Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

Utahaira ni mzigo mzito sana, giant kwa kombe Gani ama mafanikio Gani ebu tueleze, giant wa kuchoma moto viwanja vya watu ama giant wa mwakarobo? Unaelewa maana ya giant? Ukitaja ugiant nakutajia Young Africans ndio giant kwa ukanda huu na sababu na vigezo ninavyo na wewe unitajie timu yako ambayo ni giant unitajie vigezo vya ugiant wake
Yanga mmepanic
 
Ubingwa wa nchi husika baina ya
Club number 1 vs Club number 2 nchini;

29🏆 🏆 kwa klabu namba 2
28🏆🏆holaa
27 🏆🏆holaa
26🏆🏆holaa
25🏆🏆holaa
24🏆🏆holaa
23🏆🏆holaa
22🏆🏆kwa klabu namba 1

😂😂😂 Kweli Umbumbumbu ni mzigo
 
Hiyo Yanga yenye akili ni Yanga ipi?

Hivi target ya mind game ni kupeleka madhara kwa mpinzani unayecheza naye au kwa mashabiki ambao timu yao haihusiki na mechi unayoenda kuicheza?

Maana kama ingekuwa hivyo kuwa Yanga wana akili basi hiki mnachokiita mind game kisingefanyika.

Au unataka kusema ni mind game kwa ajili ya kuwatoa Simba mchezoni kwasababu Yanga mna akili?
Nyinyi nyote ni mbumbumbu
 
Utahaira ni mzigo mzito sana, giant kwa kombe Gani ama mafanikio Gani ebu tueleze, giant wa kuchoma moto viwanja vya watu ama giant wa mwakarobo? Unaelewa maana ya giant? Ukitaja ugiant nakutajia Young Africans ndio giant kwa ukanda huu na sababu na vigezo ninavyo na wewe unitajie timu yako ambayo ni giant unitajie vigezo vya ugiant wake
Watakucheka wenzako

Yanga ambaye kwa miaka 25 ndio anafika makundi ndio awe Giant mbele ya mtu ambaye kwa misimu zaidi ya mitatu anafika robo fainali CL?

Hata ukifanya tathmini ya malengo ya timu utajua ni timu ipi ni immature na ipi ni big fish.

Malengo ya Yanga ni kufika hatua ya makundi Club Bingwa.

Malengo ya Simba ni kucheza nusu au fainali ya Club Bingwa.

Ushawahi kuona wapi malengo ya anaye jiita Giant yakawa madogo kuliko asiyekuwa Giant?
 
we bwege Al Ahly ni takataka gani kupanga viwango? Nyau tu hao
Hiyo ni baada ya Kaizer Chiefs kusema Tanzania timu wanayoijua ni Simba hatimaye leo nao watani zetu Al Ahly wamekuja kutoa recognition kwa mnyama.

Mwandishi alipomuuliza kuhusu Yanga akasema anaijua Yanga ni timu kubwa Tanzania ila ni namba 2 kwasababu namba moja ni Simba
View attachment 2830249
kata
 
Nyinyi nyote ni mbumbumbu
Mbumbumbu maana yake akili anazo ila sio nyingi.

Ila kwa ishu ya Manara ni kwamba hata hizo chache hamna, bali kwa watu wawili tu ambao wanafahamika na humu hawapo
 
we bwege Al Ahly ni takataka gani kupanga viwango? Nyau tu hao

kata
Al Ahly wametumia source za CAF

So kabla hata hujaanza kubisha unatakiwa ujiulize kwanini African Football League ni mashindano yaliyohusisha timu 8 bora

Kwanini kwenye hizo 8 Gongowazi haipo?

Bahati mbaya napoteza muda wangu kumuelewesha mtu ambaye tuliambiwa hana akili kwasababu nauhakika kuwa wewe sio Sunday Manara wala Kikwete
 
Watakucheka wenzako

Yanga ambaye kwa miaka 25 ndio anafika makundi ndio awe Giant mbele ya mtu ambaye kwa misimu zaidi ya mitatu anafika robo fainali CL?

