Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
AISEE Malaika mkuu mwenda zake alikua mtu katili sana na yote haya ni kwasababu Kiongozi wa mtandao Ole Ngurumwa alikua anamwandama sana Jiwe, sasa pigeni kazi bila woga jamaa ndio basi tena kashasahaulika hata hajaoza vizuri kule Chato.