Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Kumbe mpaka wao wana habari ya kupigwa mkono ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hawezi kisifia Yanga

Hata ningekuwa mimi ningesema kuwa Zamalek ndo klabu kubwa Afrika
 
Wasemaji wa Al Ahly wamekuwa wengi sana kwa sasa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
waambie hamsa zao kama tulizompiga huyo mkewe kolo fc zipo pale pale
 
We kwenye akili yako Tanzania hii Timu kubwa ni IPI?
 
IHEFU alimfunga YANGA akiwa TAIFA sio?
 
Hawezi kisifia Yanga

Hata ningekuwa mimi ningesema kuwa Zamalek ndo klabu kubwa Afrika
Yes inaonekana ni afisa wa ubalozi yupo Daressalaam muda mrefu ameshakuwa mswahili swahili Hata majibu yake yanaonekana “even with simba it is easy for me “ akimaanisha Hata wakicheza na simba ni rahisi kwake na ushindi wa 5-1 anasema it is lucky hata takwimu za mchezo ni lucky
 
ongeeni muwezavyo mume wenu nae akikaa sawa anapigwa hamsa...CAF ndo watu pekee watakaoweza kutuaminisha kwamba sisi timu ndogo coz kwenye timu bora 5 za CAF nyie makolomoxtra fc hampo sisi tupo MAANAZI YA JUZI NYIE
Unawajua CAF?

Takwimu gani za CAF ambazo Gongowazi yupo top 5?
 
Kumbe mpaka wao wana habari ya kupigwa mkono ?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Habari wanazo maana kila kitu kipo kwenye data

Ila wenzako walikuwa wanajaribu kupotosha kusema kuwa hii bango halioneshi full time linaonesha dakika ya 85

Hivyo mpira Yanga walisawazisha hizo goli 5 na mpira ukaisha kwa sare
 
Nilijua ushindi wa Yanga huko nje hakuna anayeujua

Aahaaaa

Hoya SAYVILLE njoo huku

Aahaaaaa

Maana ulisema ushindi wa Yanga hakuna anayeufahamu nje Tanzania

Balozi wa Misri anakuumbua huku
Huyo tupo naye kila siku hapa Kariakoo atashindwa kuyajua hayo matokeo? Huyo hata kizaramo anakipiga freshh kabisa
 
Hawezi kisifia Yanga

Hata ningekuwa mimi ningesema kuwa Zamalek ndo klabu kubwa Afrika
Mbona Simba waliisifia wakiwa wanakuja kucheza na sisi?

Walisema tunajua Simba ni timu ngumu na tuna iheshimu.

Na sio tu hilo, hata kocha wao wa zamani pitso aliwahi kusema Afrika hii hakuna kiwanja kigumu kupata matokeo kama Benjamín Mkapa huku mpinzani akiwa ni Simba.

Hiyo ndio maana real recognize real
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…