Hata ukifanya tathmini ya malengo ya timu utajua ni timu ipi ni immature na ipi ni big fish.

Malengo ya Yanga ni kufika hatua ya makundi Club Bingwa.

Malengo ya Simba ni kucheza nusu au fainali ya Club Bingwa.

Ushawahi kuona wapi malengo ya anaye jiita Giant yakawa madogo kuliko asiyekuwa Giant?
Kwa maana iyo kufika robo fainali ndio ugiant wako sio? Unajua maana ya malengo? Msimu uliopita malengo yako yalikuwa kufika hatua Gani na uliishia wapi? Na yanga malengo yake yalikuwa ni yapi na waliishia wapi? Msimu huu umeweka malengo ya kufika NUSU fainali vipi uwezo wako uko sawa na aliyeweka malengo ya kufika makundi kwanza? Mwenye squad inayokuzidi ubora Kila idara kaweka malengo ya kufika kwanza makundi lakini wewe mwenye squad ya tia maji tia maji umeweka malengo ya kufika NUSU fainali unadhani mpira ni siasa? Kwani yanga walishindwa kutamka na kuweka malengo ya kufika NUSU fainali, la hasha but wanao viongozi wanaoujua mpira na sio watu wa propaganda kufurahisha genge Kama walivyo viongozi wenu waliochota akili zenu! Unasema unaenda peponi wakati ujafa ulishaona wapi, unao wakina john boko alafu unasema unataka kufika NUSU fainali unakuwa na akili timamu kweli?
 
Al Ahly wametumia source za CAF

So kabla hata hujaanza kubisha unatakiwa ujiulize kwanini African Football League ni mashindano yaliyohusisha timu 8 bora

Kwanini kwenye hizo 8 Gongowazi haipo?

Bahati mbaya napoteza muda wangu kumuelewesha mtu ambaye tuliambiwa hana akili kwasababu nauhakika kuwa wewe sio Sunday Manara wala Kikwete
Unajua vigezo vilivyotumika kuchagua timu za kushiriki African football league? Acha propaganda mfu wewe unajivua nguo bure hapa, Kama kigezo kingekuwa ubora wa timu basi yanga angekuwa hapo bila wasi wasi usijitoe ufahamu
 
Mbumbumbu maana yake akili anazo ila sio nyingi.

Ila kwa ishu ya Manara ni kwamba hata hizo chache hamna, bali kwa watu wawili tu ambao wanafahamika na humu hawapo
Mbumbumbu maana yake dish limeyumba, kwa inshu ya rage maana yake ni kwamba nyinyi makolo wote ni mataahira, mapunguwani.
 
Kwa maana iyo kufika robo fainali ndio ugiant wako sio? Unajua maana ya malengo? Msimu uliopita malengo yako yalikuwa kufika hatua Gani na uliishia wapi? Na yanga malengo yake yalikuwa ni yapi na waliishia wapi? Msimu huu umeweka malengo ya kufika NUSU fainali vipi uwezo wako uko sawa na aliyeweka malengo ya kufika makundi kwanza? Mwenye squad inayokuzidi ubora Kila idara kaweka malengo ya kufika kwanza makundi lakini wewe mwenye squad ya tia maji tia maji umeweka malengo ya kufika NUSU fainali unadhani mpira ni siasa? Kwani yanga walishindwa kutamka na kuweka malengo ya kufika NUSU fainali, la hasha but wanao viongozi wanaoujua mpira na sio watu wa propaganda kufurahisha genge Kama walivyo viongozi wenu waliochota akili zenu! Unasema unaenda peponi wakati ujafa ulishaona wapi, unao wakina john boko alafu unasema unataka kufika NUSU fainali unakuwa na akili timamu kweli?
Msimu uliopita Yanga alikuwa na malengo kama haya aliyokuwa nayo mwaka huu ya kufika makundi Club Bingwa

Aliyafikia hayo malengo?

