Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Bora umchane live
Nikimchana live ndio mtasikia kwenye habari mke ameuliwa na mumewe kisa wivu wa mapenzi, ujanja ni huo unamuingiza king halafu we unafanya yako....akijisikia kulia atabembelezwa na mkewe huko.
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Ana akili sana, maana kamwacha vizuri tu...
 
Ni yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
Huyu hapa
images%20(8).jpg
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
...Alimuambia aoe Mke wa Pili...Sio amuache Yeye!!
 
Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.

Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
Mtu kama huyo kwasababu hana akili usiruhusu akakutane na mtu mwingine maana ni kirusi. Hapo unatakiwa unamvumilia huku unaweka mipango yako ya kando vema.

Muda utakwenda umri utakwenda na atazeeka tu. Then finally soko lake likifa akianza kurudisha mapenzi yake ya kinafiki kwako kwa kasi. Unampokea vema tu ila sasa hakikisha unamtesa hisia hadi ajute kukuchokoza. Mwisho wa siku umri ukishaenda sana akiwa kwenye 40+ karibia na 50 dumb chukua pisi kali achana nae akafie mbili ya safari.
 
Connect dots.
  1. Alikuwa DC wa Pangani
  2. Ameolewa na Mbunge wa Pangani
Me ndio maana huwezi nishawishi kuhusu mwanamke kuwa na kazi siwezi kuelewa bado sijakutana na mwanamke anaejua kuheshimu ndoa akiwa kazini bila kugongwa.

Wanajifanya nao wamekuwa wanaume siku hizi wanafanya wanachotaka wanasahau mwanamke akifanya hivyo mwisho wake ni tofauti.
 
Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
Mbele ya pesa na mali mwanamke anakukana bila shida. Ndio maana uarabuni mwanamke na mwanaume wakikutwa wanazini mwanamke atachezea mawe hadi kifo mwanaume viboko halafu anapita hivi

Nilikuwa sielewi now nimeelewa bila kuelekezwa why this was being justified. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na kwa mwenendo w mabinti wa kisasa in the future nadhani watakuja badilikiwa na jamii na kutreatiwa harsh zaidi ya kipindi cha mababu zetu.
 
Kaolewa mke wa pili kwa hiyo majukum yake anayafanya kwa nafasi
Tamaa tu hakuna alichofuata na si ajabu anajutia hapo anaona bora angetulia na mwamba maisha yasonge.

Wanawake wa sasa wapo easily distracted na mali na pesa. Akijua una anachotaka basi atajisusha ulainike ili akipate.
 
....Halafu hakaukwi Ushungi...iepukeni sana zinaa, ama kwa hakika zinaa ni uchafu mkubwa mno kwenu....mwanamke mzinifu na mwanaume mzinifu wapigwe mawe mbele ya walio amini.....kabla hawajaoana waliepuka zinaa?
Azinie hana akili,je utampiga mawe
 
Back
Top Bottom