Aliyekiri kulawitiwa afungwa jela miaka 30

Hakika Rubein kama ile kesi ikaenda mahakamani... 30 zitamhusu
 
Hii ndiyo namna nzuri ya kudeal na hawa wapuuzi bila makelele, kumbe sheria tunazo lakini tunawapigia kelele wazungu kana kwamba wao ndiyo wametuletea hawa mashoga wakati tunaishi nao mitaani na wanavunja sheria za nchi
 
Inasemekana ni mdg ake kazumari jemedari said

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watu kama Hawa ni Bora kuuwawa kimya kimya yaani asijulikane kamahupo hai au kama.

Kesho utasikia huko huru Kwa msamaha wa SASHA
 
Kuna miaka flani niliwahi kukaa gereza la butimba, hawa mshoga niliona wanatengwa na wanakua kwenye mahabusu zao tofauti na wengine. Pia walikua wanalindwa 24/7
hii nayo ni adhabu tosha kama kumkatia supply ya unga teja watiane vidole wenyewe
 
Sheria ni Sheria tu. Ukivunja Sheria utahukumiwa. AMEFANYA jinai Wacha ahukumiwe kutokana na Sheria zinavyosema.
 
Sasa Amber Rutty na yule mume wake kwanini hawakufungwa miaka 30 na ushahidi upo tena wa video?

Hii habari ikiwafikia mabeberu, tutaanza kula mahindi ya njano sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…