Hatua niliyoishia mwaka jana ni hatua ambayo bado haipo kwenye matazamio yako kama malengo.

Ulipotolewa kwenye mashindano magumu na kuangukia kwa washuka daraja ndio ukafika fainali.

Na hapo kumbuka mpaka unafika huko haikuwa malengo bali coincidence tu.

CAF walipoona timu yenu imefika fainali wakaona mpira ni kama umedharaulika

Nyinyi ndio mmefanya CAF watengue sheria ya walioshindwa Club Bingwa wasitupwe Shirikisho kama second chance wajitafute tena.
 
Nyie watieni ujinga hao Al Ahly, Majibu ya ujinga huo ni saa 2:45 kesho usiku.
 
Unajua vigezo vilivyotumika kuchagua timu za kushiriki African football league? Acha propaganda mfu wewe unajivua nguo bure hapa, Kama kigezo kingekuwa ubora wa timu basi yanga angekuwa hapo bila wasi wasi usijitoe ufahamu
Na link ukitaka kujiridhisha hii hapa tena valid source kutoka CAF wenyewe

Screenshot_20231201-171105.png
 
Mbumbumbu maana yake dish limeyumba, kwa inshu ya rage maana yake ni kwamba nyinyi makolo wote ni mataahira, mapunguwani.
Punguani maana yake amepungukiwa sio kama hana kabisa.

Asiyekuwa na akili maana yake yupo negative hana chochote

Na tukienda kukupa maneno ya Lucy Eymael tutakuja kugundua kilichosemwa na Manata ni cha kweli
 
Bayern Munich ni klabu namba 1 ujerumani na ni bingwa mara nyingi ujerumani.
Ahly ni klabu namba moja misri na ni bingwa mara nyingi misri.
R. Madrid ni klabu namba moja Spain na ni bingwa mara nyingi Spain.
Wydad namba moja Morocco bingwa mara nyingi Morocco.
Njoo kwa zuwena fc sasa 😂😂😂😂😂

Once mbumbumbu always mbumbumbu.
 
Bayern Munich ni klabu namba 1 ujerumani na ni bingwa mara nyingi ujerumani.
Ahly ni klabu namba moja misri na ni bingwa mara nyingi misri.
R. Madrid ni klabu namba moja Spain na ni bingwa mara nyingi Spain.
Wydad namba moja Morocco bingwa mara nyingi Morocco.
Njoo kwa zuwena fc sasa 😂😂😂😂😂

Once mbumbumbu always mbumbumbu.
 
Msimu uliopita Yanga alikuwa na malengo kama haya aliyokuwa nayo mwaka huu ya kufika makundi Club Bingwa

Aliyafikia hayo malengo?

Hatua niliyoishia mwaka jana ni hatua ambayo bado haipo kwenye matazamio yako kama malengo.

Ulipotolewa kwenye mashindano magumu na kuangukia kwa washuka daraja ndio ukafika fainali.

Na hapo kumbuka mpaka unafika huko haikuwa malengo bali coincidence tu.

CAF walipoona timu yenu imefika fainali wakaona mpira ni kama umedharaulika

Nyinyi ndio mmefanya CAF watengue sheria ya walioshindwa Club Bingwa wasitupwe Shirikisho kama second chance wajitafute tena.
Ndio maana nakwambia wewe ni amnazo na familia yako imepata hasara, iyo michuano ya washuka daraja mbona ndio ulienda kuliaibisha taifa kwa ulozi hili angalau uvuke kwenda NUSU fainali??
Kama fainali aliyofika yanga ilikuwa ni rahisi wewe ulishindwa Nini kufika pale alipofika yanga??
Unakwenda kuchoma moto uwanja wa watu alafu unakuja hapa kutubania pua eti mashindano ya washuka daraja🤔🤔
Mashindano ayo kuumbuka ndiyo yaliyomtoa bingwa wa mabingwa barani Africa USM algier ambaye alimkanda bingwa wa klabu bingwa unayosema ulishiriki wewe na kufurushwa!
 
Back
Top Bottom