Ni lini air defense system yoyote ya Iran iliwahi dungua kombora la Israel popote pale?
Tunao ushahidi wa mamia ya makombora ya Iran yakidunguliwa na Israel.
Khordak 15 inaishia kwenye kuzuia cruise missiles na sio ballistic missiles, hiyo system inazidiwa ubora hata na S-300. Lini S-300 iliwahi zuia aerial targets za Israel, hata ndege tu achana na makombora.
Hiyo Khordak 3 ungekuwa karibu yangu ningekuzaba kofi. System inayoiga BUK, yenye kubebwa na 6×6 truck na haizidi range ya 200km na altitude ya 30km izuie ballistic missiles za Israel?
US Navy na RAF wamezuia makombora mangapi? Makombora mengi yametokea Iran yakapita nchi kavu kuja Israel, yaliyozuiliwa na US Navy ni yaliyopita mwambao wa bahari ni machache mno nadhani yametokea Yemen. RAF nayo imezuia machache sana. Labda useme US na UK wamezuia mangapi tuone.
Hayo yaliyoenda Israel hayajaua hata mbwa koko. Kwamba Jordan iweze kuyadungua alafu Israel ishindwe? Direction ni hii, mengi Iran imeyapitisha route fupi ambayo haina air defense mpaka ukifika Israel
View attachment 2964692
Makombora 300 ya uwezo wa kati hayajaambulia kitu, mlisema mnalipiza kisasi. Mara leo mnadai mna makombora makubwa kuliko, si mgetumia hayo sasa. Hamna kitu makelele tu