Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Hii issue itabackfire na badala ya kusaidia kuondoa tatizo italizidisha kabisa. Upinde hufuatilia wenzao wanavyotendwa, muda si mrefu utasikia wanaanzisha kampeni popote. Ukitaka kupambana na watu kama hawa ni kimyakimya sio kwa njia ya mahakama ambayo ni wazi taarifa zinajulikana.
 
Ili kuokoa human race, adhabu kama hizi itabidi zitumike tu. Kama ambavyo ukitaka kujiua unashitakiwa na kuhukumiwa, kila anayetaka kumiss use viungo vyake anapata cha mtema kuni
 
Hata ya wanawake hakuna usalama kwake na kwa hao wanawake atakaokuwa nao jela.

Pengine patahitajika kuwepo jela mahsusi kwa jamii ya watu kama hawa
Ukishasema jamii ya watu kama Hawa" manake umesapoti ushoga tayar
 
Watanzania wengi hawajawahi kanyaga magereza
 
Vzuri sana, na hao walokua wakimlawiti angewataja pia
Waliomlawiti wamekana kosa so wamerudishwa rumande.yy alikiri kuingiliwa na wanaume tofautitofauti so ilibidi asomewe vifungu vya sheria akaanze kunyea debe.
 
Was
Waseme tu wamemhukumu Shoga😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…