Aliolewa na Abdul Mohammed ambaye wakati ule tayari alikua CEO Azam.Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliolewa na Abdul Mohammed ambaye wakati ule tayari alikua CEO Azam.Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
Kauthar Tarimo ndio mke mkubwa.Maushungi.
Yule' mnene T ndio mke mkubwa.
Mbona kibonge mzito mtu kajaa kila mahaliKauthar Tarimo ndio mke mkubwa.
Kibonge mzito mke wa pili
Pale ndio nimeamini uzuri wa mtu upo machoni mwa mtu. Mimi yule hapana kwa kweli. Kajiachia kafumuka kama dude kawa..mpaka pua imenenepa ovyo. Ulafi wa kula ovyo ovyoMbona kibonge mzito mtu kajaa kila mahali
Wanakuwa na joto sana hao dakika mbili umetoa wazunguMbona kibonge mzito mtu kajaa kila mahali
Bora umchane liveZainab nimempenda bure, hii trick nishaichukua, huyu Jamaa akizingua namruhusu aoe halafu na mimi nasepa.....inapunguza lawama ndogo ndogo.
Nikimchana live ndio mtasikia kwenye habari mke ameuliwa na mumewe kisa wivu wa mapenzi, ujanja ni huo unamuingiza king halafu we unafanya yako....akijisikia kulia atabembelezwa na mkewe huko.Bora umchane live
Ana akili sana, maana kamwacha vizuri tu...Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Acha we, inaitwaga ajali kazini mjukuu,Juma Aweso kabla ya kumchukua alimpima HIV?
Huyu hapaNi yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
...Alimuambia aoe Mke wa Pili...Sio amuache Yeye!!Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Mtu kama huyo kwasababu hana akili usiruhusu akakutane na mtu mwingine maana ni kirusi. Hapo unatakiwa unamvumilia huku unaweka mipango yako ya kando vema.Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.
Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
HuyuSamahani wakuu naomba mwenye picha yake.
Me ndio maana huwezi nishawishi kuhusu mwanamke kuwa na kazi siwezi kuelewa bado sijakutana na mwanamke anaejua kuheshimu ndoa akiwa kazini bila kugongwa.Connect dots.
- Alikuwa DC wa Pangani
- Ameolewa na Mbunge wa Pangani
Mbele ya pesa na mali mwanamke anakukana bila shida. Ndio maana uarabuni mwanamke na mwanaume wakikutwa wanazini mwanamke atachezea mawe hadi kifo mwanaume viboko halafu anapita hiviAlivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
Cheki alivyofura pale kama Chura aina ya Tobalani[emoji34][emoji34][emoji34]
Tamaa tu hakuna alichofuata na si ajabu anajutia hapo anaona bora angetulia na mwamba maisha yasonge.Kaolewa mke wa pili kwa hiyo majukum yake anayafanya kwa nafasi
Azinie hana akili,je utampiga mawe....Halafu hakaukwi Ushungi...iepukeni sana zinaa, ama kwa hakika zinaa ni uchafu mkubwa mno kwenu....mwanamke mzinifu na mwanaume mzinifu wapigwe mawe mbele ya walio amini.....kabla hawajaoana waliepuka zinaa?
Anza sasakugongwa nje mapema.Zainab nimempenda bure, hii trick nishaichukua, huyu Jamaa akizingua namruhusu aoe halafu na mimi nasepa.....inapunguza lawama ndogo ndogo.