Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
Hii imekaa kivip?Usiogope kufa Kwa sababu hata ukifa hutajua kama umekufa
Inshallah ishi sana mdogo wangu π€Yani nife Kwa mema gani nilofanya yatayifanya nikifa mapema nikapumzike kma sio nitakuwa mzimu tu nisumbue watu Allah anipe pumzi niishi mqisha marefu nilee wajukuu zangu
AlafnWe jinsia gani?
Yule jamaa mwingine,"Macron" alisema anataka kujiua,what hapenned to 'im?"
Well,tukueleze what will happen. Ukijiua,you will get out of your body,and go to the Spirit World. Kule utakutana na very bad-tempered people ambao watakuuliza kwa nini umejiua ? Halafu watakwambia ,pumzika hapa. Halafu baada ya muda mfupi,watafanya mpango,uzaliwe tena duniani,umalizie span of life uliyoikimbia.
Alaf nyie watu mnaojiaminisha kurudi tena duniani baada ya kufa kwa kuzaliwa tena mnachukulia maisha marahisi sana aisee π πHayo mawazo yenu siku hizi sio sifa mjuee...mnakimbilia wapi? Majukumu yenu mnamwachia nani? Hujamaliza kazi zako hapa duniani unalazimisha kwenda ukikataliwa huko urudishwe duniani kama kuku utamlaumu nani?.
Mtu uko peke yako unachanganyikiwa sasa mkiwa wawili itakuwaje? Si wataanza na kuokota makopo na kula kwenye macontainer ya kuhifadhia taka? Uzembe tu huo. Allah atujalie mioyo yenye kustahimili magumuWatu wako single wanachanganyikiwa sana shida ndo hiyo πππ
Yukoje ,tuambie wewe unaemjua ?Mungu hayupo hivyo
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea
After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile
Jamii forum member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta
" bye bye"
Jamaa anashindwa kujikaza.Mimi mwenzake nimekuwa nikijikia hivi mwaka wa 30 sasa na hali hii kama yake. Na ninadunda tu yeye miaka 5 tu analia lia humu? Utoto wa mama tu huo. Mimi nimeanza jisikia kufa kufa miaka mingi sana na wala sijawahi waambia watu. Na pesa ninazo mpaka naumwa.....
Ubwege tu. Anatafuta papuchi kwa style yake humwoni anakwambia pesa anazo sana anaweza nunua chochote? Ni mbinu ya kupata mademu JF kirahisiJamaa anashindwa kujikaza.
Sasa hiyo hali ya kufa kufa inakuwa inasababishwa na nini? Madeni, stress za mapenzi au nini?
When the going gets tough, the tough get going.Binadamu yeyote yule lazima uelewe kifo kipo na kufa kupo.
Whether you like it or not. Death is a Must for everyone and you can't control nature, Thats the way it is.
Forget the past.Wewe sio wa kwanza kufiwa na mama.
Kuna watu wana shida zaidi yako na wanakaza.
Mi wiki ijayo nakufa
Unaniuliza mie dear? Au kuna mtu unaongea nae...Zero Kilometer au sio?
Yesu ni njia pekee, Kweli na Uzima .Majitu ya dini bwana, una hakika ni mkristo?
πππMtu uko peke yako unachanganyikiwa sasa mkiwa wawili itakuwaje? Si wataanza na kuokota makopo na kula kwenye macontainer ya kuhifadhia taka? Uzembe tu huo. Allah atujalie mioyo yenye kustahimili magumu
Ni vitu vya kufikirika na kujifurahisha tuuAlafn
Alaf nyie watu mnaojiaminisha kurudi tena duniani baada ya kufa kwa kuzaliwa tena mnachukulia maisha marahisi sana aisee π π