Aliyemuoa mtoto wa Rais Hussein Mwinyi ndio kaoa,sie wengine tulioa ili mradi tusije kufa bila kuacha watoto

Hahahaha kwahiy ukaachwa?
 
Mkuu samahani sana lakini naomba tu nikwambie kuwa ww ni zero brain
 
Ukiwa unasema hvo ujiangalie na wewe unatokea wapi? Hiyo kauli yako itafakari Tena!!!!!.
 
We vumilia mzalishe yakikushinda ondoka ila watoto watakula bata tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…