriwa, badala ya kutawala mazingira. Shida ipo hapo.
Hakuna nchi wala sehemu wala uwezekano wa kila mtu mmoja mmoja kuweza kujipatia mkate wake katika mfumo wa sasa...

Hapo kale kulikuwa na mashamba na vitu vinavyohitaji manual labour.., hivyo kabaila mmoja anaweza akawa anamiliki mkoa mzima watu mnalima mnakula na kingine anchukua kama (rent) hio ni ajira tosha..., au mtumwa unafanyishwa kazi unapewa mkate wako (basic needs zinapatikana)

Leo hii Mtu mmoja anaweza kulisha nchi nzima bila kuhitaji watu (ambao ni prone kwa uvivu, kulalamika, wizi n.k.) hivyo watu ni liability..., thus tunapoelekea mfumo wa kugawana keki angalau wengine wapate basic needs unahitajika..., vinginevyo ulimwengu hauwezi kutawalika....

Extreme Poverty anywhere is a threat to Society Everywhere.....
 
Back
Top Bottom